-
Athari za mashambulio ya Yemen zinaendelea, Wakuwait wakatazwa kutumia drone Imarati
Aug 11, 2022 21:54Athari za mashambulio ya kulipiza kisasi na ya kujihami ya wananchi wa Yemen dhidi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) bado zingalipo na sasa serikali ya Kuwait imewataka wananchi wake wasitumie ndege yoyote isiyo na rubani wanapokuwa nchini Imarati, ili wasije wakajiingiza kwenye matatizo.
-
Idadi kubwa ya watu wa Saudia, Imarati na Bahrain wanapinga suala la kuwepo uhusiano na utawala haramu wa Israel
Jul 19, 2022 22:57Matokeo ya uchunguzi wa maoni yanaonesha kuwa, idadi kubwa ya watu wa Saudi Arabia, Imarati na Bahrain wanapinga suala la kuwepo uhusiano baina ya nchi hizo na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Rais wa Somalia apatwa na COVID-19 baada ya kuitembelea Imarati
Jun 25, 2022 07:21Rais wa Somalia amesema amejiweka karantini baada ya kugundua kuwa ameambukizwa ugonjwa wa COVID-19.
-
Mamluki wa Imarati wanabaka wasichana wa Yemen Hudaydah
Jun 19, 2022 23:50Kitendo cha mamluki wa Umoja wa Falme za Kiarabu kuwabaka wasichana sita katika mkoa wa al-Hudaydah, magharibi mwa Yemen kimeibua ghadhabu na kulalamikiwa vikali katika pembe mbalimbali za nchi hiyo maskini ya Kiarabu.
-
Iran: Utawala wa Kizayuni ndiyo sababu ya ugaidi na uharibifu katika eneo hili zima
Jun 19, 2022 02:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema katika mazungumzo yake na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Muungano wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwamba kuwepo utawala pandikizi wa Kizayuni katika eneo hili ndiyo sababu ya ukosefu wa utulivu na amani kama ambavyo ndio ulioleta vitendo vya kigaidi na uharibifu katika eneo hili zima.
-
Safari ya pili ya Bennet nchini Imarati katika kipindi cha miezi sita
Jun 10, 2022 05:47Naftali Bennet, Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel Alhamisi Juni 10 aliwasili katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati au UAE) hii ikiwa ni safari yake ya pili nchini humo katika kipndi cha miezi sita.
-
Jihadul-Islami ya Palestina yalaani hatua ya Imarati ya kumpokea waziri mkuu wa Israel
Jun 10, 2022 03:05Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina imelaani hatua ya Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) ya kumpokea waziri mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Amir Abdollahian: Uhusiano mzuri baina ya majirani unawakatisha tamaa maadui katika eneo
May 17, 2022 02:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria mazungumzo kati yake na Rais mpya wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), na kueleza kuwa uhusiano mwema kati ya nchi jirani ni sababu ya kuvunjika moyo maadui katika eneo.
-
Hali ya madaraka katika Umoja wa Falme za Kiarabu baada ya kuaga dunia Sheikh Khalifa bin Zayed
May 15, 2022 21:51Sheikh Khalifa bin Zayed bin Sultan Al Nahyan Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE au Imarati) na mtawala wa Abu Dhabi alifariki dunia Ijumaa akiwa na umri wa miaka 73 na sasa Baraza Kuu la Imarati limemteua Sheikh Mohamed bin Zayed bin Sultan Al Nahyan kuwa rais mpya wa nchi hiyo.
-
Kuendelea hatua za Imarati dhidi ya taifa la Palestina
Apr 20, 2022 03:30Ikiwa ni katika kuendeleza hatua zake dhidi ya taifa la Palestina na katika kivuli cha kudumushwa vitendo vya mabavu vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina, serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati, imechukua hatua nyingine mbili katika kuimarisha uhusiano wake na utawala huo wa kibaguzi.