Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Donald Trump, Mohammad Bin Salman ni watu hatari zaidi duniani

    Donald Trump, Mohammad Bin Salman ni watu hatari zaidi duniani

    May 13, 2017 23:00

    Gazeti la Independent la Uingereza limeandika kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani na Mohamad bin Salman, Naibu Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia ni watu wawili hatari zaidi duniani.

  • Wamarekani wamkosoa Rais Trump kwa mapokezi aliyompa Lavrov Ikulu ya White House

    Wamarekani wamkosoa Rais Trump kwa mapokezi aliyompa Lavrov Ikulu ya White House

    May 12, 2017 11:45

    Serikali ya Marekani imekumbwa na changamoto mpya kufuatia kuenea picha za Rais Donald Trump wa nchi hiyo akimkaribisha kwa hadhi Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov katika ikulu ya White House.

  • Mahakimu wa Mahakama ya Rufaa Marekani waitilia shaka amri ya Trump dhidi ya wahajiri

    Mahakimu wa Mahakama ya Rufaa Marekani waitilia shaka amri ya Trump dhidi ya wahajiri

    May 09, 2017 03:41

    Mahakimu wa Mahakama ya Rufaa nchini Marekani wameitilia shaka amri ya Rais wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya wahajiri.

  • Wamarekani wengi wanapinga sera za Trump dhidi ya Iran

    Wamarekani wengi wanapinga sera za Trump dhidi ya Iran

    May 07, 2017 23:04

    Uchunguzi wa maoni uliofanyika hivi karibuni umeonyesha kuwa zaidi ya asilimia 40 ya Wamarekani wanapinga sera za Rais Donald Trump wa nchi hiyo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Sisitizo la  Mogherini kuwa kudhoofika nafasi ya Marekani duniani ni fursa kwa Umoja wa Ulaya

    Sisitizo la Mogherini kuwa kudhoofika nafasi ya Marekani duniani ni fursa kwa Umoja wa Ulaya

    May 06, 2017 22:07

    Mkuu wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya EU, Federica Mogherini, Ijumaa alitangaza kuwa nafasi ya Marekani duniani inadhoofika na kwamba jambo hilo ni kwa maslahi ya umoja huo.

  • Kanali nne kubwa nchini Marekani zasusa kurusha matangazo ya mafanikio ya Trump

    Kanali nne kubwa nchini Marekani zasusa kurusha matangazo ya mafanikio ya Trump

    May 06, 2017 08:58

    Kanali nne kubwa za televisheni nchini Marekani za NBC, CNN, ABC na CBC zimekataa kurusha matangazo yoyote ya mafanikio ya siku 100 za utwala wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo.

  • Marekani yaihakikishia ushindi Israel katika mazungumzo na Waarabu

    Marekani yaihakikishia ushindi Israel katika mazungumzo na Waarabu

    May 03, 2017 21:50

    Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Rais wa Marekani ameuhakikishia ushindi utawala wa Kizayuni na kuutaka usiwe na wasiwasi kuhusu uungaji mkono wa Washington kwa Israel katika mazungumzo ya mapatano ya Mashariki ya Kati. Ikumbukwe kuwa Marekani ndiye mpatanishi katika mazungumzo ya utawala wa Kizayuni na Mamlaka ya Ndani ya Palestina.

  • Trump: Nipo tayari kukutana na Kiongozi wa Korea Kaskazini

    Trump: Nipo tayari kukutana na Kiongozi wa Korea Kaskazini

    May 02, 2017 03:58

    Huku mgogoro ukiendelea kushtadi kati ya Marekani na Korea Kaskazini, Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa, yupo tayari kukutana na kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un.

  • Trump akariri msimamo wake dhidi ya mapatano ya nyuklia ya Iran

    Trump akariri msimamo wake dhidi ya mapatano ya nyuklia ya Iran

    Apr 30, 2017 02:55

    Rais Donald Trump wa Marekani amekariri msimamo wake wa huko nyuma dhidi ya mapatano ya nyuklia ya Iran yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji JCPOA.

  • Noam Chomsky: Trump amevaa mkanda wa kuiangamiza dunia

    Noam Chomsky: Trump amevaa mkanda wa kuiangamiza dunia

    Apr 29, 2017 22:00

    Noam Chomsky, mwanafalsafa na mtaalamu mkubwa wa lugha nchini Marekani amesema kuwa, serikali ya Rais Donald Trump imekusudia kwa dhati kuiangamiza dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS