Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Nukta nne za kistratijia katika matamshi ya Sayyid Nasrullah kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 40 ya Hizbullah

    Nukta nne za kistratijia katika matamshi ya Sayyid Nasrullah kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 40 ya Hizbullah

    Jul 27, 2022 07:44

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, juzi usiku (tarehe 25 Julai) alizungumza na televisheni ya al-Mayadeen kwa mnasaba wa mwaka wa 40 wa kuasisiwa Hizbullah, ambapo nukta kadhaa za kistratijia zilijadiliwa.

  • Maulamaa wa Beirut: Lebanon katu haitaanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni

    Maulamaa wa Beirut: Lebanon katu haitaanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni

    Jul 25, 2022 03:25

    Baraza la Maulamaa wa Beirut limesisitiza kuwa hakuna mahusiano yoyote ya kibinadamu au ya kidini baina ya Lebanon na utawala ghasibu wa Kizayuni wa Israel kwa sababu kulingana na katiba utawala huo ni adui wa Lebanon.

  • Mchambuzi Mzayuni: Uwezo wa kijeshi wa anga wa Hizbullah umekuwa mkubwa zaidi

    Mchambuzi Mzayuni: Uwezo wa kijeshi wa anga wa Hizbullah umekuwa mkubwa zaidi

    Jul 09, 2022 22:17

    Mchambuzi mmoja wa chaneli ya 14 ya televisheni ya utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa harakati ya muqawama wa Kiislamu nchini Lebanon ya Hizbullah imekuwa na nguvu na uwezo mpya wa kijeshi katika uga wa angani.

  • Nguvu za kijeshi za Hizbullah ya Lebanon zimeongezeka kila upande, imejiandaa vilivyo kupambana na Wazayuni

    Nguvu za kijeshi za Hizbullah ya Lebanon zimeongezeka kila upande, imejiandaa vilivyo kupambana na Wazayuni

    Jun 20, 2022 22:12

    Nguvu za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon zimeongezeka kila upande, angani, ardhini na majini na imejiandaa kikamilifu kupambana na Wazayuni.

  • Hizbullah ya Lebanon: Operesheni ya kijana wa Kipalestina Tel Aviv imedhihirisha udhaifu wa utawala wa Kizayuni

    Hizbullah ya Lebanon: Operesheni ya kijana wa Kipalestina Tel Aviv imedhihirisha udhaifu wa utawala wa Kizayuni

    Apr 08, 2022 22:03

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah imesema kuwa, operesheni ya kujitolea kufa shahidi iliyofanywa na kijana mmoja Mpalestina katikati ya Tel Aviv imedhihirisha udhaifu wa utawala wa Kizayuni na kufeli vyombo vya usalama vya utawala huo pandikizi.

  • Balozi wa Saudia mjini Beirut aropokwa tena akiituhumu Hizbullah ya Lebanon

    Balozi wa Saudia mjini Beirut aropokwa tena akiituhumu Hizbullah ya Lebanon

    Jan 13, 2022 08:11

    Balozi wa Saudi Arabia mjini Beiurut ameendelreaza bwajaja zake dhidi ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon baada ya kudai kwamba, Hizbullah inafanya mambo yanayoonyesha iko juu ya serikali ya Lebanon

  • Madai na tuhuma zisizokoma za Saudi Arabia dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Madai na tuhuma zisizokoma za Saudi Arabia dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Jan 09, 2022 08:58

    Madai na tuhuma za Saudi Arabia dhidi ya Hizbullah ya Lebanon zinaendelea kutolewa katika hali ambayo, makundi ya kisiasa ya Lebanon yanajiandaa kwa ajili ya uchaguzi wa Bunge uliopangwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu (2022).

  • Sheikh Naim Qassem: Hizbullah itatoa jibu kali kwa Saud Arabia

    Sheikh Naim Qassem: Hizbullah itatoa jibu kali kwa Saud Arabia

    Jan 07, 2022 09:48

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelaani matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na mfalme wa Saudi Arabia kuhusu harakati hiyo na kusema kuwa, hatua hiyo inachochea machafuko nchini Lebanon na kwamba Hizbullah itatoa jibu kali kwa uchochezi huo.

  • Hizbullah: Marekani inaongoza vita dhidi ya muqawama Lebanon na Asia Magharibi

    Hizbullah: Marekani inaongoza vita dhidi ya muqawama Lebanon na Asia Magharibi

    Dec 15, 2021 10:27

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inaongoza na kusimamia vita dhidi ya muqawama nchini Lebanon na eneo la Asia Magharibi kwa ujumla.

  • Hizbullah yalaani vikali uamuzi wa Australia

    Hizbullah yalaani vikali uamuzi wa Australia

    Nov 25, 2021 01:01

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali uamuzi wa serikali ya Australia wa kukiweka chama hicho katika orodha ya makundi ya kigaidi na kusema hatua hiyo ni kujidhalilisha nchi hiyo mbele ya matakwa ya Marekani, utawala wa Kizayuni na sera za ugaidi na mauaji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS