-
Mashambulizi makubwa ya makombora kutoka Lebanon yazilenga ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel)
Feb 14, 2024 23:01Duru za habari zimetangaza kuwa mashambulizi makubwa ya makombora kutoka upande wa kusini mwa Lebanon yalifanyika katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za palestina jana Jumatano.
-
Nasrullah: Chimbuko la nguvu za muqawama ni Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 14, 2024 04:04Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelipongeza na kulishukuru Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) kwa kuiunga mkono kambi ya muqawama katika mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wanajeshi 560 wa Israel wameshaangamizwa hadi hivi sasa Ghaza
Feb 01, 2024 03:44Jeshi la utawala wa Kizayuni ambalo ni maarufu kwa kuchuja mno habari limesema katika taarifa yake ya jana kwamba, hadi hivi sasa wanajeshi 560 wa Israel wameshaangamizwa tangu vilipoanza vita vya Ghaza, tarehe 7 Oktoba, 2023.
-
Hizbullah ya Lebanon yalenga maeneo ya Wazayuni
Jan 04, 2024 02:04Hizbullah ya Lebanon imelenga maeneo kadhaa ya Wazayuni karibu na mpaka wa Lebanon na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel).
-
Hizbullah yauvurumishia maroketi mji unaokaliwa kwa mabavu na Israel karibu na Lebanon
Dec 21, 2023 07:53Wanamuqawama wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon wameendeleza mashambulizi yao dhidi ya maeneo ya Israel, na mara hii wameuvurumishia maroketi mji wa kaskazini unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel karibu na mpaka wa Lebanon.
-
Hizbullah ya Lebanon yashambulia ndani ya saa moja vituo sita vya jeshi la Kizayuni
Dec 09, 2023 02:42Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa imevishambulia vituo sita vya kijeshi vya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa "silaha mwafaka" na kuvisababishia hasara kadhaa.
-
Hizbullah: Israel 'itafutwa' ikiwafukuza Wapalestina Gaza
Nov 16, 2023 02:58Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala haramu wa Israel utasambaratishwa na kufutwa katika uso wa dunia iwapo utajaribu kuwafurusha wananchi wa Palestina wanaoshi katika Ukanda wa Gaza.
-
Israel yafyata mkia, yasema haitaki kuingia vitani na Hizbullah
Oct 25, 2023 04:06Rais Isaac Herzog wa Israel amedai kuwa, utawala huo wa Kizayuni hauna azma ya kuingia vitani na Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon katika upande wa kaskazini, siku chache baada ya viongozi wa Marekani kuwatahadharisha watawala wa Israel kuhusu ugumu na hatari ya kuendesha vita viwili kwa wakati mmoja; upande wa kusini na Harakati ya Hamas ya Palestina na upande wa kaskazini na harakati yenye nguvu kubwa ya kijeshi, Hizbullah.
-
Hizbullah yatoa taarifa kuhusu mashambulio makali iliyofanya dhidi ya ngome za Israel
Oct 14, 2023 23:03Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa na kutangaza kuwa imetoa kipigo kikali katika mashambulio iliyofanya dhidi ya ngombe za jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika katika mashamba ya Shabaa ya ardhi ya Lebanon inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
-
Afisa wa usalama wa utawala wa Israel: Maneno ya Nasrullah hayapaswi kupuuzwa
Aug 19, 2023 22:57Naibu Mkuu wa Shirika la Usalama la utawala wa Kizayuni wa Israel amesema kwamba, matamshi yaliyotolewa na Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, hayapaswi kupuuzwa.