Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Hizbullah: Mazungumzo na adui hayana maslahi na taifa

    Hizbullah: Mazungumzo na adui hayana maslahi na taifa

    Nov 06, 2025 10:44

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imesitiza kuwa kufanya mazungumzo na adui si kwa maslahi yoyote ya kitaifa, na kubainisha kuwa baadhi walijaribu kukabidhi silaha za muqawama dhidi ya adui kama ushahidi wa nia njema ya Lebanon.

  • Umuhimu wa kusimama kidete Muqawama wa Lebanon katika kukabiliana na njama za Marekani na Israel

    Umuhimu wa kusimama kidete Muqawama wa Lebanon katika kukabiliana na njama za Marekani na Israel

    Nov 03, 2025 09:49

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon Hizbullah Sheikh Naim Qassem, amesisitiza kuwa Hizbullah haitasalimu amri kwa vitisho vya Marekani kwa sababu nchi hiyo si mpatanishi asiyeegemea upande wowote na inaunga mkono utawala wa Kizayuni na uvamizi wa Israel.

  • Hizbullah: Trump anajiona mtu wa amani ilhali ni gaidi namba moja duniani

    Hizbullah: Trump anajiona mtu wa amani ilhali ni gaidi namba moja duniani

    Oct 21, 2025 07:02

    Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Siasa la Hizbullah amesisitiza kuwa, Rais wa Marekani anajiona ni “mtu wa amani” duniani ilhali kiuhalisia yeye ni “mchekeshaji, muigizaji, mdanganyifu na mzandiki, na ndiye gaidi namba moja duniani” aliyemuua shahidi aliyekuwa Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sayyed Hassan Nasrullah (Radhi za Allah ziwe juu yake), kwa mabomu ya Marekani.

  • Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha

    Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha

    Oct 20, 2025 09:40

    Tom Barrack, balozi wa Marekani nchini Uturuki na mjumbe maalumu wa masuala ya Syria, ametoa onyo la kutisha kwa Lebanon akiitaka ama iipokonye silaha Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya nchi hiyo Hizbulla au ikabiliwe na mashambulizi mengine ya Israel na migogoro ya kiuchumi na kisiasa.

  • Hizbullah: Vita vya utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya kusini mwa Lebanon vingali vinaendelea

    Hizbullah: Vita vya utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya kusini mwa Lebanon vingali vinaendelea

    Oct 19, 2025 02:43

    Mbunge mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon Hizbullah amesisitiza kuwa, vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya maeneo ya kusini mwa Lebanon vingali vinaendelea kwa malengo maalumu na kwa sura tofauti.

  • Sayyid Hassan Nasrullah; Tunu Adhimu ya Ulimwengu wa Kiislamu; Kumbukumbu ya kuuawa shahidi

    Sayyid Hassan Nasrullah; Tunu Adhimu ya Ulimwengu wa Kiislamu; Kumbukumbu ya kuuawa shahidi

    Oct 07, 2025 05:56

    Karibuni wasikilizaji wapendwa kutegea sikio kipindi hiki cha makala ya wiki tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kutimia mwaka mmoja tangu kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Lebanon Hizbullah, kuweni nami hadi tamati.

  • Je, nini hatima ya kuipokonya silaha Hizbullah ya Lebanon?

    Je, nini hatima ya kuipokonya silaha Hizbullah ya Lebanon?

    Aug 17, 2025 05:21

    Katika wiki za hivi karibuni, mpango wa kuipokonya silaha Hizbullah nchini Lebanon umewasilishwa kwa mashinikizo ya Marekani na uungaji mkono wa utawala ghasibu wa Israel.

  • UK yampokea kiongozi wa Polisario ikiwa imeiunga mkono Morocco katika mzozo wa Sahara

    UK yampokea kiongozi wa Polisario ikiwa imeiunga mkono Morocco katika mzozo wa Sahara

    Aug 10, 2025 02:36

    Ujumbe wa Sahara Magharibi ukiongozwa na mwanadiplomasia mkuu wa Harakati ya Polisario umekutana na Waziri wa Uingereza anayehusika na Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini Hamish Falconer mjini London sambamba na kuongezeka juhudi za kimataifa za kuushughulikia mzozo wa Sahara Magharibi.

  • Hizbullah: Israel ilitaka kuisambaratisha Iran, lakini Tehran ikaibuka mshindi

    Hizbullah: Israel ilitaka kuisambaratisha Iran, lakini Tehran ikaibuka mshindi

    Jul 19, 2025 04:46

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa Israel ulikuwa ukitaka kuendeleza ajenda yake ya uharibifu dhidi ya Iran wakati wa vita vyake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu mwezi uliopita, lakini Tehran iliweza kuushinda utawala huo ghasibu.

  • Sheikh Naim  Qassim: Israel ni tishio la kistratejia kwa usalama wa eneo na dunia; Hizbullah haitaweka chini silaha

    Sheikh Naim Qassim: Israel ni tishio la kistratejia kwa usalama wa eneo na dunia; Hizbullah haitaweka chini silaha

    Jul 03, 2025 07:49

    Sheikh Naim Qassem, kiongozi wa harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah ameeleza kuwa Israel si tu kuwa inaikalia kwa mabavu Palestina bali ni tishio la kimkakati kwa Lebanon, Misri, Syria, Jordan, na ni tishio pia kwa amani na usalama wa kanda hii na dunia nzima kwa ujumla.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS