Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Idlib

  • Magaidi zaidi ya 100 waangamizwa katika mji wa Idlib Syria

    Magaidi zaidi ya 100 waangamizwa katika mji wa Idlib Syria

    Sep 10, 2023 07:30

    Zaidi ya magaidi 100 wameangamizwa nchini Syria na kutoa pigo kwa mabaki ya wapiganaji wa kigaidi katika nchi hiyo.

  • Machaguo mawili ya Moscow kwa makundi ya kigaidi, Idlib nchini Syria

    Machaguo mawili ya Moscow kwa makundi ya kigaidi, Idlib nchini Syria

    Mar 19, 2020 02:43

    Russia imeyapa machaguo mawili makundi ya kigaidi yananayofadhiliwa na nchi za Magharibi katika eneo la Idlib huko kaskazini mwa Syria. Mwezi Januari mwaka huu jeshi la Syria na washirika wake walianzisha operesheni ya kuusafisha mkoa huo wa Idlib, ambao ndio ngome ya mwisho ya magaidi ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Makumi ya raia wa Ufaransa wanapigana safu moja na magaidi nchini Syria

    Makumi ya raia wa Ufaransa wanapigana safu moja na magaidi nchini Syria

    Mar 01, 2020 11:58

    Vyombo vya habari vya nchi za Magharibi vimetoa ushahidi unaooensha kuwa, kuna makumi ya raia wa Ufaransa wanaopigana bega kwa bega na magenge ya kigaidi nchini Syria.

  • Kura ya turufu ya Ugiriki na hatua ya Uturuki ya kuwaweka rehani wakimbizi

    Kura ya turufu ya Ugiriki na hatua ya Uturuki ya kuwaweka rehani wakimbizi

    Mar 01, 2020 10:39

    Uingiliaji wa wazi wa askari wa Uturuki katika mkoa wa Idlib nchini Syria, katika kuyaunga mkono makundi ya kigaidi yanayoendesha harakati zake mkoani humo, umepata uungaji mkono wa Wamagharibi.

  • Guterres asema yuko tayari kutuma ujumbe kaskazini mwa Syria

    Guterres asema yuko tayari kutuma ujumbe kaskazini mwa Syria

    Mar 01, 2020 02:40

    Kufuatia kushtadi mizozo katika eneo la kaskazini mwa Syria, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres ametangaza utayarifu wake kwa ajili ya kutuma ujumbe wa umoja huo katika mkoa wa Idlib, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Kufeli siasa za Uturuki mkoani Idlib, Syria

    Kufeli siasa za Uturuki mkoani Idlib, Syria

    Feb 29, 2020 02:38

    Wajumbe wa kisiasa wa Russia na Uturuki wamekutana mjini Ankara kujadiliana masuala ya kaskazini mwa Syria hasa ya mkoa wa Idlib.

  • Majibu ya hapana ya Russia kwa ombi la Marekani la kuzungumza na magaidi wa Syria

    Majibu ya hapana ya Russia kwa ombi la Marekani la kuzungumza na magaidi wa Syria

    Feb 25, 2020 10:36

    Ushindi wa mfululizo wa jeshi la Syria na waitifaki wake katika mkoa wa Idlib umepokewa kwa hisia kali, si na Uturuki pekee na uvamizi wake wa kijeshi huko Syria, lakini pia Marekani nayo ambayo inaongoza muungano wa nchi za Magharibi na za Kiarabu wa eti kupambana na ugaidi nchini humo, imeitaka Russia ifanye mazungumzo na magaidi hao.

  • Uturuki yakataa pendekezo la Russia kuhusu Idlib

    Uturuki yakataa pendekezo la Russia kuhusu Idlib

    Feb 22, 2020 02:43

    Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Uturuki amesema kuwa hadi sasa nchi hiyo haijafikia natija ya kuridhisha kuhusiana na pendekezo la Russia la kusitisha mapigano katika mkoa wa Idlib nchini Syria.

  • Viongozi wa Uturuki waendelea kutoa kauli za vitisho dhidi ya Syria kuhusiana na Idlib

    Viongozi wa Uturuki waendelea kutoa kauli za vitisho dhidi ya Syria kuhusiana na Idlib

    Feb 15, 2020 13:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ametoa indhari ya kitakachotokea endapo mazungumzo ya nchi hiyo na Russia kuhusu kadhia ya Idlib hayatokuwa na tija.

  • Wizara ya Ulinzi ya Russia yatoa jibu kwa chokochoko za Uturuki ndani ya ardhi ya Syria

    Wizara ya Ulinzi ya Russia yatoa jibu kwa chokochoko za Uturuki ndani ya ardhi ya Syria

    Feb 13, 2020 07:24

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa, kutoheshimu Uturuki ahadi zake kutotekeleza majukumu yake ndiko kulikosababisha kuzuka mgogoro huko Idlib nchini Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS