-
Olmert: Tulishindwa na Hizbullah katika vita; ufisadi wa Netanyahu hautasawariki
Mar 17, 2018 00:51Waziri Mkuu wa zamani wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kwamba jeshi la utawala huo dhalimu lilishindwa na Hizbullah ya Lebanon katika vita vya mwaka 2006.
-
Hizbullah ya Lebanon: Quds itabakia milele kuwa mji mkuu wa Palestina
Mar 14, 2018 00:05Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa njia ya ufumbuzi wa kadhia ya Palestina haiko mikononi mwa Marekani, bali kinachopasa kufanywa ni kuzifuatilia jinai zinazotendwa na Marekani.
-
Hizbullah: Chimbuko la matatizo yote Mashariki ya Kati ni donda la saratani la Israel
Mar 05, 2018 00:33Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, chimbuko la matatizo yote katika nchi za Kiislamu na Kiarabu na hata kufukuzwa Wapalestina kutoka katika ardhi zao ni utawala ghasibu wa Israel.
-
Baada ya miaka 19 TV ya Al-Manar yaonyesha taswira ya kuangamizwa kamanda wa jeshi la Israel na Hizbullah
Mar 03, 2018 04:26Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimesema kuonyeshwa na kanali ya televisheni ya Al-Manar ya Lebanon taswira ya kuangamizwa kamanda mmoja wa jeshi la utawala huo miaka 19 iliyopita kunabeba ujumbe wa vita vya kinafsi na kisaikolojia vinavyoendeshwa na harakati ya Hizbullah dhidi ya Tel Aviv.
-
Hizbullah yasisitiza tena kwamba, itakabiliana vilivyo na uvamizi wa Wazayuni
Feb 20, 2018 00:52Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon kwa mara nyingine tena imesisitiza kwamba, itakabiliana vilivyo na uvamizi wa aina yoyote ile wa utawala haramu wa Israel dhidi ya ardhi ya Lebanon.
-
Sayyid Nasrullah alipongeza jeshi la Syria kwa kutungua ndege ya kivita ya Israel
Feb 17, 2018 03:56Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelipongea jeshi la Syria kwa kutungua ndege ya kijeshi aina ya F-16 ya utawala haramu wa Israel na kuitaja hatua hiyo kuwa ni mafanikio makubwa ya kijeshi.
-
Hizbullah: Zama za Israel kufanya mashambulizi bila majibu zimepita
Feb 12, 2018 04:21Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, zile zama za utawala wa Kizayuni wa Israel kufanya mashambulizi na kuachiwa vivi hivi bila ya majibu zimeisha na kuanzia sasa shambulio lolote la Wazayuni litajibiwa vikali.
-
Hizbullah: Stratijia mpya ya kupambana na uvamizi wa Israel nchini Syria imeanza rasmi
Feb 11, 2018 04:14Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon imetoa taarifa ya kupongeza kitendo cha kuangamizwa ndege ya kisasa ya kivita ya utawala haramu wa Israel ya F16 katika anga ya Syria na kusisitiza kuwa, mlingano wa nguvu wa zamani sasa umebadilika.
-
Hizbullah yautahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel
Jan 30, 2018 23:52Harakati ya Hizbullah ya lebanon imeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel kupitia kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa kilichopo kusini mwa Lebanon (UNIFIL) kuhusu suala la kujenga ukuta wa kibaguzi katika mipaka na Lebanon.
-
Hizbullah: Tumejiandaa dhidi ya hatua mbaya zozote za Marekani
Jan 27, 2018 13:20Mwakilishi wa bunge na mjumbe wa ngazi ya juu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa, safari ya hivi karibuni ya ujumbe wa Wizara ya Fedha ya Marekani mjini Beirut, ni ukiukaji wa mamlaka ya kujitawala ya Lebanon na kwamba Hizbullah imeshajiandaa kukabiliana na hatua mbaya zozote za Marekani dhidi yake.