Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

gaidi

  • Syria yawakamata magaidi wanaofungamana na Marekani

    Syria yawakamata magaidi wanaofungamana na Marekani

    Jul 08, 2020 03:03

    Jeshi la Syria limetangaza kutekeleza oparesheni ambayo imepelekea kukamatwa wanachama wa kundi la kigaidi ambalo linafungamana na Marekani mashariki mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Chad laua wapiganaji elfu moja wa Boko Haram

    Jeshi la Chad laua wapiganaji elfu moja wa Boko Haram

    Apr 10, 2020 07:55

    Msemaji wa jeshi la Chad ametangaza kuwa jeshi hilo limewaangamiza magaidi elfu moja wa kundi la Boko Haram huko Magharibi mwa nchi hiyo.

  • Machaguo mawili ya Moscow kwa makundi ya kigaidi, Idlib nchini Syria

    Machaguo mawili ya Moscow kwa makundi ya kigaidi, Idlib nchini Syria

    Mar 19, 2020 02:43

    Russia imeyapa machaguo mawili makundi ya kigaidi yananayofadhiliwa na nchi za Magharibi katika eneo la Idlib huko kaskazini mwa Syria. Mwezi Januari mwaka huu jeshi la Syria na washirika wake walianzisha operesheni ya kuusafisha mkoa huo wa Idlib, ambao ndio ngome ya mwisho ya magaidi ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Bashar Asad: Syria itaanza opesheni dhidi ya wavamizi wa Kimarekani karibuni

    Bashar Asad: Syria itaanza opesheni dhidi ya wavamizi wa Kimarekani karibuni

    Mar 06, 2020 08:23

    Rais Bashar Assad wa Syria amesema kuwa Uturuki inatekeleza maagizo ya Marekani na inafanya juu chini kuhakikisha kwamba Damascus haikomboi mkoa wa Idlib kutoka kwenye makucha ya makundi ya kigaidi.

  • Jeshi la Syria lakomboa kikamilifu kusini mwa mkoa wa Idlib

    Jeshi la Syria lakomboa kikamilifu kusini mwa mkoa wa Idlib

    Feb 28, 2020 01:17

    Taasisi inayoitwa 'Watetezi wa Haki za Binaadamu Syria' imetangaza kuwa jeshi la Syria limefanikiwa kukomboa kikamilifu kusini mwa mkoa wa Idlib, kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Magaidi 60 waangamizwa Idlib katika mashambulio ya anga ya Syria na Russia

    Magaidi 60 waangamizwa Idlib katika mashambulio ya anga ya Syria na Russia

    Feb 13, 2020 03:35

    Magaidi wasiopungua 60 wameangamizwa na makumi ya wengine kujeruhia mashariki mwa mji wa Idlib kufuatia mashambulio ya anga ya pamoja ya majeshi ya Syria na Russia.

  • "ISIS walitaka kushambulia ubalozi wa Marekani Lebanon na kuisingizia Hizbullah"

    Jan 24, 2020 06:15

    Gazeti la al Jamhuriyyah la Lebanon limefichua kuwa, genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) lilikuwa limepanga njama za kushambulia ubalozi wa Marekani mjini Beirut ili kuibebesha lawama harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Hizbullah hasa baada ya Marekani kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds, cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH.

  • Ngome kubwa ya ISIS yaharibiwa kaskazini mwa Iraq

    Ngome kubwa ya ISIS yaharibiwa kaskazini mwa Iraq

    Jan 12, 2020 12:13

    Vikosi vya Kujitolea vya Wananchi wa Iraq maarufu kama Al Hashd al Shaabi vimeharibu pango kubwa zaidi la magaidi wa ISIS (Daesh) kaskazini mwa Iraq.

  • Russia yafunga maelfu ya tovuti za Intaneti kwa sababu za ugaidi

    Russia yafunga maelfu ya tovuti za Intaneti kwa sababu za ugaidi

    Dec 12, 2019 02:18

    Serikali ya Russia imetangaza kuwa, tangu kuanza mwaka huu wa 2019 hadi hivi sasa imeshafunga mitandao 50 elfu ya Intaneti kutokana na kueneza taarifa za kigaidi nchini humo.

  • Magaidi 19 wauawa katika oparesheni ya jeshi la Mali

    Magaidi 19 wauawa katika oparesheni ya jeshi la Mali

    Nov 18, 2019 07:26

    Jeshi la Mali ilimetangaza kuwa limewauwa magaidi 19 katika oparesheni zake mbili katikati mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS