-
Hizbullah: Marekani imehusika katika jinai ya mauaji ya mji wa As-Suwayda, Syria
Jul 26, 2018 09:40Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon imetoa taarifa ikisema kuwa, harakati za makundi ya kigaidi katika eneo la al-Tanf ni hatari kubwa na kwamba Marekani imeshiriki katika jinai kubwa dhidi ya raia wa mji wa As-Suwayda kusini mwa Syria.
-
Hizbullah yalaani sera mpya ya ubaguzi wa rangi ya utawala haramu wa Israel
Jul 21, 2018 02:52Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa kuhusu sheria mpya ya utawala wa Kizayuni wa Israel inayojulikana kama 'Nchi ya Kiyahudi' na kusema hiyo ni njama ya Kuyahudisha kikamilifu ardhi zote za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
-
Hizbullah: Shambulizi lolote la Israel dhidi ya Lebanon litajibiwa kwa kuteketeza eneo la Golan
Jul 03, 2018 03:05Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon sambamba na kuashiria onyo kali lililotolewa na Ufaransa kwa utawala haramu wa Kizayuni, imesema kuwa chokochoko yoyote ya Israel itakayofanywa dhidi ya Lebanon, itapelekea kuteketezwa eneo la milima ya Golan inayodhibitiwa na Israel kwa sasa.
-
Hizbullah: Tuko imara zaidi hivi sasa kukabiliana na chokochoko zozote zile
Jun 24, 2018 22:26Naibu wa Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo ya Kiislamu iko imara zaidi hivi sasa kuliko wakati mwingine wowote na kuongeza kuwa, sasa hivi Lebanon ina usalama wa kiwango cha juu zaidi katika eneo hili kutokana na ushujaa na kujitoa muhanga wanamapambano wa Kiislamu katika kukabiliana na Israel na magenge ya wakufurishaji.
-
Hizbullah: Mipango yote ya Marekani, Israel na Saudia itafeli
Jun 16, 2018 21:03Mjumbe wa Baraza Kuu la harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Nabil Qaouk amesema kuwa, mipango ya pamoja ya Marekani, utawala haramu wa Israel na Saudi Arabia itaishia kushindwa.
-
Msuguano katika Uhusiano wa Ufaransa na Saudi Arabia
May 30, 2018 03:34Emmanuel Macron Rais wa Ufaransa amedai kuwa alikuwa na nafasi muhimu katika utatuzi wa mgogoro wa Lebanon mwaka jana. Aidha amefichua kuwa, Saudi Arabia ilikuwa imemkamata kwa wiki kadhaa Waziri Mkuu wa Lebanon Saad Hariri.
-
Hizbullah: Saudia inaumia kuiona harakati hii ikijumuishwa katika serikali mpya ya Lebanon
May 21, 2018 10:27Mjumbe wa Baraza Kuu la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah, amesema kuwa viongozi wa utawala wa Aal-Saud wanaumia mno kuona harakati hiyo ikijumuishwa katika serikali mpya ya Lebanon na kwamba viongozi hao ni madhaifu sana kuweza kuizuia Hizbullah kuingia serikalini.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Ni ujinga wa hali ya juu kuiamini Marekani
May 14, 2018 12:55Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameashiria kitendo cha Marekani cha kuvunja mikataba na maazimio ya kimataifa na kusema kuwa, baada ya tajriba zote ambazo zimeshuhudiwa kwa Washington, ni ujinga wa hali ya juu kuiamini nchi hiyo.
-
Naeem Qassim: Hizbullah haitaweka chini silaha ila baada ya kuangamizwa Israel
Apr 28, 2018 11:43Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, harakati hiyo itakuwa tayari kuweka chini silaha pale tu itakapohakikisha utawala wa Kizayuni wa Israel umeangamizwa.
-
Israel yatishia kwamba huwenda mwaka huu 2018 itapigana vita kali na Hizbullah ya Lebanon
Apr 02, 2018 10:37Mkuu wa Jeshi la Utawala Haramu za Israel, Gadi Eizenkot amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa utawala huo ukapigana vita vikali na angamizi kati yake na Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon.