Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Bahrain yaukingia kifua tena utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Bahrain yaukingia kifua tena utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Sep 02, 2019 13:15

    Kwa mara nyingine tena aila ya Aal Khalifa inayotawala Bahrain imeutetea na kuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia kipigo cha ulipizaji kisasi ulichopata utawala huo haramu jana Jumapili kutoka kwa wanamapambano wa Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon, Hizbullah.

  • Mafanikio na matokeo ya vita vya siku 33 kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrallah

    Mafanikio na matokeo ya vita vya siku 33 kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrallah

    Aug 18, 2019 08:23

    Sayyid Hassan Nasrallah Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Ijumaa alihutubu kwa mnasaba wa mwaka wa 13 wa ushindi katika vita vya siku 33 mwaka 2006.

  • Israel yatiwa kiwewe na nguvu za kijeshi za Hizbullah ya Lebanon

    Israel yatiwa kiwewe na nguvu za kijeshi za Hizbullah ya Lebanon

    Jul 19, 2019 06:26

    Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza habari ya kuchukuliwa hatua mpya na utawala huo ghasibu za kuimarisha ulinzi katika maeneo ya kiistratijia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni kutokana na kuiogopa Harakati ya Mapambanao ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Viongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Answarullah ya Yemen wakutana Beirut

    Viongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Answarullah ya Yemen wakutana Beirut

    Jul 11, 2019 04:35

    Viongozi kadhaa wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Answarullah ya Yemen wamekutana mjini Beirut, ambapo sambamba na kulaani kongamano la mjini Manama, Bahrain wamesisitizia umuhimu wa kudumishwa umoja na mshikamano wa Wapalestina kwa ajili ya kukabiliana na mradi huo wa Marekani na Israel.

  • Hizbullah ya Iraq: Uwepo wa askari wa kigeni ni tishio kwa usalama wa taifa na kwa majirani

    Hizbullah ya Iraq: Uwepo wa askari wa kigeni ni tishio kwa usalama wa taifa na kwa majirani

    Jun 20, 2019 11:45

    Kwa mara nyingine Harakati ya Hizbullah ya Iraq imesisitizia kuondoka askari magaidi wa Kimarakeni katika ardhi ya nchi hiyo kama njia ya kuimarisha uthabiti na usalama wa Iraq.

  • Hizbullah: Mashinikizo kuulenga muqawama daima hayatokuwa na natija yoyote

    Hizbullah: Mashinikizo kuulenga muqawama daima hayatokuwa na natija yoyote

    May 30, 2019 03:57

    Kaimu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon sambamba na kubainisha kwamba Marekani na Israel kwa kushirikiana na baadhi ya nchi za eneo la Asia Magharibi zinaulenga mrengo wa muqawama kwa mashinikizo makali, amesisitiza kuwa hatua hizo hata kama zitaendelea daima, lakini hazitofikia natija.

  • Nasrallah: Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa 'Muamala wa Karne

    Nasrallah: Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa 'Muamala wa Karne"

    May 26, 2019 06:27

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema: "Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne" ambao lengo lake ni kusambaratisha kadhia ya Palestina.

  • Hizbullah: Saudia inagharamia jinai za Marekani na Israel Asia Magharibi

    Hizbullah: Saudia inagharamia jinai za Marekani na Israel Asia Magharibi

    Apr 29, 2019 06:58

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) ameitaja Saudi Arabia kama mzizi wa ukosefu wa uthabiti katika eneo la Asia Magharibi, na kwamba utawala huo wa kifalme ndio unaofadhili na kugharamia jinai zinazofanywa na Marekani na utawala haramu wa Israel katika eneo.

  • Hizbullah: Marekani inabeba dhima ya chinja chinja ya Saudia

    Hizbullah: Marekani inabeba dhima ya chinja chinja ya Saudia

    Apr 26, 2019 04:47

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imelaani vikali kitendo cha utawala wa Aal-Saud cha kutekeleza hukumu ya kuwanyonga makumi ya Waislamu wa Kishia nchini Saudi Arabia na kusisitiza kuwa, jinai hizo za kihaini zilifanyika kwa baraka kamili na ushirikiano wa Marekani.

  • Hizbullah: Hatutorudi nyuma katika kuwalinda raia wa Lebanon kutokana na hujuma za Israel

    Hizbullah: Hatutorudi nyuma katika kuwalinda raia wa Lebanon kutokana na hujuma za Israel

    Mar 25, 2019 07:59

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon amesisitiza kwamba muqawama huo hautoachana na majukumu ya kuwalinda raia wa Lebanon kutokana na hujuma za utawala katili wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS