Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Hizbulllah: Njia pekee ya kuisambaratisha mipango ya Marekani ni muqawanma

    Hizbulllah: Njia pekee ya kuisambaratisha mipango ya Marekani ni muqawanma

    Mar 16, 2019 15:02

    Sheikh Ali Damush, mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, njia pekee ya kusambaratisha mipango ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati ni kuendeleza muqawama.

  • Marekani yakasirishwa na misimamo ya serikali ya Lebanon ya kuiunga mkono Hizbullah

    Marekani yakasirishwa na misimamo ya serikali ya Lebanon ya kuiunga mkono Hizbullah

    Mar 11, 2019 02:39

    Duru za kidiplomasia zimearifu kuwa Marekani imekasirishwa na hairidhishwi na misimamo ya viongozi wa serikali ya Lebanon ya kuiunga mkono harakati ya muqawama ya nchi hiyo Hizbullah.

  • Saudia yapongeza kuwekwa Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Saudia yapongeza kuwekwa Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi

    Mar 05, 2019 14:37

    Saudi Arabia imeunga mkono na kupongeza hatua ya hivi karibuni ya Uingereza, ya kuiweka Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon katika jalada lake la makundi ya kigaidi.

  • Qassemi: Iran haiwaombi wengine ruhusa kuhusu masuala yake ya ndani na nje

    Qassemi: Iran haiwaombi wengine ruhusa kuhusu masuala yake ya ndani na nje

    Mar 04, 2019 14:18

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haikubali masharti na haiwaombi wengine ruhusa kuhusu masuala yake ya ndani ya nje.

  • Mogherini: EU haitatilia maanani uamuzi wa Uingereza dhidi ya Hizbullah

    Mogherini: EU haitatilia maanani uamuzi wa Uingereza dhidi ya Hizbullah

    Feb 27, 2019 02:51

    Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesema umoja huo hautatilia maanani hatua ya Uingereza kuiwekea vikwazo Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Hizbullah Iraq: Kuondoka Marekani syria ni ishara ya kushindwa Washington

    Hizbullah Iraq: Kuondoka Marekani syria ni ishara ya kushindwa Washington

    Dec 23, 2018 01:09

    Harakati ya Hizbullah ya Iraq imetangaza kuwa, kuondoka kwa majeshi ya Marekani nchini Syria kuna maana ya kushindwa stratijia za jeshi la nchi hiyo.

  • Hizbullah: Israel itajuta iwapo itaivamia tena Lebanon

    Hizbullah: Israel itajuta iwapo itaivamia tena Lebanon

    Dec 02, 2018 03:41

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeonesha mkanda wa video ikiutahadharisha utawala haramu wa Israel kwamba, utajuta iwapo utaivamia ardhi ya Lebanon.

  • Sheikh Naim Qassem: Marekani haiwezi kurejesha tena ushawishi wake Mashariki ya Kati

    Sheikh Naim Qassem: Marekani haiwezi kurejesha tena ushawishi wake Mashariki ya Kati

    Nov 30, 2018 15:10

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, ndoto za Marekani za kutaka kurejesha tena nguvu na ushawishi wake katika eneo la Mashariki ya Kati zitaambulia patupu.

  • Jeshi la Israel: Kuuawa Nasrullah kutatoa pigo kubwa kwa Hizbullah

    Jeshi la Israel: Kuuawa Nasrullah kutatoa pigo kubwa kwa Hizbullah

    Nov 27, 2018 07:42

    Kamanda wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa mwito wa kuuawa Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah akisisitiza kuwa, kuuawa kwake kutatoa pigo kubwa kwa harakati hiyo ya muqawama.

  • Lebanon yapinga matamshi ya kichochezi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Lebanon yapinga matamshi ya kichochezi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Nov 03, 2018 02:55

    Rais wa Lebanon amesema kuwa sababu ya kuundwa harakati ya Hizbullah nchini humo ni uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ardhi ya Lebanon. Michel Aoun amesma hayo akijibu matamshi yaliyotolewa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Mataifa, Antonio Guterres aliyedai kuwa, Hizbullah inaielekeza Lebanon katika vita. Rais wa Lebanon amesisitiza kuwa nchi hiyo haiwezi kusahau historia yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS