-
Ukosoaji wa Wademocrat kwa mienendo hasi ya kisiasa ya Rais wa Marekani
May 31, 2017 08:46Mienendo iliyo kinyume na taratibu na misimamo iliyoonyeshwa na Rais Donald Trump wa Marekani wakati wa safari yake ya kiduru barani Ulaya, haijalalamikiwa na viongozi na vyombo vya habari vya nje, bali imekosolewa na kulalamikiwa na Wademokrat pia ndani ya Marekani kwenyewe.
-
Kumalizika safari ya rais wa Marekani barani Ulaya bila ya kufikia makubaliano
May 28, 2017 06:05Rais Donald Trump wa Marekani amemaliza safari yake ya mara ya kwanza barani Ulaya tangu aingie madarakani; bila ya kufikia natija iliyotarajiwa.
-
Wakili binafsi wa Trump kuongoza jopo lake la utetezi katika faili la "Trump- Russia"
May 25, 2017 03:18Rais Donald Trump wa Marekani amemwajiri wakili wake wa binafsi Marc Kasowitz kuongoza jopo lake la utetezi dhidi ya tuhuma zinazomkabili za kuwepo mahusiano baina ya timu yake ya kampeni za uchaguzi na maafisa wa serikali ya Russia.
-
Kofi Annan amtaka Trump aache misimamo ya chuki dhidi ya Iran
May 24, 2017 03:05Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa ametoa wito kwa Rais wa Marekani Donald Trump kufanya mazungumzo na Iran badala ya kushikilia misimamo yake ya uhasama dhidi ya Tehran.
-
Iran: Mauaji ya waandamanaji Bahrain, matokeo ya awali ya safari ya Trump Riyadh
May 23, 2017 23:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kushambuliwa na kuuawa wananchi wa Bahrain waliokuwa wakishiriki maandamano ya amani ni matokeo ya kwanza ya safari ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani, Donald Trump nchini Saudi Arabia.
-
Hizbullah: Safari ya Trump Saudia ni ya kiwendawazimu
May 21, 2017 09:35Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imeitaja safari ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Saudi Arabia kama ya kiwendawazimu na ambayo haitakuwa na tija yoyote kwa ulimwengu wa Kiislamu.
-
Makubaliano ya dola bilioni 380 kati ya Saudia na Marekani, Mfalme Salman amvisha Trump mkufu wa dhahabu na kucheza naye dansi ya kijahilia
May 21, 2017 00:12Viongozi wa Saudi Arabia na Marekani wamesaini makubaliano kadhaa katika nyanja mbalimbali yakiwemo masuala ya kijeshi, yenye thamani ya dola bilioni 380, sambamba na mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud kumvisha Trump mkufu wa dhahabu wenye gharama kubwa na kucheza naye mziki wa dansi ya kijahilia.
-
Mshauri wa zamani wa Trump akaidi kutoa ushirikiano kwa Seneti ya Marekani
May 19, 2017 23:30Mshauri wa zamani wa usalama wa taifa wa Rais Donald Trump wa Marekani amekaidi kutoa ushirikiano kwa kamati ya usalama ya Seneti ya nchi hiyo inayochunguza kuhusu mawasiliano ambayo yanadaiwa kufanywa baina ya timu ya kampeni ya Trump na Russia.
-
Putin: Rais Donald Trump wa Marekani hakumpa Lavrov taarifa zozote za siri
May 17, 2017 23:57Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani hakumpa taarifa zozote za siri Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi yake, Sargey Lavrov.
-
Trump atuhumiwa kuzuia uchunguzi wa FBI
May 17, 2017 09:04Rais Donald Trump wa Marekani anatuhumiwa kujaribu kuzuia uchunguzi wa Idara ya Upelelezi ya nchi hiyo FBI kuhusiana na faili lililozua utata na mjadala mkubwa nchini humo kuhusiana na madai ya uagiliaji wa Russia katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.