Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Israel: Changamoto kubwa inayotukabili ni uwezo mkubwa wa Hizbullah unaoongezeka

    Israel: Changamoto kubwa inayotukabili ni uwezo mkubwa wa Hizbullah unaoongezeka

    Jan 31, 2018 15:31

    Gadi Eizenkot, mkuu wa majeshi ya utawala haramu wa Israel ameonyesha wasiwasi wake mkubwa juu ya kuongezeka uwezo wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Boroujerdi: Hizbullah imechangia pakubwa kusambaratishwa ISIS

    Boroujerdi: Hizbullah imechangia pakubwa kusambaratishwa ISIS

    Jan 26, 2018 07:47

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa mchango mkubwa sana katika jitihada za kuangamizwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • HAMAS yasisitiza kuimarisha uhusiano wake na Iran na Hizbullah ya Lebanon

    HAMAS yasisitiza kuimarisha uhusiano wake na Iran na Hizbullah ya Lebanon

    Jan 21, 2018 14:10

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema uhusiano wa harakati hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na harakati ya Hizbullah ya Lebanon umerejea kwenye mkondo wake wa kawaida.

  • Afisa wa MOSSAD akiri nguvu za Hizbullah ya Lebanon

    Afisa wa MOSSAD akiri nguvu za Hizbullah ya Lebanon

    Jan 14, 2018 14:05

    Afisa mmoja wa shirika la kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel MOSSAD amekiri kwamba kushindwa operesheni ya utawala huo ya mwaka 1997 kulitokana na Hizbullah kuwa na teknolojia kubwa zaidi iliyoiwezesha kupenya kusikiliza mazungumzo ya maafisa wa Israel.

  • Hariri aipongeza Hizbullah, ataka uhusiano uliobora na Iran

    Hariri aipongeza Hizbullah, ataka uhusiano uliobora na Iran

    Jan 12, 2018 13:48

    Waziri Mkuu wa Lebanon Saad Hariri ametoa wito wa nchi hiyo kuwekwa mbali na migogoro ya eneo la Mashariki ya Kati huku akiipongeza Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini hiyo kwa jitihada zake za kupunguza taharuki katika eneo.

  • Israel: Tunapanga kumuua Nasrullah katika vita vijavyo dhidi ya Lebanon

    Israel: Tunapanga kumuua Nasrullah katika vita vijavyo dhidi ya Lebanon

    Nov 28, 2017 07:46

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limetishia kwamba Sayyid Hasssan Nasrullah, kiongozi wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon yupo kwenye shabaha ya kuuawa katika vita vijavyo vya Tel Aviv dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Hamas yasisitiza hatima ya pamoja ya muqawama wa Palestina na Hizbullah

    Hamas yasisitiza hatima ya pamoja ya muqawama wa Palestina na Hizbullah

    Nov 20, 2017 14:08

    Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema katika radiamali yake kwa taarifa ya karibuni ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) dhidi ya chama cha Hizbullah kuwa hatima ya muqawama wa Palestina na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imefungamana pamoja.

  • Saudia yaichochea Israel iihujumu Lebanon, Hizbullah yasema iko tayari kijeshi

    Saudia yaichochea Israel iihujumu Lebanon, Hizbullah yasema iko tayari kijeshi

    Nov 14, 2017 03:04

    Afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kwa ajili ya makabiliano yoyote ya kijeshi huku kukiwa na tetesi kuwa Saudi Arabia inauchochea utawala wa Kizayuni wa Israel uishambulie Lebanon kijeshi.

  • Misri yakataa kuburuzwa na Saudia; yapinga vikwazo  dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Misri yakataa kuburuzwa na Saudia; yapinga vikwazo dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Nov 08, 2017 07:52

    Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri amesisitiza kuwa, licha ya Saudi Arabia kuzitaka nchi za Kiarabu ziiwekee vikwazo Hizbullah ya Lebanon lakini Cairo haina nia kabisa ya kufanya hivyo.

  • Aalimu wa Kisuni: Njama chafu za Saudia na Israel dhidi ya Hizbullah zimegonga mwamba

    Aalimu wa Kisuni: Njama chafu za Saudia na Israel dhidi ya Hizbullah zimegonga mwamba

    Nov 03, 2017 04:41

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Maulama wa Muqawama amesema kuwa, njama chafu na mipango ya utawala wa Aal-Saud kwa kushirikiana na Israel na washirika wake wa Magharibi ya kujaribu kuihusisha na ugaidi Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon, imegonga mwamba na kufeli.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS