Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Harakati ya Hizbullah: Marekani inaondoka Syria kutokana na kushindwa

    Harakati ya Hizbullah: Marekani inaondoka Syria kutokana na kushindwa

    Dec 21, 2018 23:27

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inaondoka nchini Syria kutokana na kushindwa siasa zake katika Mashariki ya Kati na kutoweza kuuhami na kuulinda utawala haramu wa Israel.

  • Hizbullah: Hakuna hata sehemu moja ya Israel itakayosalimika na makombora yetu

    Hizbullah: Hakuna hata sehemu moja ya Israel itakayosalimika na makombora yetu

    Dec 09, 2018 11:41

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, hakuna hata sehemu moja ya Israel ambayo haiwezi kufikiwa na makombora ya harakati hiyo ya muqawama.

  • Hizbullah: Quds tukufu haiwezi kugawanyika

    Hizbullah: Quds tukufu haiwezi kugawanyika

    Nov 25, 2018 04:37

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema ni muhali na jambo lisiloyumkinika kuugawanya mara mbili mji mtukufu wa Quds (Jerusalem).

  • Uwezo wa makombora ya Harakati ya Hizbullah, nukta ya nguvu ya taifa la Lebanon

    Uwezo wa makombora ya Harakati ya Hizbullah, nukta ya nguvu ya taifa la Lebanon

    Nov 12, 2018 04:02

    Akihutubu kwa mnasaba wa 'Siku ya Shahidi' Sayyid Hassan Nasrullah ameashiria nukta ya nguvu ya Lebanon na kusema kuwa uwezo wa nchi hiyo unapatikana katika uwezo wa makombora ya muqawama na ndio maana adui hathubutu kuichokoza nchi hiyo.

  • Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah: Kuundwa serikali ya Lebanon kunategemea uamuzi wa Saad Hariri

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah: Kuundwa serikali ya Lebanon kunategemea uamuzi wa Saad Hariri

    Nov 09, 2018 01:10

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, waziri mkuu mwenye jukumu anao uwezo wa kupata njia ya ufumbuzi wa kimantiki kwa ajili ya kuunda serikali mpya na kwamba suala hilo kwa sasa linategemea uamuzi wake yeye.

  • Wazayuni wangali wana kiwewe na uwezo wa makombora ya Hizbullah ya Lebanon

    Wazayuni wangali wana kiwewe na uwezo wa makombora ya Hizbullah ya Lebanon

    Oct 29, 2018 01:07

    Jenerali wa zamani wa jeshi la utawala haramu wa Israel amesema kuwa, Hizbullah ya Lebanon ni kundi lenye uratibu na lililojipanga na kuongeza kuwa, maelfu ya makombora ya Hizbullah yenye umakini wa hali ya juu yanaweza kulenga eneo lolote katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavuu (Israel)

  • Hizbullah ya Lebanon yataka kuundwa serikali mpya haraka iwezekanavyo

    Hizbullah ya Lebanon yataka kuundwa serikali mpya haraka iwezekanavyo

    Oct 22, 2018 04:13

    Viongozi wa ngazi ya juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah wametaka kuundwa haraka iwezekanavyo serikali mpya nchini humo na kupatiwa ufumbuzi hitilafu zilizosalia.

  • Sayyid Hassan Nasrullah: Hizbullah inatumia weledi kusambaratisha fitina za maadui wa muqawama

    Sayyid Hassan Nasrullah: Hizbullah inatumia weledi kusambaratisha fitina za maadui wa muqawama

    Oct 19, 2018 21:39

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo inatumia weledi wa hali ya juu kusambaratisha njama za maadui wenye lengo la kuzusha fitina dhidi ya muqawama.

  • Sayyid Nasrullah: Trump anatumia propaganda chafu dhidi ya Iran kuuza silaha kwa nchi za Kiarabu

    Sayyid Nasrullah: Trump anatumia propaganda chafu dhidi ya Iran kuuza silaha kwa nchi za Kiarabu

    Oct 12, 2018 23:19

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani anatumia sera ya kueneza propaganda chafu dhidi ya Iran kwa shabaha ya kutaka kuuza silaha za mabilioni ya dola kwa nchi za Kiarabu.

  •  Gebran Bassil: Israel ndio mtendaji wa ugaidi wa kiserikali katika Mashariki ya Kati

    Gebran Bassil: Israel ndio mtendaji wa ugaidi wa kiserikali katika Mashariki ya Kati

    Oct 01, 2018 23:41

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Lebanon amesema kuwa, utawala haramu wa Israel ndio mtendaji wa ugaidi wa kiserikali katika eneo la Mashariki ya Kati lakini umekuwa ukizituhumu nchi nyingine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS