Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Mtaalamu: Hizbullah itaibuka mshindi katika vita vyovyote na Israel

    Mtaalamu: Hizbullah itaibuka mshindi katika vita vyovyote na Israel

    Jan 06, 2018 23:14

    Uwezo wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon katika nyuga tofauti zikiwemo za kijeshi, vita stadi na vita vya kisaikolojia umeutia kiwewe utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kiasi cha kuwafanya weledi wa masuala ya kivita kusema kwamba, vita vyovyote vitakavyojiri kati ya Israel na harakati hiyo, vitamalizika kwa ushindi wa Hizbullah.

  • Hizbullah: Kuvunjiwa heshima Quds ni matunda ya mchezo wa kudansi na upanga wa Trump na Salman

    Hizbullah: Kuvunjiwa heshima Quds ni matunda ya mchezo wa kudansi na upanga wa Trump na Salman

    Jan 06, 2018 13:19

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Nabil Qaouk amezitaja siasa za Saudia kuwa za maafa na kuongeza kuwa, kitendo cha kuvunjiwa heshima mji wa Quds na msikiti wake kinatokana na mchezo wa kudansi na upanga wa Rais Donald Trump wa Marekani na Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud wa Saudia.

  • Hizbullah: Mapambano ndio chaguo pekee la Wapalestina na Waislamu dhidi ya Marekani na Israel

    Hizbullah: Mapambano ndio chaguo pekee la Wapalestina na Waislamu dhidi ya Marekani na Israel

    Jan 01, 2018 00:51

    Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, njia pekee ya Wapalestina na Waislamu kukabiliana na utawala haramu wa Israel na Marekani ni muqawama na mapambano dhidi ya tawala hizo.

  • Émile Lahoud: Iran na Hizbullah zimeifanya Israel ichanganyikiwe

    Émile Lahoud: Iran na Hizbullah zimeifanya Israel ichanganyikiwe

    Dec 29, 2017 12:13

    Rais wa zamani wa Lebanon, Émile Lahoud amesema kuwa nafasi na mchango muhimu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na harakati ya Hizbullah ya Lebanon vimeifanya Israel ichanganyikiwe sambamba na kuharibikiwa mahesabu yake yote katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Sheikh Nabil Qaouk: Kuiunga mkono Beitul-Muqaddas ni jukumu la Hizbullah

    Sheikh Nabil Qaouk: Kuiunga mkono Beitul-Muqaddas ni jukumu la Hizbullah

    Dec 25, 2017 11:31

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, kuiunga mkono Beitul-Muqaddas ni jukumu la harakati hiyo na kwamba, Hizbullah itaendelea kubakia mstari wa mbele katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina.

  • Hizbullah ya Lebanon yataka mgogoro wa Yemen upatiwe ufumbuzi wa kisiasa

    Hizbullah ya Lebanon yataka mgogoro wa Yemen upatiwe ufumbuzi wa kisiasa

    Dec 21, 2017 04:02

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa rasmi kwa mnasaba wa kutimia siku 1000 tangu kuanza hujuma na mashambulio ya kijeshi ya Saudia huko nchini Yemen na kutoa wito wa kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia za kisiasa.

  • Hizbullah: Mapambano ndio njia pekee ya Wapalestina kupata ushindi

    Hizbullah: Mapambano ndio njia pekee ya Wapalestina kupata ushindi

    Dec 07, 2017 11:26

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, hatua ya Rais wa Marekani ya kuutangaza mji wa Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel, utakuwa ni msukumo kwa watu waliokuwa kando, lakini kwa sasa wanapaswa kuingia katika medani bila ya kisingizio chochote.

  • Kutofuata Misri siasa za Saudia dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Kutofuata Misri siasa za Saudia dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Nov 09, 2017 10:07

    Rais wa Misri amesema kuwa licha ya Saudi Arabia kuzitaka nchi nyingine za Kiarabu kuiwekea vikwazo Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, serikali ya Cairo haina mpango wowote wa kutekeleza vikwazo hivyo dhidi ya harakati hiyo.

  • Syria: Kamwe hatutaruhusu kushambuliwa Hizbullah ya Lebanon

    Syria: Kamwe hatutaruhusu kushambuliwa Hizbullah ya Lebanon

    Nov 08, 2017 11:43

    Mshauri wa Rais wa Syria amesisitiza kuwa, mahusiano ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Hizbullah na Syria ni ya kiwango cha juu na kusema Damascus kamwe haitaruhusu harakati hiyo ya Kiislamu ya Hizbullah ishambuliwe.

  • Israel yazitaka balozi zake kushirikiana zaidi na Saudia  dhidi ya Hizbullah

    Israel yazitaka balozi zake kushirikiana zaidi na Saudia dhidi ya Hizbullah

    Nov 07, 2017 11:06

    Utawala haramu wa Kizayuni na katika kulinda maslahi ya Saudi Arabia duniani dhidi ya haraki ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon, imetoa ujumbe kwa balozi zake kuhusiana na suala hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS