Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Mgogoro katika Baraza la Mawaziri la Vita: Je, Ben-Gvir ataweza kusambaratisha baraza hilo la Netanyahu?

    Mgogoro katika Baraza la Mawaziri la Vita: Je, Ben-Gvir ataweza kusambaratisha baraza hilo la Netanyahu?

    Oct 12, 2025 02:17

    Kufuatia kutangazwa makubaliano ya kusimamisha vita na kubadlishana mateka kati ya Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), Itamar Ben -Gvir Waziri wa Usalama wa Ndani wa utawala wa Kizayuni ametangaza kupinga vikali makubaliano hayo na kutishia kulimbaratisha baraza la mawaziri la Netanyahu.

  • Makundi ya Muqawama ya Palestina yakataa Ghaza kuwa chini ya utawala na usimamizi wa wageni

    Makundi ya Muqawama ya Palestina yakataa Ghaza kuwa chini ya utawala na usimamizi wa wageni

    Oct 11, 2025 03:22

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, HAMAS pamoja na makundi mengine washirika ya Muqawama wa Palestina yamesisitiza kuwa uamuzi wowote kuhusu utawala wa baadaye wa Ghaza ni "suala la ndani la Palestina" na kupinga vikali eneo hilo kutawaliwa na kusimamiwa na maajinabi.

  • Kilio cha vyombo vya habari na duru za kisiasa za Israel kwa makubaliano ya usitishaji vita; HAMAS inasalia Ghaza na imeshinda

    Kilio cha vyombo vya habari na duru za kisiasa za Israel kwa makubaliano ya usitishaji vita; HAMAS inasalia Ghaza na imeshinda

    Oct 10, 2025 07:28

    Baada ya kutangazwa makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Ghaza na ya kubadilishana mateka kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, vyombo vya habari na duru za kisiasa za ndani ya utawala wa kizayuni zimetoa lawama kwa kuashiria matokeo ya vita na kuendelea kubaki thabiti miundo na mihimili ya Muqawama ndani ya Ghaza.

  • Viongozi duniani wakaribisha makubaliano ya kusimamishwa vita Ghaza yaliyofikiwa kati ya Hamas na Israel

    Viongozi duniani wakaribisha makubaliano ya kusimamishwa vita Ghaza yaliyofikiwa kati ya Hamas na Israel

    Oct 09, 2025 11:25

    Viongozi mbalimbali duniani wamekaribisha tangazo la kusitishwa vita Ghaza kufuatia siku tatu za mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya harakati ya ukombozi wa Palestina ya Hamas na utawala wa kizayuni Israel nchini Misri kulingana na mpango uliopendekezwa na Rais wa Marekani Donald Trump.

  • Kuanguka kizoro katika uso wa Israel - Mwaka wa Pili wa Kimbunga cha al Aqsa

    Kuanguka kizoro katika uso wa Israel - Mwaka wa Pili wa Kimbunga cha al Aqsa

    Oct 07, 2025 10:35

    Historia muda wote imethibitisha kwamba, msimamo imara na kutotetereka mataifa ya dunia katika kupigania ukombozi, siku zote hushinda utumiaji mabavu, vita, njama na mauaji ya umati. Hiyo ni ahadi ya Qur'ani Tukufu ambapo katika Surat Muhammad, aya ya 7 tunasoma: "Mkimnusuru Mwenyezi Mungu basi na Yeye atakunusuruni."

  • Kukaribisha madola ya Ulaya jibu la HAMAS kwa mpango wa Trump; nini sababu zake?

    Kukaribisha madola ya Ulaya jibu la HAMAS kwa mpango wa Trump; nini sababu zake?

    Oct 06, 2025 02:18

    Katika hatua iliyoratibiwa, viongozi wa nchi kubwa za Ulaya wamekaribisha jibu la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina (HAMAS) kwa mpango wa Trump kuhusu Gaza.

  • Mkuu wa UNRWA atoa indhari: Israel inaelekea kufanya

    Mkuu wa UNRWA atoa indhari: Israel inaelekea kufanya "mauaji ya halaiki ya idadi kubwa" katika Mji wa Ghaza

    Oct 03, 2025 10:40

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), Philippe Lazzarini, ametahadharisha kwamba utawala wa kizayuni wa Israel inaonekana unapanga kufanya "mauaji ya halaiki ya idadi kubwa" katika Mji wa Ghaza huku ukiwa unashadidisha mzingiro wake na mashambulizi makubwa ya kijeshi dhidi ya mji huo.

  • Rais wa Colombia aendeleza kampeni ya kumkosoa Rais Trump wa Marekani

    Rais wa Colombia aendeleza kampeni ya kumkosoa Rais Trump wa Marekani

    Oct 02, 2025 10:17

    Katika siku za hivi karibuni, Rais Gustavo Petro wa Colombia, ameendeleza ukosoaji mkali dhidi ya Rais Donald Trump wa Marekani na sera za utawala wake.

  • Katibu Mkuu wa Jihadul-Islami ya Palestina, Ansarullah ya Yemen 'wauponda' mpango wa Trump kuhusu Ghaza

    Katibu Mkuu wa Jihadul-Islami ya Palestina, Ansarullah ya Yemen 'wauponda' mpango wa Trump kuhusu Ghaza

    Sep 30, 2025 07:05

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesisitiza kwamba, mpango wa Donald Trump kwa ajili ya Ukanda wa Ghaza ni mpango wa utawala wa Kizayuni na ni waraka wa agizo la kuendeleza uchokozi na uvamizi dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Vipi Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limefikia natija ya kufanyika mauaji ya kimbari huko Gaza?

    Vipi Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limefikia natija ya kufanyika mauaji ya kimbari huko Gaza?

    Sep 29, 2025 02:16

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limetangaza hatua za Israel huko Gaza kuwa ni mfano wa kisheria wa "mauaji ya halaiki."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS