-
Viongozi wa Lebanon wamueleza Pompeo: Hizbullah ni sehemu ya serikali na bunge la Lebanon
Mar 23, 2019 03:11Maafisa wa serikali ya Lebanon, katika nyakati tofauti, wamemueleza Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo kwamba, harakati ya muqawama ya Hizbullah ina nafasi katika serikali na bunge la nchi hiyo na kusisitiza kuwa, muqawama ni ngome imara ya kukabiliana na uvamizi na ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na Wazayuni.
-
Hizbullah ya Lebanon: Oparesheni ya Silfit ni dhihirisho la uwezo wa wanamapambano wa Palestina
Mar 19, 2019 03:17Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) imeitaja oparesheni iliyofanywa na wanamuqawama wa Palestina dhidi ya Wazayuni huko Silfit kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni liwa ni nukta adhimu katika maendeleo ya muqawama na ni ishara ya uwezo wa wanamuqawama hao mbele ya jinai za Israel.
-
Sisitizo la Sayyid Hassan Nasrullah la kuzishinda njama za Marekani Mashariki ya Kati
Mar 09, 2019 21:49Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) amesema kuwa mwaka 2006 Marekani ilikuwa na njama na mipango mikubwa ya kuumaliza muqawama hata hivyo njama zote hizo zimefeli kutokana na kuwa imara na kuwa macho wanamuqawama.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Uimara wa muqawama umesambaratisha njama zote za Marekani
Mar 09, 2019 01:16Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa, Marekani ilikuwa na njama kubwa tofauti kwa ajili ya kuhitimisha muqawama mwaka 2006, lakini uimara wa muqawama ukafanikisha kusambaratisha njama zote hizo.
-
Sababu na malengo ya Uingereza ya kuitaja Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi
Mar 03, 2019 04:01Sajid Javid Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza aliwahi kusema kuwa ataliweka tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi. Mpango huo ulipasishwa na bunge la Uingereza juzi tarehe Mosi Machi na sasa umeingia katika marhala ya utekelezaji.
-
Qassemi: Uingereza haiwezi kudhoofisha irada ya Hizbullah ya kupambana na ugaidi na Israel
Mar 02, 2019 12:12Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hatua iliyochukuliwa hivi karibuni na Uingereza ya kuiweka harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah kwenye orodha ya makundi ya kigaidi na kusisitiza kuwa, hatua za aina hiyo zinazochukuliwa na serikali ya London hazitadhoofisha msimamo wa harakati hiyo wa kupambanana na "ugaidi na Uzayuni."
-
Hizbullah: Marekani haiwezi kamwe kubadili msimamo wa muqawama
Feb 25, 2019 01:40Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa, misimamo ya Marekani ni misimamo ya kidhalimu, kidikteta na inayokinzana na maslahi ya mataifa ya eneo la Mashariki ya Kati na hivyo haitaweza kubadili misimamo ya muqawama.
-
Maher Hamoud: Katika miaka 40 iliyopita Palestina imekuwa kadhia muhimu kwa Iran
Feb 09, 2019 21:46Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Muqawama amesisitiza kuwa katika kipindi cha miaka 40 iliyopita Iran imeheshimu na kushikamana na misingi yake ya thamani ikiwemo kuiunga mkono Palestina.
-
Hizbullah ya Lebanon: Daima Uingiliaji wa Marekani umekuwa na madhara kwa mataifa mengine
Jan 26, 2019 23:06Mkuu wa mrengo wa kisiasa wenye mafungamano na Harakati ya muqawama katika bunge la Lebanon umelaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela na kusema kuwa, uingiliaji wa Washington daima umekuwa na madhara kwa mataifa mengine na ni doa ambalo linapaswa kusafishwa katika historia ya mwanadamu.
-
Jeshi la Israel launda brigedi mpya kwa hofu na kiwewe cha kukabiliana na Hizbullah
Jan 02, 2019 11:46Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeunda brigedi mpya kwa hofu iliyotokana na madai yake kwamba Hizbullah ina lengo la kuliteka eneo la Al-Jalil lililoko kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu.