-
Jihadul-Islami ya Palestina yalaani hatua ya Imarati ya kumpokea waziri mkuu wa Israel
Jun 10, 2022 07:35Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina imelaani hatua ya Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) ya kumpokea waziri mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Amir Abdollahian: Uhusiano mzuri baina ya majirani unawakatisha tamaa maadui katika eneo
May 17, 2022 07:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria mazungumzo kati yake na Rais mpya wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), na kueleza kuwa uhusiano mwema kati ya nchi jirani ni sababu ya kuvunjika moyo maadui katika eneo.
-
Hali ya madaraka katika Umoja wa Falme za Kiarabu baada ya kuaga dunia Sheikh Khalifa bin Zayed
May 16, 2022 02:21Sheikh Khalifa bin Zayed bin Sultan Al Nahyan Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE au Imarati) na mtawala wa Abu Dhabi alifariki dunia Ijumaa akiwa na umri wa miaka 73 na sasa Baraza Kuu la Imarati limemteua Sheikh Mohamed bin Zayed bin Sultan Al Nahyan kuwa rais mpya wa nchi hiyo.
-
Kuendelea hatua za Imarati dhidi ya taifa la Palestina
Apr 20, 2022 08:00Ikiwa ni katika kuendeleza hatua zake dhidi ya taifa la Palestina na katika kivuli cha kudumushwa vitendo vya mabavu vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina, serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati, imechukua hatua nyingine mbili katika kuimarisha uhusiano wake na utawala huo wa kibaguzi.
-
Libya yakataa kucheza na Israel mchezo wa vitara huko Imarati
Apr 12, 2022 10:26Timu ya taifa ya mchezo wa kushindana kwa vitara (fencing) ya Libya imekataa kucheza na utawala haramu wa Israel katika mashindano ya ubingwa wa mchezo huo katika Umoja wa Falme za Kiarabu, ili kuonesha mshikamano wao kwa wananchi wa Palestina.
-
Makombora ya Yemen yateketeza kiwanda cha mafuta cha Aramco Jiddah, Imarati yatangaza hali ya hatari
Mar 26, 2022 08:07Wakati moto mkubwa ukiendelea kuteketeza kiwanda cha mafuta cha Aramco huko Jeddah nchini Saudi Arabia, kiwango cha tahadhari kimepandishwa juu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa hofu ya operesheni za kijeshi za jeshi la Yemen na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah wanaolipiza kisasi hujuma za muungano wa vita unaoongoza na Saudia.
-
Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu Mkuu wa Interpol raia wa Imarati
Mar 25, 2022 08:11Baada ya mashirika ya kutetea haki za binadamu duniani kufichua hadharani jinai zinazofanywa na Mkuu wa Polisi ya Kimataifa (Interpol) ambaye ni raia wa Imarati; Idara ya Mahakama nchini Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu afisa huyo wa Intepol.
-
Kamanda mwandamizi wa Imarati auawa mjini Aden, Yemen
Mar 25, 2022 02:29Kamanda wa ngazi ya juu wa Umoja wa Falme za Kiarabu ameuawa katika mripuko wa bomu mjini Aden, kusini mwa Yemen.
-
Ziara isiyo na tija ya Waziri Mkuu wa Uingereza katika nchi za Saudia na Imarati
Mar 19, 2022 06:05Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson mbaye alikuwa ziarani katika nchi za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), amejaribu sana kuzishawishi nchi hizo mbili ziongeze kiwango chao cha uzalishaji mafuta, lakini amerejea London mikono mitupu.
-
Imarati inawajengea vitongoji askari wa Israel huko Socotra, Yemen
Mar 09, 2022 10:42Umoja wa Falme za Kiarabu umeripotiwa kujenga vitongoji katika kisiwa cha kistratijia cha Yemen cha Socotra ambacho kinakaliwa kwa mabavu na Imarati, kwa ajili wanajeshi wa utawala haramu wa Israel; zaidi ya mwaka mmoja baada ya tawala hizo mbili kuanzisha uhusiano wa kawaida.