-
Afisa mkuu wa zamani wa White House: Wamarekani tafakarini sana kabla ya kupiga kura ya urais
Oct 18, 2020 14:53Mkuu wa zamani wa ofisi ya wafanyakazi wa Ikulu ya rais wa Marekani ya White House amesema, rais wa nchi hiyo Donald Trump ni mtu kigeugeu na akashauri kwamba, wapigakura wa Marekani watafakari sana kabla ya kumchagua rais wao ajaye.
-
Mitazamo ya Trump na Biden kuhusu Iran; madai ya ushindi mkabala na kukiri kwamba Marekani imetengwa
Oct 18, 2020 02:28Katika kipindi hiki cha kukaribia uchaguzi wa Rais nchini Marekani tarehe 3 Novemba mwaka huu Rais Donald Trump wa nchi hiyo ambaye ni mgombea wa chama cha Republican na Joe Biden wa chama cha Democratic wamekuwa wakizungumzia kadhia ya Iran na mapatano ya nyuklia ya JCPOA katika kampeni zao za uchaguzi lakini kwa mitazamo tofauti na inayokinzana.
-
Sisistizo la Russia la kushirikiana kijeshi na Iran baada ya kuondolewa vikwazo vya silaha
Oct 17, 2020 02:42Kwa mujibu wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa vikwazo vya silaha vya Iran vinamalizika tarehe 18 mwezi huu wa Oktoba 2020 baada ya kumalizika muda wa miaka mitano wa vikwazo hivyo. Russia ikiwa mwanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama na moja kati ya nchi wanachama wa kundi la 4+1 imesisitiza kwamba itashirikiana kijeshi na Iran baada ya kumalizika vikwazo licha ya Marekani kufanya juhudi za kuongeza muda wa vikwazo hivyo.
-
UN: Hali imekuwa ya kutisha Marekani kutokana na uchochezi wa Trump
Oct 16, 2020 02:36Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kutokana na uchochezi wa rais wa Marekani, Donald Trump, machafuko na ukatili unatokana na chuki na uadui umeongezeka mno nchini humo na sasa hivi umefikia kiwango cha hatari sana.
-
Ndoto za alinacha za Trump za kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Oct 14, 2020 02:23Rais Donald Trump wa Marekani akiwa na lengo la kujijengea nafasi nzuri wakati huu wa kukaribia uchaguzi nchini humo, anahitajia kutoa madai ya kufanikiwa katika sera za kigeni za nchi hiyo hasa kuhusiana na Iran.
-
Trump azuiwa kutumia bajeti ya masuala ya kijeshi kujenga ukuta wa mpakani
Oct 12, 2020 07:40Mahakama ya Rufaa nchini Marekani imetangaza kuwa ni marufuku na kupinga ombi la Trump aliyetaka kustafidi na bajeti ya kijeshi kwa ajili ya kujenga ukuta wa mpakani.
-
Trump anaitusi Iran kwa sababu amefeli katika njama zake dhidi ya Iran
Oct 11, 2020 08:01Mwenyekiti wa Baraza la Kistratijia la Sera za Kigeni la Iran, Dkt. Kammal Kharrazi, ametoa kauli kufuatia matamshi yaliyojaa matusi ya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Iran na kusema, Trump amepandwa na hasira baada ya kufeli njama zake dhidi ya Iran.
-
Pelosi ataka faili la hali ya kiafya ya Trump liwekwe wazi, Trump asema ni kichaa
Oct 10, 2020 02:32Spika wa Kongresi ya Marekani Nancy Pelosi amesema kuwa Wamarekani wana haja ya kujua hali ya kiafya ya Rais Donald Trump akiashiria maradhi yake ya virusi vya corona na kulazwa hospitalini kwa siku kadhaa.
-
Ahadi mpya za Trump za kuondoa wanajeshi Afghanistan; ahadi chapwa za kiuchaguzi
Oct 09, 2020 10:35Uchaguzi wa Rais nchini Marekani unazidi kukaribia huku hali ya kisiasa ya rais wa nchi hiyo, Donald Trump si nzuri mbele ya mpinzani wake Joe Biden. Ikulu ya White House na hasa Trump mwenyewe wanazidi kufanya lolote liwezekanalo, hata kutoa ahadi za maneno tena zenye migongano, ili kuvutia wapiga kura.
-
Trump asema hatashiriki mdahalo wa urais kwa njia ya mtandao
Oct 09, 2020 02:36Rais Donald Trump amesema hatoshiriki mdahalo wa pili wa wagombea wa urais nchini Marekani iwapo utafanyika kwa njia ya intaneti.