Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Himaya ya Trump kwa magaidi na takwa la kusitishwa operesheni ya kuikomboa Idlib huko Syria

    Himaya ya Trump kwa magaidi na takwa la kusitishwa operesheni ya kuikomboa Idlib huko Syria

    Dec 28, 2019 07:13

    Ushindi mtawalia wa jeshi la Syria na waitifaki wake umewafanya magaidi waondoke katika ngome yao ya mwisho yaani mkoa wa Idlib. Jeshi la Syria na waitifaki wake wameanzisha operesheni ya kijeshi kwa lengo la kuikomboa Idlib baada ya magaidi kukiuka makubaliano ya usitishaji vita. Hata hivyo nchi za Magharibi hususan Marekani zinataka kusimamishwa operesheni hiyo kwa visingizio vya masuala yanayohusiana na haki za binadamu.

  • Uamuzi wa Trump kumbadilisha Waziri wa Mambo ya Nje

    Uamuzi wa Trump kumbadilisha Waziri wa Mambo ya Nje

    Dec 27, 2019 04:22

    Gazeti moja la Marekani limeeleza uwezekano wa kubadilishwa Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo na kuteuliwa mtu mwingine mahala pake.

  • Wajerumani: Trump ni hatari kubwa kwa amani na usalama wa kimataifa

    Wajerumani: Trump ni hatari kubwa kwa amani na usalama wa kimataifa

    Dec 26, 2019 22:52

    Uchunguzi mpya wa maoni umeonyesha kuwa, raia wengi wa Ujerumani wanaamini kwamba, Rais Donald Trump wa Marekani ni hatari kubwa zaidi kwa usalama na amani ya dunia.

  • Jarida la Christianity Today la Marekani lamponda tena Trump

    Jarida la Christianity Today la Marekani lamponda tena Trump

    Dec 24, 2019 08:16

    Jarida la Kiinjilisti la Christianity Today la Marekani kwa mara nyingine tena limemkosoa vikali Rais Donald Trump wa nchi hiyo, likisisitiza kuwa mwanasiasa huyo wa Republican anapaswa kuondolewa ofisini.

  • John Bolton akiri kufeli siasa za mashinikizo ya juu zaidi za Trump dhidi ya Korea Kaskazini

    John Bolton akiri kufeli siasa za mashinikizo ya juu zaidi za Trump dhidi ya Korea Kaskazini

    Dec 24, 2019 03:32

    Rais Donald Trump wa Marekani ambaye amekuwa akitumia mabavu dhidi ya nchi shindani na zinazopinga siasa za Washington, pia anatekeleza siasa za vitisho na mazungumzo ya siri dhidi ya Korea Kaskazini.

  • Katibu Mkuu wa NATO akiri kushtadi mzozo ndani ya shirika hilo la kijeshi

    Katibu Mkuu wa NATO akiri kushtadi mzozo ndani ya shirika hilo la kijeshi

    Dec 18, 2019 09:22

    Nchi wanachama wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO), zimershiriki katika kikao cha maadhimisho ya mwaka wa 70 tangu kuasisiwa taasisi hiyo ya kijeshi katika hali ambayo tofauti na changamoto kubwa ambazo hazijawahi kushuhudiwa huko nyuma, zinauweka mustakbali wake katika hali isiyojulikana.

  • Kupitishwa bajeti ya kijeshi ya 2020 katika Seneti ya Marekani; kuzidi kuaminisha utumizi wa nguvu za kijeshi

    Kupitishwa bajeti ya kijeshi ya 2020 katika Seneti ya Marekani; kuzidi kuaminisha utumizi wa nguvu za kijeshi

    Dec 18, 2019 04:06

    Marekani ni nchi yenye bajeti kubwa zaidi ya kijeshi duniani, yakiwa ni matokeo ya sera yake ya kuaminisha zaidi kutumia mabavu na nguvu za kijeshi katika uga wa kimataifa. Washington huongeza kila mwaka bajeti yake hiyo; na kwa kufanya hivyo kupiga hatua zaidi za kupanua na kuimarisha nguvu zake za kijeshi.

  • Madaktari wa magonjwa ya akili wa Marekani wana shaka kuhusu afya ya kiakili ya Trump

    Madaktari wa magonjwa ya akili wa Marekani wana shaka kuhusu afya ya kiakili ya Trump

    Dec 08, 2019 23:12

    Barua iliyosainiwa na madaktari 350 wa magonjwa ya akili wa nchini Marekani na kutumwa kwa kongresi ya nchi hiyo imedai kuwa afya ya kiakili ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo inazidi kuwa mbaya kwa kasi katika wakati huu ambapo natija ya vikao vya uchunguzi wa kumsaili rais huyo ikitazamiwa kuwasilishwa kwa kongresi siku ya Alhamisi.

  • Sera za undumilakuwili za Marekani nchini Syria

    Sera za undumilakuwili za Marekani nchini Syria

    Dec 06, 2019 04:34

    Tangu mwaka 2014, Marekani imejiingiza kijeshi kinyume cha sheria nchini Syria kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh; na hivi sasa pia, licha ya madai ya rais wa nchi hiyo Donald Trump kwamba imejiondoa kijeshi katika ardhi ya Syria, imeshatafuta kisingizio kingine kipya ili kurefusha muda wa kuweko askari wake nchini humo.

  • Trump akaribia kusailiwa na kufikishwa mahakamani

    Trump akaribia kusailiwa na kufikishwa mahakamani

    Dec 04, 2019 21:50

    Hatimaye baada ya wiki kadhaa za vikao vya uchunguzi vya wazi na vya faragha, kamati ya intelijensia ya bunge la wawakilishi la Marekani imemtuhumu rasmi Rais Donald Trump kuwa alitumia vibaya madaraka yake kuhusiana na suala la Ukraine na kujaribu kuizuia kongresi kutekeleza majukumu yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS