-
Ben-Gvir awapongeza wanajeshi wa Israel walioua zaidi ya Wapalestina 100 Ghaza, US yaizuia UN isitoe tamko
Mar 01, 2024 23:37Waziri wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel mwenye misimamo mikali ya chuki amewapongeza wanajeshi wa utawala huo walioua zaidi ya Wapalestina 100 waliokuwa wakisubiri misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza uliowekewa mzingiro.
-
Ukosoaji wa Iran kwa Baraza la Usalama la UN kwa kutochukua hatua kuhusiana na mauaji ya kimbari ya Wapalestina wa Ghazza
Feb 29, 2024 03:44Tangu ilipoanza duru mpya ya mauaji ya kimbari ya Wapalestina yanayofanywa na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghazza, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ikitumia kila fursa inayopata kulaani jinai za utawala huo ghasibu na kutaka mashambulizi ya kinyama yanayofanywa dhidi ya Wapalestina yakomeshwe.
-
Baada ya kutembelea Israel, mbunge wa Kongresi asema: Netanyahu ni kidhabu
Feb 29, 2024 03:42Mjumbe wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amepinga mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na Israel huko Palestina na kumtaja Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu kuwa ni mhalifu na mwongo.
-
A/Kusini inafuatilia utekelezaji wa hukumu ya Mahakama ya ICJ dhidi ya utawala wa Kizayuni
Feb 28, 2024 08:12Serikali ya Afrika Kusini imesisitiza kuhusu kutekelezwa hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) dhidi ya utawala wa Kizayuni.
-
Mkuu wa UNRWA: Janga la njaa la 'kutengezwa na watu' Ghazza linaepukika kwa kuruhusu kuingizwa misaada
Feb 26, 2024 08:17Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) amesema baa la njaa kali lililozagaa katika Ukanda wa Gaza linaweza kuepukwa ikiwa misaada itaruhusiwa kuingizwa katika eneo hilo.
-
Rais wa Brazil: Kinachofanywa na Wazayuni huko Ghaza ni mauaji ya umati
Feb 24, 2024 02:49Rais Luiz Inácio Lula da Silva wa Brazil amesema kuwa, kinachofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Ukanda wa Ghaza ni mauaji ya umati.
-
Kuwaunga mkono wananchi na muqawama wa Ghazza ndilo jukumu kubwa la kiQur'ani leo hii
Feb 22, 2024 08:03Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran amesisitiza kuwa, kuwaunga mkono na kuwasaidia wananchi na muqawama wa Ukanda wa Ghazza ndilo jukumu kubwa zaidi la kiQur'ani hivi sasa.
-
Mwakilishi wa Afrika Kusini ICJ: Israel imefanya mauaji ya kimbari Gaza
Feb 21, 2024 07:48Mwakilishi wa Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) ametangaza kuwa, uvamizi na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza yanatisha zaidi kuliko mfumo wa ubaguzi wa rangi, apartheid.
-
Nchi 26 kati ya 27 za EU zataka 'kusitishwa vita haraka kwa sababu za kibinadamu' Ghazza
Feb 20, 2024 03:36Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell ametangaza kuwa, nchi zote wanachama wa umoja huo isipokuwa moja tu, ambazo ni 26 kati ya 27, zimetoa wito wa "kusitishwa mara moja mapigano huko Ghazza kwa sababu za kibinadamu", usitishaji ambao utapelekea kupatikana usitishaji wa kudumu wa vita katika eneo hilo.
-
Asilimia 75 ya wanahabari waliouliwa 2023 wameuawa katika vita vya Israel dhidi ya Ghazza
Feb 16, 2024 04:20Kamati ya Kulinda Wanahabari CPJ imetangaza kuwa, waandishi wa habari 72 kati ya 99 waliouawa duniani kote mwaka 2023 walikuwa Wapalestina walioripoti vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ghazza, na kuifanya miezi hiyo 12 kuwa mibaya zaidi kwa vyombo vya habari katika kipindi cha karibu muongo mmoja sasa.