Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • 'Israel inahaha mbele ya uwezo mkubwa wa kijeshi wa Hizbullah ya Lebanon'

    'Israel inahaha mbele ya uwezo mkubwa wa kijeshi wa Hizbullah ya Lebanon'

    Oct 20, 2018 01:09

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Kidemokrasia kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni unahaha hivi sasa kutokana na uwezo mkubwa wa kijeshi wa Hizbullah ya Lebanon na hauthubutu kuanzisha vita vingine.

  • Vikwazo vya Marekani dhidi ya viongozi wa Hizbullah ya Lebanon

    Vikwazo vya Marekani dhidi ya viongozi wa Hizbullah ya Lebanon

    May 18, 2018 02:38

    Serikali ya Marekani imetangaza vikwazo vingine vipya, mara hii ikiwa ni dhidi ya viongozi waandamizi wa Hizbullah ya Lebanon akiwemo Katibu Mkuu wake Sayyid Hassan Nasrullah na naibu wake Sheikh Naeem Qassim.

  • Kuakisiwa ushindi wa mhimili wa muqawama katika uchaguzi wa bunge wa Lebanon na hotuba muhimu ya Sayyid Hassan Nasrullah

    Kuakisiwa ushindi wa mhimili wa muqawama katika uchaguzi wa bunge wa Lebanon na hotuba muhimu ya Sayyid Hassan Nasrullah

    May 09, 2018 08:00

    Akizungumza katika hotuba yake ya kwanza baada kufanyika uchaguzi wa bunge wa Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) ameutaja uchaguzi huo kuwa mafaniko makubwa ya kitaifa kwa Lebanon.

  • Nasrullah: Israel imejichimbia kaburi kwa kuishambulia kijeshi Syria

    Nasrullah: Israel imejichimbia kaburi kwa kuishambulia kijeshi Syria

    Apr 14, 2018 07:39

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya makosa makubwa zaidi kwa kuwashambulia wanajeshi wa Iran ulipolenga kituo cha anga cha Syria hivi karibuni.

  • Naim Qassem: Hizbullah iko tayari kujibu mashambulizi ya Israel

    Naim Qassem: Hizbullah iko tayari kujibu mashambulizi ya Israel

    Mar 16, 2018 03:59

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, wanamapambano wa harakati hiyo wako tayari kukabiliana na shambulio lolote la kijeshi au chokochoko za utawala haramu wa Israel.

  • Hizbullah: Saudia na Marekani zinaingilia uchaguzi wa Lebanon

    Hizbullah: Saudia na Marekani zinaingilia uchaguzi wa Lebanon

    Mar 08, 2018 16:03

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Saudi Arabia na Marekani zinakula njama ya kuingilia uchaguzi wa Bunge la nchi hiyo unaotazamiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu.

  • Israel: Tumepoteza uwezo wetu mkubwa mbele ya harakati ya Hizbullah na Hamas

    Israel: Tumepoteza uwezo wetu mkubwa mbele ya harakati ya Hizbullah na Hamas

    Mar 03, 2018 05:08

    Kamanda wa vikosi vya ardhini vya utawala haramu wa lsrael amekiri kwamba, jeshi la utawala huo limepoteza uwezo wake mkubwa mkabala wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Harakati ya muqawama wa Palestina HAMAS.

  • Kiongozi wa Hizbullah: Walebanon wasiwapigie kura wanasiasa wanaopata himaya ya Marekani

    Kiongozi wa Hizbullah: Walebanon wasiwapigie kura wanasiasa wanaopata himaya ya Marekani

    Feb 25, 2018 08:02

    Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ametoa wito kwa wananchi wa Lebanon kutowapigia kura wagombea wanaopata himaya ya Marekani katika uchaguzi ujao wa bunge huku akionya kuwa wanasiasa kama hao wataikabidhi nchi kwa Marekani.

  • Nujaba ya Iraq yasema itapambana na Israel ikiiletea chokochoko Hizbullah

    Nujaba ya Iraq yasema itapambana na Israel ikiiletea chokochoko Hizbullah

    Feb 14, 2018 07:33

    Harakati ya Nujaba ya Iraq imesema itaiunga mkono kikamilifu harakati ya Hizbullah ya Lebanon iwapo italazimishwa kuingia katika vita vipya na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kamanda wa Israel: Tukiingia kwenye vita, Hizbullah itashambulia bandari zetu za Haifa na Ashdod

    Kamanda wa Israel: Tukiingia kwenye vita, Hizbullah itashambulia bandari zetu za Haifa na Ashdod

    Feb 06, 2018 15:00

    Mmoja wa makamanda wa ngazi ya juu katika jeshi la utawala haramu wa Israel, amesema kuwa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon inamiliki makombora erevu ambayo yanaweza kusambaratisha vituo vya gesi vya Israel zikiwemo pia bandari za Haifa na Ashdod.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS