Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Balozi wa Israel atimuliwa Colombia kulalamikia jinai za Wazayuni Ukanda wa Ghaza

    Balozi wa Israel atimuliwa Colombia kulalamikia jinai za Wazayuni Ukanda wa Ghaza

    Oct 17, 2023 02:32

    Duru mbalimbali za habari zimetangaza usiku wa kuamkia leo Jumanne kwamba, nchi ya Colombia ya Amerika ya Latini imemtimua balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel ikiwa ni kulalamikia jinai za utawala huo dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Ghaza.

  • Wazayuni waendeleza jinai dhidi ya Wapalestina, jamii ya kimataifa yaonya

    Wazayuni waendeleza jinai dhidi ya Wapalestina, jamii ya kimataifa yaonya

    Oct 14, 2023 10:06

    Taasisi na asasi mbalimbali za kimataifa zinaendelea kulaani mpango wa kikatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani wa kutaka kuwahamisha kwa nguvu wananchi wa kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza.

  • Msimamo wa China unaokinzana na Wazayuni kuhusu mgogoro wa Gaza

    Msimamo wa China unaokinzana na Wazayuni kuhusu mgogoro wa Gaza

    Oct 14, 2023 04:11

    Tangu siku za mwanzo kabisa za shambulio la kasi ya radi la Hamas dhidi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu, msimamo wa China kuhusu suala hilo haukuziridhisha Marekani na Wazayuni.

  • Safari ya kieneo ya Amir Abdollahian inayoangazia vita vya Gaza

    Safari ya kieneo ya Amir Abdollahian inayoangazia vita vya Gaza

    Oct 13, 2023 08:07

    Huku utawala wa Kizayuni ukiendeleza hujuma na vita vyake vya jinai dhidi ya watu wasio na hatia wa Ukanda wa Gaza, Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anasisitiza ulazima wa kukomeshwa jinai hizo za Wazayuni kwa kufanya safari katika nchi kadhaa za eneo.

  • Wanajeshi wa Kizayuni wanazishambulia timu za matabibu na huduma ya kwanza

    Wanajeshi wa Kizayuni wanazishambulia timu za matabibu na huduma ya kwanza

    Oct 11, 2023 04:41

    Msemaji wa Wizara ya Afya katika Ukanda wa Ghaza ameeleza kuwa wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wanazishambulia kwa makusudi timu za matabibu wa huduma za kwanza na magari ya kubebea wagonjwa (Ambulances).

  • Ombi la Algeria kwa Jamii ya Kimataifa kuliunga mkono taifa la Palestina dhidi ya jinai za utawala wa Kizayuni

    Ombi la Algeria kwa Jamii ya Kimataifa kuliunga mkono taifa la Palestina dhidi ya jinai za utawala wa Kizayuni

    Oct 09, 2023 03:13

    Kupitia taarifa, Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria imetaka uingiliaji kati wa haraka wa Jumii ya Kimataifa kupitia taasisi husika ili kuliunga mkono taifa la Palestina dhidi ya jinai za utawala wa Kizayuni.

  • Amnesty: Hujuma za Israel dhidi ya Gaza yumkini ni jinai za kivita

    Amnesty: Hujuma za Israel dhidi ya Gaza yumkini ni jinai za kivita

    Jun 15, 2023 03:05

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema huenda Israel ilifanya jinai za kivita katika mashambulizi ya anga ya utawala huo haramu wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza mwezi uliopita wa Mei.

  • Januari 19; Siku ya Ghaza na nembo ya muqawama wa Kiislamu

    Januari 19; Siku ya Ghaza na nembo ya muqawama wa Kiislamu

    Jan 19, 2023 06:36

    Januari 19 imetajwa katika kalenda ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni "Siku ya Ghaza" kwa mnasaba wa kumbukumbu ya vita vya siku 22 katika Ukanda wa Ghaza huko Palestina.

  • Kwa mnasaba wa Siku ya Gaza, Waarabu watakiwa kuwa bega kwa bega na Muqawama kama ilivyo Iran

    Kwa mnasaba wa Siku ya Gaza, Waarabu watakiwa kuwa bega kwa bega na Muqawama kama ilivyo Iran

    Jan 18, 2023 23:32

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, Iran inaunga mkono kishujaa kadhia na piganio tukufu la Palestina; na inavyotarajiwa, nchi za Kiarabu nazo pia zichukue msimamo kama huo wa Tehran.

  • Moto waua watu 21 Ukanda wa Gaza, Mamlaka ya Ndani yatangaza maombolezo ya umma

    Moto waua watu 21 Ukanda wa Gaza, Mamlaka ya Ndani yatangaza maombolezo ya umma

    Nov 18, 2022 03:01

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ukanda wa Gaza imetangaza habari ya kufariki dunia watu wote waliokuwa katika jengo la ghorofa lililoteketea kwa moto katika kambi ya Jabalia kaskazini mwa Ukanda wa Gaza, huku Jeshi la Ulinzi la Wananchi likieleza kuwa wafanyakazi wake wameopoa miili 21 ya waliofariki dunia kutokana na moto huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS