Feb 20, 2024 07:26
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa itakubali kutekeleza makubaliano ya kubadilishana mateka na utawala wa Kizayuni wa Israel, pale tu utawala huo ghasibu utakapokubali kusitisha vita kikamilifu na kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingizwa katika Ukanda wa Ghazza.