Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Viongozi wa Lebanon wamueleza Pompeo: Hizbullah ni sehemu ya serikali na bunge la Lebanon

    Viongozi wa Lebanon wamueleza Pompeo: Hizbullah ni sehemu ya serikali na bunge la Lebanon

    Mar 23, 2019 03:11

    Maafisa wa serikali ya Lebanon, katika nyakati tofauti, wamemueleza Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo kwamba, harakati ya muqawama ya Hizbullah ina nafasi katika serikali na bunge la nchi hiyo na kusisitiza kuwa, muqawama ni ngome imara ya kukabiliana na uvamizi na ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na Wazayuni.

  • Hizbullah ya Lebanon: Oparesheni ya Silfit ni dhihirisho la uwezo wa wanamapambano wa Palestina

    Hizbullah ya Lebanon: Oparesheni ya Silfit ni dhihirisho la uwezo wa wanamapambano wa Palestina

    Mar 19, 2019 03:17

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) imeitaja oparesheni iliyofanywa na wanamuqawama wa Palestina dhidi ya Wazayuni huko Silfit kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni liwa ni nukta adhimu katika maendeleo ya muqawama na ni ishara ya uwezo wa wanamuqawama hao mbele ya jinai za Israel.

  • Sisitizo la Sayyid Hassan Nasrullah la kuzishinda njama za Marekani Mashariki ya Kati

    Sisitizo la Sayyid Hassan Nasrullah la kuzishinda njama za Marekani Mashariki ya Kati

    Mar 09, 2019 21:49

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) amesema kuwa mwaka 2006 Marekani ilikuwa na njama na mipango mikubwa ya kuumaliza muqawama hata hivyo njama zote hizo zimefeli kutokana na kuwa imara na kuwa macho wanamuqawama.

  • Sayyid Hassan Nasrullah: Uimara wa muqawama umesambaratisha njama zote za Marekani

    Sayyid Hassan Nasrullah: Uimara wa muqawama umesambaratisha njama zote za Marekani

    Mar 09, 2019 01:16

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa, Marekani ilikuwa na njama kubwa tofauti kwa ajili ya kuhitimisha muqawama mwaka 2006, lakini uimara wa muqawama ukafanikisha kusambaratisha njama zote hizo.

  • Sababu na malengo ya Uingereza ya kuitaja  Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi

    Sababu na malengo ya Uingereza ya kuitaja Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi

    Mar 03, 2019 04:01

    Sajid Javid Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza aliwahi kusema kuwa ataliweka tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi. Mpango huo ulipasishwa na bunge la Uingereza juzi tarehe Mosi Machi na sasa umeingia katika marhala ya utekelezaji.

  • Qassemi: Uingereza haiwezi kudhoofisha irada ya Hizbullah ya kupambana na ugaidi na Israel

    Qassemi: Uingereza haiwezi kudhoofisha irada ya Hizbullah ya kupambana na ugaidi na Israel

    Mar 02, 2019 12:12

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hatua iliyochukuliwa hivi karibuni na Uingereza ya kuiweka harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah kwenye orodha ya makundi ya kigaidi na kusisitiza kuwa, hatua za aina hiyo zinazochukuliwa na serikali ya London hazitadhoofisha msimamo wa harakati hiyo wa kupambanana na "ugaidi na Uzayuni."

  • Hizbullah: Marekani haiwezi kamwe kubadili msimamo wa muqawama

    Hizbullah: Marekani haiwezi kamwe kubadili msimamo wa muqawama

    Feb 25, 2019 01:40

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa, misimamo ya Marekani ni misimamo ya kidhalimu, kidikteta na inayokinzana na maslahi ya mataifa ya eneo la Mashariki ya Kati na hivyo haitaweza kubadili misimamo ya muqawama.

  • Maher Hamoud: Katika miaka 40 iliyopita Palestina imekuwa kadhia muhimu kwa Iran

    Maher Hamoud: Katika miaka 40 iliyopita Palestina imekuwa kadhia muhimu kwa Iran

    Feb 09, 2019 21:46

    Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Muqawama amesisitiza kuwa katika kipindi cha miaka 40 iliyopita Iran imeheshimu na kushikamana na misingi yake ya thamani ikiwemo kuiunga mkono Palestina.

  • Hizbullah ya Lebanon: Daima Uingiliaji wa Marekani umekuwa na madhara kwa mataifa mengine

    Hizbullah ya Lebanon: Daima Uingiliaji wa Marekani umekuwa na madhara kwa mataifa mengine

    Jan 26, 2019 23:06

    Mkuu wa mrengo wa kisiasa wenye mafungamano na Harakati ya muqawama katika bunge la Lebanon umelaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela na kusema kuwa, uingiliaji wa Washington daima umekuwa na madhara kwa mataifa mengine na ni doa ambalo linapaswa kusafishwa katika historia ya mwanadamu.

  • Jeshi la Israel launda brigedi mpya kwa hofu na kiwewe cha kukabiliana na Hizbullah

    Jeshi la Israel launda brigedi mpya kwa hofu na kiwewe cha kukabiliana na Hizbullah

    Jan 02, 2019 11:46

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeunda brigedi mpya kwa hofu iliyotokana na madai yake kwamba Hizbullah ina lengo la kuliteka eneo la Al-Jalil lililoko kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS