• Dafina za Imam Khomeini kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Dafina za Imam Khomeini kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Jun 04, 2016 00:04

    Leo Ijumaa, taifa zima la Iran na wapenzi na wafuasi wa njia na fikra za Imam Khomeini MA wameshiriki kwa namna moja au nyinginekatika kumbukumbu za mwaka wa 27 wa kuomboleza siku alipofariki duniani mwanachuoni na shakhsia huyo mkubwa.

  • Kiongozi: Mazungumzo ya nyuklia yamethibitisha Marekani haina mwamana

    Kiongozi: Mazungumzo ya nyuklia yamethibitisha Marekani haina mwamana

    Jun 03, 2016 10:18

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Tunapaswa kutumia uzoefu wa mazungumzo ya nyuklia yaliyothibitisha kuwa Marekani haina mwamana na hivyo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ichukue mkondo wake wa ustawi.

  • Chuo cha kidini Iran ni cha kimapinduzi

    Chuo cha kidini Iran ni cha kimapinduzi

    Mar 15, 2016 11:19

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Chuo cha kidini (Hawza) mjini Qum kinapaswa kubakia "Chuo cha Kimapinduzi na Chimbuko la Mapinduzi" na ili kufikia lengo hilo kuna haja ya kuwepo fikra, tadbiri na mpango wa kina."