-
Mchango muhimu wa Hizbullah katika ushindi wa Lebanon dhidi ya ugaidi
Sep 25, 2018 10:28Rais Michel Aoun wa Lebanon ametetea uwepo wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon huko nchini Syria na kusema kuwa, uwepo huo ni kwa ajili ya kuihami nchi yake na hujuma za magaidi.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Mashambulizi ya Israel nchini Syria hayavumiliki tena
Sep 19, 2018 23:22Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, mashambulizi ya mara kwa mara ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Syria hayavumiliki tena na inabidi yakomeshwe.
-
Hizbullah: Jeshi la anga la Israel haliwezi kuzuia makombora yetu
Sep 12, 2018 22:13Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa, imekwishayalenga kwa makombora yake maeneo yote muhimu ya Israel, na kwamba jeshi la anga la utawala huo, halina uwezo wa kuzuia makombora hayo.
-
Radiamali ya Hizbullah kwa hatua za Marekani dhidi ya Palestina
Sep 12, 2018 03:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imesema kuwa Washington inaendeleza uadui wake dhidi ya wananchi wa Palestina kwa kustafidi na mbinu zote chafu.
-
Woga wa Jeshi la Israel kuhusu uwezo wa makombora wa Hizbullah ya Lebanon
Sep 11, 2018 20:49Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amesema kuwa uwezo wa makombora wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon na nguvu yake ya kulenga kwa mapana katika maeneo mbalimbali ya Israel ni tishio kubwa sana.
-
Mkuu wa zamani wa Mossad akiri Israel haiwezi kukabiliana na teknolojia ya makombora ya Hizbullah
Sep 08, 2018 21:51Naibu Mkuu wa zamani wa Shirika la Kijasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel, Mossad, amesema Harakati ya Hizbullah ya Lebanon hivi karibuni imepata mfumo mpya wa kuongoza makombora kwa kutegemea mfumo wa GPS na hivyo kubadilisha makombora yake kuwa yenye ustadi mkubwa.
-
Hizbullah: Kukombolewa Idlib kutapiku turufu ya mwisho ya Marekani, Israel na Saudia nchini Syria
Sep 03, 2018 03:24Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema, kukombolewa mkoa wa Idlib kaskazini magharibi mwa Syria ambayo ni ngome ya mwisho ya magaidi katika nchi hiyo litakuwa pigo kubwa kwa Magharibi, Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia.
-
Syria yaitaka Hizbullah iendelee kubakia nchini humo
Aug 25, 2018 21:55Serikali ya Syria imeitaka Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanona iendelee kubakisha wapiganaji wake nchini humo, baada ya kumalizika mapigano ya kijeshi kaskazini mwa nchi.
-
Bashar al-Assad alilikataa pendekezo la Saudia la kujengwa upya Syria kwa kuvunja uhusiano na Iran na Hizbullah
Aug 22, 2018 21:09Mbunge wa harakati ya Hizbullah katika bunge la Lebanon amesema, rais wa Syria hakulikubali pendekezo la Saudi Arabia la kuijenga upya nchi hiyo mkabala wa Syria kuvunja uhusiano wake na Hizbullah na Iran.
-
Hizbullah kwa mara ya kwanza imezindua aina mbalimbali za makombora yake
Aug 19, 2018 10:51Harakati ya Hizbullah ya Lebanon kwa mara ya kwanza ilipanga kuzindua leo Jumapili sehemu ya makombora yaliyotumiwa na harakati hiyo ya muqawama wa Kiislamu kwa ajili ya kuilinda nchi hiyo katika miaka ya karibuni.