Apr 12, 2024 11:17
Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, usitishaji vita wa kudumu ndio msingi mkuu wa kufikia mapatano na utawala wa Kizayuni wa Israel juu ya kuwarejesha makwao bila ya masharti yoyote Wapalestina waliolazimika kuyahama makazi yao na kuondoka kikamilifu vikosi vya utawala huo katika Ukanda wa Ghaza.