-
Bahrain yaukingia kifua tena utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Hizbullah ya Lebanon
Sep 02, 2019 13:15Kwa mara nyingine tena aila ya Aal Khalifa inayotawala Bahrain imeutetea na kuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia kipigo cha ulipizaji kisasi ulichopata utawala huo haramu jana Jumapili kutoka kwa wanamapambano wa Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon, Hizbullah.
-
Mafanikio na matokeo ya vita vya siku 33 kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrallah
Aug 18, 2019 08:23Sayyid Hassan Nasrallah Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Ijumaa alihutubu kwa mnasaba wa mwaka wa 13 wa ushindi katika vita vya siku 33 mwaka 2006.
-
Israel yatiwa kiwewe na nguvu za kijeshi za Hizbullah ya Lebanon
Jul 19, 2019 06:26Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza habari ya kuchukuliwa hatua mpya na utawala huo ghasibu za kuimarisha ulinzi katika maeneo ya kiistratijia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni kutokana na kuiogopa Harakati ya Mapambanao ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon.
-
Viongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Answarullah ya Yemen wakutana Beirut
Jul 11, 2019 04:35Viongozi kadhaa wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Answarullah ya Yemen wamekutana mjini Beirut, ambapo sambamba na kulaani kongamano la mjini Manama, Bahrain wamesisitizia umuhimu wa kudumishwa umoja na mshikamano wa Wapalestina kwa ajili ya kukabiliana na mradi huo wa Marekani na Israel.
-
Hizbullah ya Iraq: Uwepo wa askari wa kigeni ni tishio kwa usalama wa taifa na kwa majirani
Jun 20, 2019 11:45Kwa mara nyingine Harakati ya Hizbullah ya Iraq imesisitizia kuondoka askari magaidi wa Kimarakeni katika ardhi ya nchi hiyo kama njia ya kuimarisha uthabiti na usalama wa Iraq.
-
Hizbullah: Mashinikizo kuulenga muqawama daima hayatokuwa na natija yoyote
May 30, 2019 03:57Kaimu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon sambamba na kubainisha kwamba Marekani na Israel kwa kushirikiana na baadhi ya nchi za eneo la Asia Magharibi zinaulenga mrengo wa muqawama kwa mashinikizo makali, amesisitiza kuwa hatua hizo hata kama zitaendelea daima, lakini hazitofikia natija.
-
Nasrallah: Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa 'Muamala wa Karne"
May 26, 2019 06:27Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema: "Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne" ambao lengo lake ni kusambaratisha kadhia ya Palestina.
-
Hizbullah: Saudia inagharamia jinai za Marekani na Israel Asia Magharibi
Apr 29, 2019 06:58Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) ameitaja Saudi Arabia kama mzizi wa ukosefu wa uthabiti katika eneo la Asia Magharibi, na kwamba utawala huo wa kifalme ndio unaofadhili na kugharamia jinai zinazofanywa na Marekani na utawala haramu wa Israel katika eneo.
-
Hizbullah: Marekani inabeba dhima ya chinja chinja ya Saudia
Apr 26, 2019 04:47Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imelaani vikali kitendo cha utawala wa Aal-Saud cha kutekeleza hukumu ya kuwanyonga makumi ya Waislamu wa Kishia nchini Saudi Arabia na kusisitiza kuwa, jinai hizo za kihaini zilifanyika kwa baraka kamili na ushirikiano wa Marekani.
-
Hizbullah: Hatutorudi nyuma katika kuwalinda raia wa Lebanon kutokana na hujuma za Israel
Mar 25, 2019 07:59Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon amesisitiza kwamba muqawama huo hautoachana na majukumu ya kuwalinda raia wa Lebanon kutokana na hujuma za utawala katili wa Israel.