Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Mkuu wa zamani wa FBI: Trump ni muongo na kidhabi

    Mkuu wa zamani wa FBI: Trump ni muongo na kidhabi

    Jun 08, 2017 23:11

    Mkuu wa zamani wa Polisi ya Federali ya Marekani (FBI) amesema kuwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo ni mrongo na kidhabi.

  • Zarif: Matamshi ya Trump kuhusu mashambulio ya kigaidi ya Tehran yanaudhi

    Zarif: Matamshi ya Trump kuhusu mashambulio ya kigaidi ya Tehran yanaudhi

    Jun 08, 2017 11:05

    Dk. Mohammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, matamshi ya rais wa Marekani, Donald Trump kuhusiana na mashambulizi ya kigaidi ya mjini Tehran ni kejeli kwa wahanga wa mashambulizi hayo na yanaudhi.

  • Trump awalaumu na kuwakejeli mashahidi wa mashambulio ya Tehran

    Trump awalaumu na kuwakejeli mashahidi wa mashambulio ya Tehran

    Jun 08, 2017 02:16

    Katika hali ambayo dunia nzima inaendelea kutoa mkono wa pole na kutuma salamu za rambirambi kufuatia mashambulio pacha ya kigaidi yaliyotokea jana hapa mjini Tehran, Rais Donald Trump wa Marekani ametoa ujumbe unaoonekana kuwalaumu na kuwakejeli mashahidi waliouawa katika hujuma hizo.

  • Mivutano na Trump yamfanya Mwanasheria Mkuu wa Marekani ajiuzulu

    Mivutano na Trump yamfanya Mwanasheria Mkuu wa Marekani ajiuzulu

    Jun 07, 2017 10:59

    Mwanasheria Mkuu na Waziri wa Sheria wa Marekani Jeff Sessions amejiuzulu kutokana na mivutano iliyojitokeza baina yake na Rais wa nchi hiyo Donald Trump.

  • HAMAS: Kupanuliwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni moja ya matokeo ya safari ya Trump Mashariki ya Kati

    HAMAS: Kupanuliwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni moja ya matokeo ya safari ya Trump Mashariki ya Kati

    Jun 07, 2017 10:57

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, kupanuliwa ambako hakujawahi kushuhudiwa kwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kunakofanywa na utawala ghasibu wa Israel katika maeneo ya Wapalestina ni moja ya matokeo ya safari ya Rais Donald Trump wa Marekani katika Mashariki ya Kati.

  • Trump aunga mkono Saudia katika mgogoro na Qatar

    Trump aunga mkono Saudia katika mgogoro na Qatar

    Jun 06, 2017 23:18

    Rais Donald Trump wa Marekani ameunga mkono Saudi Arabia katika mgogoro wake na Qatar na kwa njia isiyo ya moja kwa moja akaituhumu Qatari kuwa inaunga mkono ugaidi.

  • Malumbano ya Trump na vyombo vya mahakama vya Marekani

    Malumbano ya Trump na vyombo vya mahakama vya Marekani

    Jun 06, 2017 03:10

    Katika hatua ambayo ni nadra kuwahi kushuhudiwa, Rais wa Marekani amemwamuru Waziri wa Sheria awashinikize majaji wa Mahakama Kuu ya Federali kuhusiana na kesi ya marufuku ya raia wa nchi kadhaa za Kiislamu kufanya safari nchini humo.

  • Iran: Kujiondoa US kwenye Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi, hakutauathiri

    Iran: Kujiondoa US kwenye Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi, hakutauathiri

    Jun 04, 2017 02:45

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuiondoa nchi yake katika makubaliano ya mabadiliko ya tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015 haitakuwa na taathira yoyote kwenye mkataba huo.

  • Papa atuma salamu za Ramadhani, akosoa ukaidi wa Trump

    Papa atuma salamu za Ramadhani, akosoa ukaidi wa Trump

    Jun 03, 2017 02:51

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Dunia Papa Francis amekosoa vikali hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuiondoa nchi yake katika makubaliano ya mabadiliko ya tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015.

  • Hatimaye Trump aiondoa Marekani kwenye makubaliano ya mabadiliko ya tabianchi ya Ufaransa

    Hatimaye Trump aiondoa Marekani kwenye makubaliano ya mabadiliko ya tabianchi ya Ufaransa

    Jun 01, 2017 23:44

    Rais Donald Trump wa Marekani sambamba na kutangaza kuiondoa nchi yake katika makubaliano ya mabadiliko ya tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015, amesema kuwa makubaliano hayo hayana faida yoyote kwa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS