Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Hamas: Mashambulizi ya utawala wa Kizayuni ni ukiukaji wa wazi wa usitishaji vita

    Hamas: Mashambulizi ya utawala wa Kizayuni ni ukiukaji wa wazi wa usitishaji vita

    May 07, 2026 11:21

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani mashambulizi yanayoongezeka ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza, ikiyataja kuwa ni ukiukaji wa wazi wa makubaliano ya usitishaji vita na sheria za kimataifa.

  • Hamas: Takwa la kukabidhi silaha ni kisingizio cha Israel cha kukwepa wajibu

    Hamas: Takwa la kukabidhi silaha ni kisingizio cha Israel cha kukwepa wajibu

    May 03, 2026 10:15

    Mjumbe wa Idara ya Siasa ya Hamas, Mohammed Nazzal, amesema kuwa ombi la kukabidhiwa silaha za harakati hiyo ni kisingizio kinachotumiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel ili kukwepa utekelezaji wa majukumu yake.

  • Hamas yalaani mashambulizi ya Israel Gaza; yasema ni jinai kamili ya kivita

    Hamas yalaani mashambulizi ya Israel Gaza; yasema ni jinai kamili ya kivita

    Apr 25, 2026 11:33

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na makundi mengine ya muqawama wa Palestina yamelaani vikali wimbi la sasa la mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza na kuyataja kuwa ni "kuzidisha umwagaji damu na jinai kamili ya kivitaya Wazayuni."

  • Hamas: Uhalifu Mpya Kaskazini mwa Gaza Unaonyesha Kutokuwa na Uwezo wa Bodi ya Amani

    Hamas: Uhalifu Mpya Kaskazini mwa Gaza Unaonyesha Kutokuwa na Uwezo wa Bodi ya Amani

    Apr 25, 2026 04:52

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kwamba mauaji ya kutisha yaliyofanywa na jeshi utawala vamizi la Israel huko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza, ambayo yamewalenga moja kwa moja watoto, ni kielelezo kipya cha kuendelea vita vya mauaji ya kimbari na maangamizi ya kizazi katika maeneo mbalimbali ya Ukanda huo.

  • Msemaji wa al Qassam asema Iran ni safu ya mbele ya kutetea Umma wa Kiislamu

    Msemaji wa al Qassam asema Iran ni safu ya mbele ya kutetea Umma wa Kiislamu

    Mar 22, 2026 03:48

    Msemaji wa tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amepongeza mashambulizi ya makombora ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya maeneo mbalimbali ya utawala ghasibu wa Israel.

  • Qaddoumi: Iran ina haki ya kujibu mashambulizi dhidi yake

    Qaddoumi: Iran ina haki ya kujibu mashambulizi dhidi yake

    Mar 15, 2026 05:11

    Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) Tehran amesisitiza kuwa Iran ina haki kamili na ya pande zote ya kukabiliana na mashambulizi ya adui kwa kila njia inayoiona inafaa.

  • Afisa mwandamizi wa PLO asema, HAMAS si kundi la kigaidi, apinga mpango wa kuipokonya silaha

    Afisa mwandamizi wa PLO asema, HAMAS si kundi la kigaidi, apinga mpango wa kuipokonya silaha

    Feb 25, 2026 03:28

    Katibu Mkuu wa Kamati ya Utendaji ya Chama cha Ukombozi wa Palestina (PLO), Azzam al-Ahmad amesema, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS si shirika la kigaidi na ameukataa wito wa kupokonywa silaha zake huku akibainisha kuwepo mipango ya kufanya mazungumzo kuhusu uwezekano wa harakati hiyo kujumuishwa katika PLO.

  • Hamas yalaani mkutano wa 'Bodi ya Amani' ya Trump

    Hamas yalaani mkutano wa 'Bodi ya Amani' ya Trump

    Feb 20, 2026 06:18

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali kufanyika mkutano wa kile kinachoitwa 'Bodi ya Amani ya Gaza' huko nchini Marekani.

  • Hamas yazionya US, Israel: Vita yoyote dhidi ya Iran ni sawa na kushambulia Ulimwengu mzima wa Kiislamu

    Hamas yazionya US, Israel: Vita yoyote dhidi ya Iran ni sawa na kushambulia Ulimwengu mzima wa Kiislamu

    Feb 12, 2026 07:53

    Brigedi za al Qassam, tawi ila kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeonya kuwa vita yoyote dhidi ya Iran ni sawa na shambulio dhidi ya Umma mzima wa Kiislamu.

  • Hamas yalaani mradi wa kifashisti na kikoloni wa Israel unaolenga kulitwaa eneo la Ukingo wa Magharibi

    Hamas yalaani mradi wa kifashisti na kikoloni wa Israel unaolenga kulitwaa eneo la Ukingo wa Magharibi

    Feb 08, 2026 23:30

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali maamuzi mtawalia yaliyopasishwa na baraza la usalama la Israel jana Jumapili. Hamas imeyataja maamuzii hayo kuwa ni sehemu ya mradi wa kifashishti, wa kikoloni na wa kilowezi wenye lengo la kulitwaa eneo la Ukingo wa Magharibi na kuliunganisha na ardhi nyingine zilizoghusubiwa za Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS