Mar 17, 2024 02:13
Harakati ya Muqawama za Hamas, Jihad Islami, Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Palestina na harakati ya Ansarullah ya Yemen zimefanya mkutano kwa ajili ya kuratibu na kuweka mikakati ya pamoja ya kuliunga mkono na kulitetea taifa linalodhulumiwa la Palestina dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.