Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Misri na Djibouti zalaani mashambulizi mapya ya Israel katika Ukanda wa Gaza

    Misri na Djibouti zalaani mashambulizi mapya ya Israel katika Ukanda wa Gaza

    Apr 24, 2025 10:47

    Rais wa Misri, Abdel-Fattah al-Sisi na mwenzake wa Djibouti, Ismail Omar Guelleh wametangaza uungaji mkono wao kwa juhudi za kumaliza vita katika Ukanda wa Gaza, na kulinda usalama wa baharini katika Bahari Nyekundu.

  • ICJ yaafikiana na Israel kuakhirisha kesi ya mauaji ya halaiki Gaza kwa miezi 6

    ICJ yaafikiana na Israel kuakhirisha kesi ya mauaji ya halaiki Gaza kwa miezi 6

    Apr 18, 2025 06:45

    Katika hatua inayotia wasiwasi, Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imeafiki ombi la kuakhirisha kesi iliyowasilishwa na Afrika Kusini dhidi ya Israel, kuhusu kampeni ya kikatili na ya kijeshi ya utawala huo wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.

  • Kushindwa mhimili wa vita wa Kizayuni na Marekani katika vita huko Yemen na Gaza

    Kushindwa mhimili wa vita wa Kizayuni na Marekani katika vita huko Yemen na Gaza

    Apr 14, 2025 10:59

    Licha ya mashambulizi yanayoendelea kufanywa na mhimili wa Kizayuni na Marekani dhidi ya Yemen na Gaza, bado vikosi vya jeshi la Yemen na Muqawama wa Palestina vinaendelea kukabiliana na wavamizi hao.

  • Jinai za kinyama za Israel Ghaza hazina udhibiti, Wapalestina wengine 37 wauawa shahidi

    Jinai za kinyama za Israel Ghaza hazina udhibiti, Wapalestina wengine 37 wauawa shahidi

    Apr 14, 2025 06:12

    Mashambulio makubwa na ya kinyama yaliyofanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika maeneo mbalimbali ya Ghaza yamewaua shahidi Wapalestina wengine wasiopungua 37.

  • Jamii ya kimataifa yaendelea kunyamazia kimya jinai za Israel

    Jamii ya kimataifa yaendelea kunyamazia kimya jinai za Israel

    Apr 13, 2025 12:26

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kali kuhusu vifo vya watoto wa Gaza kwa wingi kutokana na njaa kali na ukosefu wa chakula.

  • Kimya cha dunia mkabala wa jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza

    Kimya cha dunia mkabala wa jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza

    Apr 11, 2025 02:10

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa Gaza imekuwa machinjioni, na zaidi ya mwezi mmoja sasa hakuna msaada wowote uliopelekwa eneo hilo na kwamba wakazi wa Gaza hawana mafuta, dawa na bidhaa nyingine zinazohitajika.

  • Mgawanyiko katika jeshi la Israel huku mashambulio dhidi ya Gaza yakiendelea

    Mgawanyiko katika jeshi la Israel huku mashambulio dhidi ya Gaza yakiendelea

    Apr 11, 2025 02:03

    Kundi la askari wa akiba wa jeshi la anga la Israel limefukuzwa kazi baada ya kutia saini waraka wa kutaka kusitishwa vita dhidi ya Gaza na kurejeshwa kwa mateka wa utawala huo haramu.

  • Waisraeli waandamana kupinga kuanza tena vita vya Gaza

    Waisraeli waandamana kupinga kuanza tena vita vya Gaza

    Apr 08, 2025 06:41

    Maelfu ya waandamanaji wamejitokeza katika mitaa ya Tel Aviv kushiriki katika maandamano mapya ya kupinga serikali ya utawala haramu wa Israel, wakati ambapo Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu alipokutana na Rais wa Marekani, Donald Trump mjini Washington.

  • Waingereza 10 wakabiliwa na tuhuma za jinai za kivita Gaza

    Waingereza 10 wakabiliwa na tuhuma za jinai za kivita Gaza

    Apr 07, 2025 11:35

    Kundi mashuhuri la mawakili wa haki za binadamu wa Uingereza linatazamiwa kuwasilisha malalamiko ya jinai za kivita dhidi ya Waingereza kumi waliokuwa sehemu ya wanajeshi wa Israel waliofanya mashambulizi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Israel yashambulia nyumba ya makazi ya raia huko Gaza na kuuwa shahidi watu 15

    Israel yashambulia nyumba ya makazi ya raia huko Gaza na kuuwa shahidi watu 15

    Apr 03, 2025 11:37

    Idadi nyingine ya Wapalestina wameuawa shahidi katika mashambulizi ya anga ya leo asubuhi utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS