Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • "Siasa za Marekani dhidi ya Iran zimefeli"

    Jul 07, 2019 22:12

    Naibu wa Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, siasa za serikali ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimefeli.

  • Hizbullah: Utatuzi wa kadhia ya Palestina kwa fedha ni udhalilishaji mkubwa

    Hizbullah: Utatuzi wa kadhia ya Palestina kwa fedha ni udhalilishaji mkubwa

    Jun 24, 2019 23:06

    Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Muqawama ya nchini Lebanon Hizbulla, amesema kuwa, mtazamo wa Marekani kwa wananchi wa Palestia kuwa ni watu masikini ambao matatizo yao yanatatuliwa tu kwa fedha, ni udhalilishaji mkubwa kwa watu wa taifa hilo.

  • Hizbullah: Hatua ya Iran kutungua ndege ya ujasusi ya Marekani, ni sisitizo la kujilinda

    Hizbullah: Hatua ya Iran kutungua ndege ya ujasusi ya Marekani, ni sisitizo la kujilinda

    Jun 22, 2019 22:03

    Kaimu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon sambamba na kuashiria hatua ya kutunguliwa na Iran ndege ya ujasusi isiyo na rubani ya Marekani, amesema kuwa hatua hiyo inathibitisha kwamba Tehran haitofumbia macho kukiukwa kwa haki yake ya kujitawala.

  • Hizbullah: Utawala haramu wa Israel ndio chimbuko kuu la ugaidi duniani

    Hizbullah: Utawala haramu wa Israel ndio chimbuko kuu la ugaidi duniani

    Apr 19, 2019 23:54

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini lebanon, Sheikh Naim Qassem amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio chanzo kikuu cha ugaidi na uharibifu katika eneo la Asia Magharibi na duniani kwa ujumla.

  • Nasrullah: Hatua ya US dhidi ya IRGC ni thibitisho kuwa Washington imefeli katika eneo

    Nasrullah: Hatua ya US dhidi ya IRGC ni thibitisho kuwa Washington imefeli katika eneo

    Apr 11, 2019 09:26

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) sambamba na kulaani hatua ya Rais Donald Trump ya kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC katika orodha ya Marekani ya makundi ya kigaidi amesisitiza kuwa, kitendo hicho ni ithibati tosha kuwa Washington imefeli katika njama zake ghalati katika eneo la Asia Magharibi.

  • Israel: Jeshi letu la anga haliwezi kukabiliana na makombora ya muqawama

    Israel: Jeshi letu la anga haliwezi kukabiliana na makombora ya muqawama

    Apr 06, 2019 21:55

    Kituo cha Utafiti wa Usalama wa Taifa cha utawala wa Kizayuni wa Israel kimekiri katika ripoti yake maalumu kwamba jeshi la anga na taasisi za kijasusi za utawala huo, hazina uwezo wa kukabiliana na makombora ya wanamuqawama wa Kiislamu.

  • Hizbullah: Muqawama ni tishio kubwa kwa adui Mzayuni

    Hizbullah: Muqawama ni tishio kubwa kwa adui Mzayuni

    Apr 05, 2019 01:57

    Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, nguvu na uwezo wa muqawama ni tishio kubwa kwa adui Mzayuni.

  • Hizbullah: Kuna mgongano katika misimamo ya Arab League kuhusu namna ya kukabiliana na vitisho vya Israel

    Hizbullah: Kuna mgongano katika misimamo ya Arab League kuhusu namna ya kukabiliana na vitisho vya Israel

    Apr 02, 2019 03:25

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema, kuna mgongano katika misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kuhusu jinsi ya kukabiliana na vitisho dhidi ya ardhi za Kiarabu na za Kiislamu.

  • Nasrullah: Hatua ya Trump ya kuitambua miinuko ya Golan kuwa mali ya Israel ni kuutusi Ulimwengu wa Kiislamu

    Nasrullah: Hatua ya Trump ya kuitambua miinuko ya Golan kuwa mali ya Israel ni kuutusi Ulimwengu wa Kiislamu

    Mar 27, 2019 03:36

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitambua rasmi miinuko ya Golan kuwa ni mali na miliki ya utawala haramu wa Israel ni kuzitusi na kuzivunjia heshima nchi za Ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu.

  • Uungaji mkono wa mirengo yote ya Lebanon kwa Hizbullah na kudhalilika kwa Pompeo

    Uungaji mkono wa mirengo yote ya Lebanon kwa Hizbullah na kudhalilika kwa Pompeo

    Mar 25, 2019 03:03

    Siku ya Ijumaa, Mike Pompeo, waziri wa mambo ya nje wa Marekani, aliwasili mji mkuu wa Lebanon, Beirut kwa madhumuni ya kwenda kutafuta uungaji mkono wa shakhsia na makundi ya kisiasa ya nchi hiyo dhidi ya Hizbullah, lakini alikabiliwa na jibu moja la Walebanon la kuiunga mkono harakati hiyo ya muqawama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS