Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • UN: Tangu Mei, Wapalestina 1,500 wameuawa Ghaza wakihangaika kupata msaada wa chakula

    UN: Tangu Mei, Wapalestina 1,500 wameuawa Ghaza wakihangaika kupata msaada wa chakula

    Aug 05, 2025 07:11

    Umoja wa Mataifa umesema Wapalestina 1,500 wameuawa huko Ghaza tangu mwezi Mei hadi sasa wakati wanahangaika kutafuta msaada wa kibinadamu.

  • Nyaraka za UK: Mubarak aliidhinisha mpango wa US na UK wa 'kumdhalilisha' Saddam Kuwait

    Nyaraka za UK: Mubarak aliidhinisha mpango wa US na UK wa 'kumdhalilisha' Saddam Kuwait

    Aug 03, 2025 05:40

    Nyaraka za siri za Uingereza zilizowekwa hadharani hivi karibuni zimefichua kwamba rais wa zamani wa Misri, Hosni Mubarak, aliunga mkono mpango wa Marekani na Uingereza wa kumshinda kijeshi na kumdhalilisha Saddam Hussein wakati wa Vita vya Ghuba ya Uajemi, huku akitabiri pia kwamba kushindwa huko kijeshi kungepelekea kuanguka kiongozi huyo wa Iraq.

  • Sweden: Ukraine lazima iseme 'ndiyo' kwa ndoa za jinsia moja kama sharti la kujiunga na EU

    Sweden: Ukraine lazima iseme 'ndiyo' kwa ndoa za jinsia moja kama sharti la kujiunga na EU

    Aug 02, 2025 11:48

    Waziri Mkuu wa Sweden Ulf Kristersson amesema, Ukraine inapaswa kutoa ulinzi kamili wa kisheria kwa 'mashoga', ikiwa ni pamoja na wa ndoa za jinsia moja, kama sehemu ya juhudi zake za kupigania kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya,

  • Trump akasirishwa na matamshi ya Medvedev

    Trump akasirishwa na matamshi ya Medvedev

    Aug 01, 2025 02:46

    Akijibu indhari iliyotolewa hivi karibuni na rais wa zamani wa Russia kwa White House, Rais wa Marekani amesema kuwa: " Mwambie Medvedev achunge maneno yake".

  • Waziri Mkuu wa Hungary: Tishio la kutokea Vita Vikuu vya Tatu vya Dunia linazidi kuongezeka

    Waziri Mkuu wa Hungary: Tishio la kutokea Vita Vikuu vya Tatu vya Dunia linazidi kuongezeka

    Jul 27, 2025 09:55

    Waziri Mkuu wa Hungary Viktor Orban amesema tishio la kuzuka Vita Vikuu vya Tatu vya Dunia linazidi kuongezeka na kwamba Jamii ya Kimataifa inapaswa ifanye kila iwezalo kulizuia.

  • Kwa nini Marekani imejiondoa rasmi UNESCO?

    Kwa nini Marekani imejiondoa rasmi UNESCO?

    Jul 23, 2025 08:58

    Marekani ilitangaza Jumanne, Julai 22, kwamba imejiondoa rasmi katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni UNESCO.

  • Jibu kwa swali la leo; kwa nini Trump amewatishia tena wanachama wa BRICS?

    Jibu kwa swali la leo; kwa nini Trump amewatishia tena wanachama wa BRICS?

    Jul 21, 2025 12:49

    Rais wa Donald Trump Marekani amekariri tena tishio lake la kuzitoza ushuru wa ziada nchi wanachama wa kundi la BRICS.

  • Trump kuzisakama nchi maskini za Afrika kwa ushuru wa 10%

    Trump kuzisakama nchi maskini za Afrika kwa ushuru wa 10%

    Jul 16, 2025 08:45

    Rais wa Marekani, Donald Trump anapania kupanua ajenda yake ya ushuru, akitangaza mipango ya kutoza ushuru mpya wa forodha wa zaidi ya asilimia 10 kwa bidhaa zinazoagizwa nchini humo kutoka mataifa madogo, ikiwa ni pamoja na kadhaa ya bara Afrika na eneo la Caribbean.

  • Borrell amkemea Netanyahu kwa kutaka Trump apewe Tuzo ya Amani ya Nobel

    Borrell amkemea Netanyahu kwa kutaka Trump apewe Tuzo ya Amani ya Nobel

    Jul 10, 2025 06:09

    Mkuu wa zamani wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell amekemea pendekezo la waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu la kutaka rais wa Marekani Donald Trump atunukiwe Tuzo ya Amani ya Nobel, akilielezea hilo kuwa ni hatua iliyochukuliwa na "mtu anayeaminika kuwa mhalifu wa kivita" kwa ajili ya "muuzaji wake mkuu wa silaha".

  • Rais wa Afrika Kusini ajibu bwabwaja na vitisho vya Trump

    Rais wa Afrika Kusini ajibu bwabwaja na vitisho vya Trump

    Jul 08, 2025 13:39

    Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amejibu matamshi ya vitisho na ubabe ya Rais wa Marekani, Donald Trump ambaye hivi karibuni alitishia kuongeza ushuru wa asilimia kwa nchi ambazo zinajiegemeza na kufungamana na "sera za kupambana na Marekani" za jumuiya ya kiuchumi ya BRICS.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS