-
Kwa mara ya kwanza rais wa Marekani ataka kuwepo 'usitishaji' katika vita vya Israel dhidi ya Gaza
Nov 02, 2023 09:41Rais Joe Biden wa Marekani, kwa mara ya kwanza ametoa sauti ya kuunga mkono "usitishaji" mapigano kwa sababu za kibinadamu katika vita vya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza wakati Washington inatilia mkazo kuwaondoa Wamarekani wote waliokwama katika eneo hilo la Palestina lililowekewa mzingiro.
-
Kuendelea siasa za undumakuwili za Erdogan kuhusu uungaji mkono kwa watu wa Gaza
Nov 02, 2023 08:18Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki anaendeleza siasa zake za undumakuwili katika kuunga mkono watu wa Ghaza, huku ndege za kivita za kistratijia za Marekani zikiwa zimeegeshwa katika kituo cha kijeshi cha Incirlik kusini mwa Uturuki.
-
"Okoa watoto wa Gaza", Wamarekani wakatiza kikao cha Kongresi cha kumsaili Blinken na Austin
Nov 01, 2023 04:45Waandamanaji jana Jumanne walikatiza kikao cha kuwahoji mawaziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi wa Marekani katika Bunge la Kongresi kilichoitishwa kwa ajiili ya kijadili suala la kuongeza uungaji mkono na misaada kwa Israel na Ukraine. Waandamanaji hao walioingia ndani ya Kongresi walitoa nara wakitaka "kuokolewa watoto wa Gaza" na "kusitishwa mapigano mara moja" katika eneo hilo la Palestina.
-
Al-Azhar: Adui Mzayuni ni mbwa mwitu mkali aliyepatwa na kichaa cha kuua
Nov 01, 2023 04:40Taasisi ya kidini ya Al-Azhar nchini Misri imetangaza kuwa: “Adui Mzayuni amegeuka na kuwa mbwa mwitu mkali na mwenye kiu ya kuua watoto, wanawake na watu wasio na hatia, na kufurahia kula nyama zao na kunywa damu zao bila ya kizuizi chochote.
-
Waziri wa Afya wa Iran akosoa kimya cha WHO kwa jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza
Oct 31, 2023 06:42Waziri wa Afya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa kimya cha Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa jinai zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
EU: Mashambulio ya utawala wa Kizayuni Ukanda wa Ghaza yanakanyaga sheria za kimataifa
Oct 29, 2023 02:27Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni kwenye maeneo ya makazi ya watu, vituo vya matibabu na skuli za Ghaza yanakanyaga sheria za kimataifa na utu na ubinadamu.
-
Jarida lathibitisha: Vikosi maalumu vya Marekani vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza
Oct 28, 2023 23:30Jarida la Marekani linalohusika na masuala ya kijeshi limefichua kuwa vikosi maalumu vya nchi hiyo vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza.
-
Wataalamu wailaumu vikali Misri kwa msimamo dhaifu mbele ya jinai za Israel huko Ghaza
Oct 28, 2023 11:02Wataalamu na wachambuzi mbalimbali wameendelea kutoa lawama kali dhidi ya serikali ya Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri kwa msimamo dhaifu inaoonesha mbele ya jinai za kuchumpa mipaka zinazofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Ghaza.
-
Kupasishwa azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu Ghaza
Oct 28, 2023 08:39Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha rasimu ya azimio lililopendekezwa na nchi za Kiarabu na kutaka kutekelezwa usitishaji vita wa kibinadamu haraka iwezekanavyo huko Ghaza.
-
Qatar yasikitishwa na utendaji kazi wa Baraza la Usalama huko Ghaza
Oct 26, 2023 23:02Mwakilishi wa Qatar katika Umoja wa Mataifa amelalamikia siasa za utolewaji misaada ya kibinadamu huko Ghaza na kushindwa Baraza la Usalama kupitisha azimio kuhusiana na matukio ya eneo hilo.