Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Trump akiri: Hakuna uhuru wa vyombo vya habari nchini Marekani

    Trump akiri: Hakuna uhuru wa vyombo vya habari nchini Marekani

    Oct 30, 2020 02:46

    Tangu aliposhika madaraka ya nchi Januari mwaka 2017, Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akihujumu vikali vyombo vya habari vinavyomkosoa yeye na utendaji wa serikali yake.

  • Trump kuamuru pasi za kusafiria za Wamarekani waliozaliwa Quds ziandikwe wamezaliwa Israel

    Trump kuamuru pasi za kusafiria za Wamarekani waliozaliwa Quds ziandikwe wamezaliwa Israel

    Oct 30, 2020 02:29

    Katika mwendelezo wa hatua za kiuadui za serikali yake dhidi ya Wapalestina na za uungaji mkono kwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, Rais Donald Trump wa Marekani anapanga kubadilisha pasi za kusafiria za Wamarekani waliozaliwa katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem), Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Trump atoa madai mapya ya kichekesho, asema Biden akishinda urais, China itaimiliki Marekani

    Trump atoa madai mapya ya kichekesho, asema Biden akishinda urais, China itaimiliki Marekani

    Oct 28, 2020 08:00

    Rais Donald Trump ambaye anagombea muhula wa pili wa urais nchini Marekani kupitia chama cha Republican ameibuka na madai mapya ya kichekesho, ambapo amesema iwapo mshindani wake Joe Biden, anayewania kiti hicho kwa tiketi ya chama cha Democrat ataibuka mshindi katika uchaguzi wa mwezi ujao, basi Marekani itakuwa milki ya China.

  • Kukiri Marekani kuishiwa na vikwazo vya kuipigisha magoti Iran

    Kukiri Marekani kuishiwa na vikwazo vya kuipigisha magoti Iran

    Oct 27, 2020 06:04

    Baada ya rais wa Marekani kutangaza kuitoa nchi yake katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei 2018 na kuirejeshea Iran vikwazo vyote ilivyokuwa imeondolewa baada ya mapatano hayo, Donald Trump na serikali yake walidhani kwa njia hiyo wataweza kutimiza kiurahisi ndoto yao ya kupigisha magoti Tehran na kuilazimisha ikubali mapatano yanayotakiwa na Washington. Hata hivyo ndoto hiyo kamwe haikuaguka.

  • Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ethiopia: Matamshi ya Trump kuhusu bwawa la Renaissance ni ya kihalifu

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ethiopia: Matamshi ya Trump kuhusu bwawa la Renaissance ni ya kihalifu

    Oct 25, 2020 12:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Ethiopia ameyataja matamshi yaliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu bwawa la Renaissance kuwa ni jinai na uhalifu.

  • Wasiwasi wa Amnesty International kuhusu ghasia na machafuko katika kampeni za uchaguzi Marekani

    Wasiwasi wa Amnesty International kuhusu ghasia na machafuko katika kampeni za uchaguzi Marekani

    Oct 24, 2020 11:08

    Kupamba moto kampeni za uchaguzi nchini Marekani kwa katika kipindi hiki cha kukaribia tarehe ya uchaguzi wa rais hapo Novemba 3 mwaka huu, na jitihada za Rais Donald Trump wa nchi hiyo ambaye ni mgombea wa chama cha Republican za kutaka kuzusha hali ya mvutano katika jamii ya Marekani, vimeibua hali ya wasiwasi.

  •  Kikao cha Baraza la Usalama la UN kuhusu usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Kikao cha Baraza la Usalama la UN kuhusu usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Oct 21, 2020 12:18

    Eneo la Ghuba ya Uajemi ambalo ni miongoni mwa maeneo ya kistratijia ya dunia na yenye umuhimu mkubwa katika soko la kimataifa la masuala ya uchumi na nishati. Kwa kuzingatia uhakika huo usalama wa eneo hilo muhimu la majini daima umekuwa ukipewa mazingatio makubwa katika taasisi za Umoja wa Mataifa.

  • Wafuasi na wapinzani wa Trump wapambana vikali katika mji wa Boston

    Wafuasi na wapinzani wa Trump wapambana vikali katika mji wa Boston

    Oct 20, 2020 02:35

    Maafisa wa jimbo la Massachusetts nchini Marekani wamesema, kumetokea mapigano kati ya waungaji mkono na wapinzani wa rais Donald Trump katika jimbo hilo.

  • Washington Post: Kuwakandamiza wapigakura weusi kunairejesha Marekani karne ya 19

    Washington Post: Kuwakandamiza wapigakura weusi kunairejesha Marekani karne ya 19

    Oct 19, 2020 15:40

    Gazeti la Washington Post la Marekani limechapisha makala inayokituhumu chama tawala cha Republican kinachoongozwa na Donald Trump kuwa kinawakandamiza wapigakura weusi na kwamba kina malengo sawa na yale ya makundi ya wabaguzi wa rangi yanayoamini kuwa watu weupe ndio kizazi bora zaidi kuliko watu wa rangi nyingine.

  • Malalamiko ya wanawake dhidi ya Trump na mustakbali wa rais huyo wa Marekani

    Malalamiko ya wanawake dhidi ya Trump na mustakbali wa rais huyo wa Marekani

    Oct 19, 2020 06:17

    Katika siku zilizopita, wanawake nchini Marekani walifanya maandamano katika majimbo mbalimbali ya nchi hiyo likiwemo la Washington ili kutangaza upinzani wao kwa siasa za rais wa nchi hiyo, Donald Trump. Shabaha ya maandamano hayo ilikuwa ni kupinga ubaguzi wa rangi na ukandamizaji dhidi ya wanawake. Waendeshaji wa maandamano hayo waliahidi kuendelea na operesheni hiyo waliyoipa jina la maandamano 429 katika mikoa 50 ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS