Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Facebook, Twitter zavugumiza jumbe za upotoshaji za Trump kuhusu corona

    Facebook, Twitter zavugumiza jumbe za upotoshaji za Trump kuhusu corona

    Oct 07, 2020 07:54

    Mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter imechukua hatua kali ya kukabiliana na jumbe za upotoshaji za Rais Donald Trump wa Marekani juu ya ugonjwa wa Covid-19.

  • Jitihada zilizofeli za Eric Trump kwa ajili ya kuakhirisha kusikilizwa kikao cha ukiukaji wa ulipaji kodi wa baba yake

    Jitihada zilizofeli za Eric Trump kwa ajili ya kuakhirisha kusikilizwa kikao cha ukiukaji wa ulipaji kodi wa baba yake

    Oct 06, 2020 12:06

    Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa New York imetangaza kuwa mwana wa kiume wa Rais wa Marekani hastahili kuakhirisha kikao cha mahakama cha kusikiliza ukiukaji wa ulipaji kodi uliofanywa na baba yake hadi baada ya uchaguzi.

  • Pelosi: Timu ya utabibu ya Trump iseme ukweli

    Pelosi: Timu ya utabibu ya Trump iseme ukweli

    Oct 05, 2020 02:57

    Spika wa bunge la wawakilishi la Marekani amewataka madaktari wanaomhudumia Rais wa nchi hiyo kutoa taarifa sahihi kwa wananchi.

  • Hali ya Trump inaripotiwa kuwa mbaya, amelazwa hospitalini kwa corona

    Hali ya Trump inaripotiwa kuwa mbaya, amelazwa hospitalini kwa corona

    Oct 03, 2020 13:40

    Mmoja kati ya watu wa karibu sana kwa Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa hali ya kiafya ya kiongozi huyo ni mbaya na kwamba amehamishiwa katika hospitali ya kijeshi ya Walter Reed huko Bethesda, katika jimbo la Maryland.

  • NBC News: Trump sasa anatafunwa na istihzai zake kuhusu COVID-19

    NBC News: Trump sasa anatafunwa na istihzai zake kuhusu COVID-19

    Oct 03, 2020 02:41

    Kanali ya televisheni ya NBC News ya nchini Marekani imesema kuwa, rais wa nchi hiyo, familia na wafuasi wake sasa wanatafunwa na matamshi ya istihzai na hatua zisizo sahihi za Donald Trump kuhusu ugonjwa wa COVID-19.

  • Trump afunguliwa mashitaka kwa kuiwekea vikwazo mahakama ya ICC

    Trump afunguliwa mashitaka kwa kuiwekea vikwazo mahakama ya ICC

    Oct 02, 2020 11:34

    Mawakili mashuhuri wa kutetea haki za binadamu wameufungulia mashitaka utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani kwa hatua yake ya hivi karibuni ya kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Trump ni tishio kwa usalama wa Marekani

    Trump ni tishio kwa usalama wa Marekani

    Oct 01, 2020 11:28

    Mkuu wa Kamisheni ya Habari katika Congress ya Marekani amesema Rais Donald Trump ni hatari na tishio kubwa kwa usalama wa nchi hiyo.

  • Mahakama ya Yemen yawahukumu kifo Trump na Bin Salman

    Mahakama ya Yemen yawahukumu kifo Trump na Bin Salman

    Oct 01, 2020 07:59

    Mahakama ya Jinai katika mkoa wa Saada nchini Yemen imewahukumu kifo watu kumi wakiwemo Rais wa Marekani, Donald Trump na mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman kwa kuhusika na shambulizi lililolenga basi la wanafunzi na kuua makumi miongoni mwao mwaka 2018.

  • Ufichuzi; Trump amekwepa kulipa kodi ya mapato kwa miaka 10

    Ufichuzi; Trump amekwepa kulipa kodi ya mapato kwa miaka 10

    Sep 29, 2020 01:30

    Imebainika kuwa, Rais wa Marekani Donald Trump amekuwa akikwepa kulipa kodi ya mapato katika kipindi cha miaka 10 kati ya 15 iliyopita.

  • Kiongozi wa Republican apingana na Trump, asisitiza madaraka yatakabidhiwa kwa njia ya amani

    Kiongozi wa Republican apingana na Trump, asisitiza madaraka yatakabidhiwa kwa njia ya amani

    Sep 26, 2020 07:51

    Kiongozi wa chama cha Republican katika Seneti ya Marekani Mitch McConnell ameungana na viongozi wengine wa chama hicho kutetea mfumo wa demokrasia ya kikatiba ya nchi hiyo na kupinga msimamo wa rais Donald Trump wa kukataa kukiri hadharani kwamba atakabidhi madaraka kwa amani baada ya uchaguzi wa urais utakaofanyika Novemba 3.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS