Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • NATO na changamoto zinazoikabili wakati inaadhimisha mwaka wa 70 wa kuasisiwa kwake

    NATO na changamoto zinazoikabili wakati inaadhimisha mwaka wa 70 wa kuasisiwa kwake

    Dec 04, 2019 04:42

    Nchi wanachama wa shirika la kijeshi la NATO zinakutana mjini London, Uingereza katika mkutano unaoadhimisha mwaka wa 70 tangu kuasisiwa shirika hilo la kijeshi, huku tofauti kubwa na changamoto za mivutano zilizopo ambazo hazijawahi kushuhudiwa, zikiuweka mashakani mustakabali wake.

  • Trump akosoa matamshi ya Macron kuhusu Nato

    Trump akosoa matamshi ya Macron kuhusu Nato

    Dec 03, 2019 09:00

    Rais wa Marekani ameyataja matamshi ya Rais mwenzake wa Ufaransa kuhusu Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) kuwa yaliyotiwa chumvi.

  • Wasiwasi unaoongezeka wa Wahafidhina kuhusu uingiliaji wa Donald Trump katika siasa za ndani za Uingereza

    Wasiwasi unaoongezeka wa Wahafidhina kuhusu uingiliaji wa Donald Trump katika siasa za ndani za Uingereza

    Dec 01, 2019 03:10

    Uingiliaji unaoongezeka kila siku wa Rais Donald Trump wa Marekani katika masuala ya ndani ya Uingereza hususan kwa kuzingatia kukaribia kufanyika uchaguzi wa kabla ya wakati wa Bunge la Uingereza siyo tu kwamba, umekabiliwa na ukosoaji wa chama cha upinzani cha Leba, bali filihali chama tawala cha Kihafidhina (Conservative) nacho kimeonyesha wasiwasi kilionao kuhusiana na suala hilo.

  • Trump, changamoto kubwa zaidi kwa Umoja wa Ulaya

    Trump, changamoto kubwa zaidi kwa Umoja wa Ulaya

    Nov 30, 2019 01:01

    Tokea aingie madarakani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akitekeleza siasa za upande mmoja na kuiondoa nchi hiyo katika mitakaba muhimu ya kimataifa, kinyume kabisa na matarajio na mitazamo ya Umoja wa Ulaya na hivyo kupanua pengo la tofauti kati ya pande hizo mbili za Bahari ya Atlantiki.

  • Kiongozi Muadhamu akosoa safari ya kinyemela ya Trump nchini Afghanistan

    Kiongozi Muadhamu akosoa safari ya kinyemela ya Trump nchini Afghanistan

    Nov 30, 2019 01:00

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekosoa vikali safari za kushtukiza na za kificho zinazofanywa na watawala wa Marekani katika nchi za eneo hili la Asia Magharibi kinyume cha sheria.

  • Trump akutana na Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan

    Trump akutana na Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan

    Nov 29, 2019 07:44

    Katika safari yake ya ghafla nchini Afghanistan, Rais Donald Trump wa Marekani amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Ashraf Ghani wa nchi hiyo.

  • Kamanda wa zamani wa kikosi cha wanamaji wa Marekani akosoa vikali sera za Trump

    Kamanda wa zamani wa kikosi cha wanamaji wa Marekani akosoa vikali sera za Trump

    Nov 28, 2019 23:05

    Kamanda wa jeshi la wanamaji katika Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) aliyepigwa kalamu nyekundu hivi karibuni, ameelezea uingiliaji wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo katika hukumu za vyombo vya mahkama ya kijeshi kupitia jumbe zake za mtandao wa kijamii wa Twitter na kusema kuwa, hatua hiyo haijawahi kushuhudiwa huko nyuma.

  • Mkewe Trump apokelewa kwa malalamiko na kuzomewa na wanachuo wa Maryland Marekani

    Mkewe Trump apokelewa kwa malalamiko na kuzomewa na wanachuo wa Maryland Marekani

    Nov 28, 2019 01:16

    Wanachuo wa Marekani waliokuwa wamekusanyika katika Chuo Kikuu cha Maryland huko Baltimore kusikiliza hotuba ya Bi Melania Trump mke wa Rais Donald Trump wa Marekani wamempokea mke huyo wa rais kwa kumzomea.

  • Assad: Asante ya Trump kwa Syria kuhusu kuuliwa al Baghdadi ni mzaha

    Assad: Asante ya Trump kwa Syria kuhusu kuuliwa al Baghdadi ni mzaha

    Nov 27, 2019 21:51

    Rais wa Syria amehoji mchezo wa maonyesho unaofanywa na Marekani kuhusu kuuawa kiongozi wa kundi la kigaidi la Daesh na kueleza kuwa: Madai ya Marekani kwamba Syria ilishiriki katika mauaji hayo ni moja ya mizaha ya Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Kupigwa kalamu nyekundu Kamanda wa Jeshi la Wanamaji wa Marekani kwa kupinga amri ya Trump

    Kupigwa kalamu nyekundu Kamanda wa Jeshi la Wanamaji wa Marekani kwa kupinga amri ya Trump

    Nov 26, 2019 03:14

    Rais Donald Trump wa Marekani ameendelea kukiuka na kufumbia macho taratibu za kisheria ambapo mara kwa mara amekuwa akiingilia moja kwa moja masuala tofauti ya idara za serikali na za jeshi la nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS