• Netanyahu apinga pendekezo la kufikia makubaliano na HAMAS

    Netanyahu apinga pendekezo la kufikia makubaliano na HAMAS

    Feb 14, 2024 04:04

    Waziri Mkuu wa Israel amepuuzilia mbali pendekezo la mashirika ya kijasusi ya Mossad na Shin Bet ya utawala huo wa Kizayuni juu ya kufikia mapatano ya kubadilishana wafungwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).

  • HAMAS: 'Tunapitia' pendekezo jipya la kusimamisha vita Gaza

    HAMAS: 'Tunapitia' pendekezo jipya la kusimamisha vita Gaza

    Jan 31, 2024 00:01

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kundi hilo la muqawama 'linadurusu' na kutathmini pendekezo jipya la usitishaji vita lakini amesisitiza kuwa, kipaumbele chake kwa sasa ni kuhitimisha uvamizi na kuondoka kikamilifu vikosi vamizi vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Pendekezo jipya kwa Israel na Hamas la kusimamisha mapigano kwa miezi minne

    Pendekezo jipya kwa Israel na Hamas la kusimamisha mapigano kwa miezi minne

    Jan 29, 2024 02:51

    Shirika la habari la Anadolu la Uturuki limelinukuu Jarida la Wall Street Journal na kuripoti kuwa nchi patanishi zimewasilisha pendekezo la kusitisha mapigano kwa miezi 4 kati ya harakati ya Hamas na utawala wa Kizayuni ikiwa ni pamoja na kuachiwa huru mateka wote wa upande wa utawala wa Kizayuni.

  • HAMAS: Netanyahu anataka kurefusha vita vya Gaza kwa malengo ya kisiasa

    HAMAS: Netanyahu anataka kurefusha vita vya Gaza kwa malengo ya kisiasa

    Jan 28, 2024 23:34

    Mwanachama mwandamizi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kundi hilo la muqawama linataka usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza, lakini Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu anataka vita hivyo viendelee kutokana na sababu zake binafsi na za kisiasa.

  • WSJ: 80% ya handaki za HAMAS huko Gaza zingali zinafanya kazi

    WSJ: 80% ya handaki za HAMAS huko Gaza zingali zinafanya kazi

    Jan 28, 2024 09:55

    Gazeti la Wall Street Journal la Marekani limeripoti kuwa, asilimia 80 ya njia za chini kwa chini za Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika Ukanda wa Gaza zingali zinafanya kazi, licha ya mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya eneo hilo lililozingirwa, tokea Oktoba 7, 2023.

  • Axios: Israel imependekeza kwa HAMAS mpango mpya wa kubadilishana mateka

    Axios: Israel imependekeza kwa HAMAS mpango mpya wa kubadilishana mateka

    Jan 23, 2024 02:29

    Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umependekeza kwa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS mpango mpya wa kubadilishana mateka kupitia "usitishaji" mapigano kwa muda wa hadi siku 60 ili mateka wote waliosalia, ambao wanashikiliwa na harakati hiyo, waweze kuachiwa.

  • HAMAS: Wapalestina 500,000 wa Gaza wapo katika hatari ya kufa njaa

    HAMAS: Wapalestina 500,000 wa Gaza wapo katika hatari ya kufa njaa

    Jan 22, 2024 23:40

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema zaidi ya watu nusu milioni wakazi wa Ukanda wa Gaza wapo katika hatari ya kufa njaa kutokana na taathira hasi za vita vya mauaji ya kimbari vya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina wa eneo hilo lililozingirwa.

  • HAMAS: Shambulio la Oktoba 7 ilikuwa

    HAMAS: Shambulio la Oktoba 7 ilikuwa "hatua ya lazima" dhidi ya ukaliaji ardhi kwa mabavu wa Israel

    Jan 22, 2024 00:17

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, shambulio la tarehe 7 Oktoba 2024 dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel lilikuwa "hatua ya lazima" dhidi ya ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na utawala huo dhalimu katika maeneo ya Palestina.

  • Wazayuni washangazwa na uwezo mkubwa wa HAMAS wa kuzalisha silaha

    Wazayuni washangazwa na uwezo mkubwa wa HAMAS wa kuzalisha silaha

    Jan 21, 2024 23:29

    Utawala wa Kizayuni umelazimika kukiri kuwa umeshangazwa sana na jinsi Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ilivyo na uwezo mkubwa wa kuzalisha silaha ndani ya Ukanda wa Ghaza ambao umezingiwa kila upande kwa miaka mingi.

  • Marekani: Israel imeshindwa kufikia lengo la vita, HAMAS ingali iko imara, ina silaha za kutosha

    Marekani: Israel imeshindwa kufikia lengo la vita, HAMAS ingali iko imara, ina silaha za kutosha

    Jan 21, 2024 09:18

    Mashirika ya intelijensia ya Marekani yamesema, idadi ya vifo vya wapiganaji wa harakati ya HAMAS vilivyotokana na uvamizi unaoendelea wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza haifikii lengo la utawala huo la kulitokomeza kundi hilo la muqawama wa Palestina.