Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Ansarullah ya Yemen: Saudi Arabia ipo katika kambi ya utawala haramu wa Israel

    Ansarullah ya Yemen: Saudi Arabia ipo katika kambi ya utawala haramu wa Israel

    Oct 27, 2017 12:00

    Muhammad Abdul-Salaam, Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Saudi Arabia inataka kuiweka madarakani nchini Yemen serikali kibaraka.

  • Sheikh Naim Qassim utawala wa Kizayuni wa Israel utabakia kuwa ni adui

    Sheikh Naim Qassim utawala wa Kizayuni wa Israel utabakia kuwa ni adui

    Oct 22, 2017 10:58

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel utaendelea kubakia kuwa ni adui siku zote.

  • Hizbullah: Saudia imeshindwa kuunda muungano wa kukabiliana na sisi

    Hizbullah: Saudia imeshindwa kuunda muungano wa kukabiliana na sisi

    Oct 21, 2017 23:36

    Mjumbe wa Baraza Kuu la harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa, matukio mapya katika eneo la Mashariki ya Kati yanajiri kwa maslahi ya muqawama, kama ambavyo yanapingana na mtazamo wa Marekani, Israel na Saudi Arabia.

  • Marekani, Israel na Saudia zinapanga njama ya kuizingira Hizbullah

    Marekani, Israel na Saudia zinapanga njama ya kuizingira Hizbullah

    Oct 09, 2017 23:38

    Gazeti moja la nchini Lebanon la al-Akhbar limeandika kuwa, hivi sasa Marekani, Saudia na Israel zinapanga njama kwa ajili ya kuidhibiti harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ili kuizuia isiweze kutumia uwezo wake katika vita vijavyo vya kuainisha hatima.

  • Saudia yapongeza vikwazo vya Marekani dhidi ya Hizbullah, nayo Hizbullah yaonya

    Saudia yapongeza vikwazo vya Marekani dhidi ya Hizbullah, nayo Hizbullah yaonya

    Oct 09, 2017 11:42

    Waziri Mshauri wa Saudi Arabia katika Masuala ya nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi, amepongeza vikwazo vya serikali ya Marekani dhidi ya harakati ya Kiislamu ya muqawama Hizbullah nchini Lebanon.

  • Sheikh Naeem Qassim: Kuwepo matakfiri katika Mashariki ya Kati ni mpango wa Kizayuni

    Sheikh Naeem Qassim: Kuwepo matakfiri katika Mashariki ya Kati ni mpango wa Kizayuni

    Sep 28, 2017 04:27

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwepo matakfiri katika eneo la Mashariki ya Kati ni mpango wa kisiasa unaokamilisha mpango wa Wazayuni.

  • Kamanda wa jeshi la Israel: Ni vizuri Israel iendelee kujiepusha kuingia vitani na Hizbullah

    Kamanda wa jeshi la Israel: Ni vizuri Israel iendelee kujiepusha kuingia vitani na Hizbullah

    Sep 22, 2017 01:20

    Mkuu wa Majeshi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema kuwa, ni kwa maslahi ya utawala huo ikiwa utaendelea kujitenga mbali na vita vyovyote na Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon.

  • Hizbullah ya Lebanon: Lengo la kundi la kigaidi la Daesh ni kuchafua sura ya Uislamu

    Hizbullah ya Lebanon: Lengo la kundi la kigaidi la Daesh ni kuchafua sura ya Uislamu

    Aug 18, 2017 10:31

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, lengo la vitendo vinavyofanywa na kundi la kigaidi la Daesh ni kuchafua haiba na sura halisi ya Uislamu.

  • Hizbullah: Israel itashtushwa mno na uwezo wetu wa kijeshi iwapo itatuchokoza

    Hizbullah: Israel itashtushwa mno na uwezo wetu wa kijeshi iwapo itatuchokoza

    Jul 14, 2017 09:48

    Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, amesema kuwa, iwapo utawala wa Kizayuni utaanzisha vita vyovyote dhidi ya harakati hiyo, Tel Aviv itashangazwa na uwezo mkubwa wa kijeshi wa wanamapambano wa Hizbullah.

  • Hizbullah: Kufeli mradi wa ugaidi katika eneo kunatokana na miongozo ya Kiongozi Muadhamu

    Hizbullah: Kufeli mradi wa ugaidi katika eneo kunatokana na miongozo ya Kiongozi Muadhamu

    Jul 13, 2017 03:18

    Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, amesema kuwa kushindwa mradi kabambe wa makundi ya ukufurishaji na Kiwahabi katika eneo la Mashariki ya Kati, kumetokana na mafundisho bora ya Imamu Ruhullah Komein (MA) Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na pia miongozo ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS