• Iran kujiunga na mfumo wa BRICS PAY ili kukwepa vikwazo vya Marekani

    Iran kujiunga na mfumo wa BRICS PAY ili kukwepa vikwazo vya Marekani

    Oct 01, 2023 03:52

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Qalibaf amesema Iran itajiunga na BRICS PAY, mfumo wa kibenki wa kielektroniki unaotumiwa na muungano wa BRICS wa mataifa yanayoinukia kiuchumi, ili kukwepa vizuizi vya kibenki vilivyosababishwa na vikwazo vya Marekani.

  • Uamuzi wa nchi 8 za magharibi mwa Afrika wa kuacha kutumia sarafu ya Ufaransa

    Uamuzi wa nchi 8 za magharibi mwa Afrika wa kuacha kutumia sarafu ya Ufaransa

    Dec 24, 2019 23:26

    Baada ya mashauriano yaliyodumu kwa muda mrefu, hatimaye nchi nane kati ya 15 wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) zimejitoa katika muungano wa sarafu ya pamoja ya Ufaransa (Franc) na kutangaza kwamba, kuanzia sasa zitaanza kufanya miamala yao yote kwa kutumia sarafu ya Eco ili zisalimike madhara ya kifedha yaliyokuwa yakisababishwa na sarafu ya Franc.

  • Matatizo ya kifedha, changamoto kubwa kwa Umoja wa Afrika

    Matatizo ya kifedha, changamoto kubwa kwa Umoja wa Afrika

    Jan 30, 2017 00:31

    Kuendelea matatizo ya kifedha kwa Umoja wa Afrika (AU) ambayo ndio taasisi kubwa kwa nchi za Kiafrika, kumeufanya umoja huo ushindwe kutekeleza majukumu yake hususan suala zima la kusimamia amani na uthabiti katika eneo hilo.

  • Rais Mugabe aidhinisha 'sarafu mpya' Zimbabwe

    Rais Mugabe aidhinisha 'sarafu mpya' Zimbabwe

    Nov 02, 2016 00:54

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametumia mamlaka ya ofisi yake kutoa dikrii inayoidhinisha matumizi ya sarafu mpya nchini humo, licha ya asasi za kiraia kusisitiza kuwa uamuzi huo ni kinyume cha sheria.

  • Fedha bandia zaharibu uchumi Tanzania

    Fedha bandia zaharibu uchumi Tanzania

    Feb 22, 2016 07:10

    Kuwepo uingizwaji wa fedha bandia katika mzunguko wa matumizi ya fedha nchini Tanzania kunatajwa kuwa ni kikwazo katika ustawi wa uchumi wa nchi hiyo