-
Hamas: Upanuzi wa vitongoji vya walowezi huko al Aghwar ni tishio kwa Wapalestina
Oct 21, 2021 03:48Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika eneo la Palestina la Bonde la Jordan (Aghwar al Urdun) katika Ukingo wa Magharibi ni tishio kwa uwepo wa Wapalestina katika eneo hilo.
-
Israel yaingiwa na kiwewe cha kulipiziwa kisasi na muqawama wa Palestina
Oct 20, 2021 03:51Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefunga kambi na njia za kuelekea maeneo ya karibu na Ukanda wa Ghaza huko Palestina kwa kuhofia ulipizaji kisasi wa muqawama wa Palestina kutokana na jinai za kila siku za Wazayuni.
-
HAMAS yalaani uratibu wa kiusalama baina na Mamlaka ya Ndani ya Palestina na Israel
Oct 18, 2021 04:40Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amekosoa vikali uratibu na ushirikiano wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
HAMAS yapongeza jitihada za kupokonywa Israel uanachama wa AU
Oct 18, 2021 00:23Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kuunga mkono jitihada zinazoendelea za kuupokonya utawala wa Kizayuni wa Israel kibali cha kuwa mwanachama mtazamaji wa Umoja wa Afrika (AU).
-
HAMAS yakosoa hatua ya Saudia ya kuusifu utawala haramu wa Israel
Oct 17, 2021 08:56Moussa Abu Marzouk, mjumbe mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amekosoa vikali matamshi ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudi Arabia na kueleza kwamba, hakuna wakati wowote ule ambao Israel ilikuwa sababu ya amani na uthabiti Asia Magharibi na wala hakuna wakati itakuwa hivyo.
-
Hamas yamkosoa rais wa FIFA kwa kuunga mkono utawala wa Israel
Oct 15, 2021 10:40Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestiina (Hamas) imesema hatua ya rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) ya kushiriki katika ufunguzi wa jengo moja la makumbusho mjini Jerusalem (Quds) ambalo liko katika makaburi ya Wapalestina ni sawa na kuunga mkono uhasama wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Az-Zahar: Uingereza ndio iliyoandaa mazingira ya Palestina kuvamiwa na kukaliwa kwa mabavu na Wazayuni
Oct 07, 2021 01:06Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, wavamizi wa Kiingereza ndio walioandaa mazingira kwa Wazayuni kuvamia na kuikalia kwa mabavu ardhi ya Palestina.
-
"Kujipendekeza Abbas kwa Israel kunaashiria kudidimia Mamlaka ya Ndani Palestina"
Oct 05, 2021 04:30Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imekosoa vikali hatua ya Mamhoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kujidhalilisha na kuwaangukia miguuni maafisa wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa, kitendo hicho kinaonesha namna mamlaka hiyo inavyoendelea kudidimia na kusambaratika.
-
HAMAS yalaani vikao vya viongozi wa Palestina na mawaziri, wabunge wa utawala wa Kizayuni
Sep 25, 2021 00:12Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amelaani vikao vinavyofanywa baina ya maafisa wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Sudan yacheza ngoma ya Wazayuni, yatwaa mali za harakati ya Hamas
Sep 23, 2021 22:47Serikali ya Sudan imefuata nyayo za utawala katili wa Israel na kuchukua hatua ya kutwaa mali na milki za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS.