Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imam Khomeini

  • Zarif: Wananchi wa Iran leo wanasimama kwa heshima licha ya vizingiti vingi

    Zarif: Wananchi wa Iran leo wanasimama kwa heshima licha ya vizingiti vingi

    Jun 03, 2021 04:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lichqa ya kuwepo aina mbalimbali za njama za madola makubwa ya kibeberu, wananchi wa Iran hii leo wanasimama kidete na kwa heshima.

  • Kiongozi Muadhamu atilia mkazo udharura wa kujifunza fikra za hayati Imam Khomeini

    Kiongozi Muadhamu atilia mkazo udharura wa kujifunza fikra za hayati Imam Khomeini

    Jun 04, 2020 07:39

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema jana alihutubia taifa kwa njia ya televisheni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyoaga dunia hayati Imam Ruhullah Khomeini, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akisema kuwa kutaka mabadiliko, kuwa na ari ya kufanya mabadiliko na kuyafanya mageuzi ni miongoni mwa sifa muhimu za hayati Imam Khomeini.

  • Sheikh Isa Qassim: Umma wa Kiislamu una wajibu wa kulinda Mapinduzi ya Kiislamu

    Sheikh Isa Qassim: Umma wa Kiislamu una wajibu wa kulinda Mapinduzi ya Kiislamu

    Jun 04, 2020 07:38

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Bahrain amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini (MA) yanafanana na ya Mitume na kusisitiza kwamba umma wote wa Kiislamu una wajibu wa kuyalinda mapinduzi hayo.

  • Kiongozi Muadhamu: Marekani imefedheheka duniani kutokana na mienendo yake

    Kiongozi Muadhamu: Marekani imefedheheka duniani kutokana na mienendo yake

    Jun 03, 2020 11:09

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema yanayojiri siku hizi Marekani yameweka wazi ukweli uliokuwa umefichwa nchini humo na kuongeza kuwa: "Wamarekani wamefedheheka duniani kutokana na mienendo yao."

  • Gerald Horne: Harakati za Imam Khomeini zilikuwa na taathira katika ushindi dhidi ya utawala Apartheid

    Gerald Horne: Harakati za Imam Khomeini zilikuwa na taathira katika ushindi dhidi ya utawala Apartheid

    Jun 04, 2019 17:03

    Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Huston nchini Marekani, Gerald Horne amesema kuwa harakati za Imam Ruhullah Khomeini nchini Iran zilitayarisha uwanja nzuri wa ushindi wa wapigania uhuru wa Afrika Kusini dhidi ya utawala wa ubaguzi wa rangi nchini humo, (apartheid) na katika mataifa mengine ya dunia.

  • Rouhani: Mapinduzi ya Kiislamu yaliyashinda madola ya kibeberu kwa kusimama kidete wananchi

    Rouhani: Mapinduzi ya Kiislamu yaliyashinda madola ya kibeberu kwa kusimama kidete wananchi

    Jan 30, 2019 14:43

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa hayati Imam Ruhullah Khomeini ni mhuishaji mkubwa zaidi wa dini katika zama za sasa na ndiye mhandisi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ambayo yalipata ushindi dhidi ya madola ya kibeberu kutokana na kusimama kidete kwa wananchi.

  • Mwanasiasa Mauritania: Imamu Khomeini (MA) ameiokoa Quds kutokana na kusahaulika

    Mwanasiasa Mauritania: Imamu Khomeini (MA) ameiokoa Quds kutokana na kusahaulika

    Jun 09, 2018 01:24

    Mkuu wa Chama cha Democratwi Wahdawi nchini Mauritania amesema kuwa, Ubunifu wa Imamu Khomeini (MA) katika kuitaja Ijumaa ya mwisho ya mwezi wa Ramadhani kuwa siku ya Kimataifa ya Quds, kwa mara nyingine umehuisha matukufu ya Palestina kwa Waislamu duniani.

  • Askofu Mkuu wa Wakristo wa Iran: Imam Khomeini (MA) alikuwa daima akitilia mkazo uhuru wa jamii za dini za wachache​

    Askofu Mkuu wa Wakristo wa Iran: Imam Khomeini (MA) alikuwa daima akitilia mkazo uhuru wa jamii za dini za wachache​

    Jun 04, 2018 04:14

    Askofu Mkuu wa Wakristo wa Kiarmenia wa Tehran na kaskazini mwa Iran amesema: Imam Khomeini (MA) mwasisi mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alikuwa daima akitilia mkazo uhuru wa jamii za dini za wachache.

  • Mkuu wa Kituo cha Kiislamu UK: Kwa mtazamo wa Imam Khomeini, Qur'ani imeleta ujumbe wa umoja

    Mkuu wa Kituo cha Kiislamu UK: Kwa mtazamo wa Imam Khomeini, Qur'ani imeleta ujumbe wa umoja

    Jun 03, 2018 15:02

    Mkuu wa Kituo cha Kiislamu nchini Uingereza ameashiria Wasia wa Kimaanawi na Kisiasa wa Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kueleza kwamba, kwa mtazamo wa kiongozi huyo Qur'ani imeleta ujumbe wa amani na umoja kwa jamii ya wanadamu.

  • Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yaanza mjini Tehran

    Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yaanza mjini Tehran

    Apr 19, 2018 15:12

    Mashindano ya Kimataifa ya 35 ya Qur'ani Tukufu yameanza leo mjini Tehran yakiwashirikisha wawakilishi wa nchi 84 kutoka maeneo yote ya dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS