-
Libya yakataa kucheza na Israel mchezo wa vitara huko Imarati
Apr 12, 2022 05:56Timu ya taifa ya mchezo wa kushindana kwa vitara (fencing) ya Libya imekataa kucheza na utawala haramu wa Israel katika mashindano ya ubingwa wa mchezo huo katika Umoja wa Falme za Kiarabu, ili kuonesha mshikamano wao kwa wananchi wa Palestina.
-
Makombora ya Yemen yateketeza kiwanda cha mafuta cha Aramco Jiddah, Imarati yatangaza hali ya hatari
Mar 26, 2022 03:37Wakati moto mkubwa ukiendelea kuteketeza kiwanda cha mafuta cha Aramco huko Jeddah nchini Saudi Arabia, kiwango cha tahadhari kimepandishwa juu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa hofu ya operesheni za kijeshi za jeshi la Yemen na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah wanaolipiza kisasi hujuma za muungano wa vita unaoongoza na Saudia.
-
Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu Mkuu wa Interpol raia wa Imarati
Mar 25, 2022 03:41Baada ya mashirika ya kutetea haki za binadamu duniani kufichua hadharani jinai zinazofanywa na Mkuu wa Polisi ya Kimataifa (Interpol) ambaye ni raia wa Imarati; Idara ya Mahakama nchini Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu afisa huyo wa Intepol.
-
Kamanda mwandamizi wa Imarati auawa mjini Aden, Yemen
Mar 24, 2022 21:59Kamanda wa ngazi ya juu wa Umoja wa Falme za Kiarabu ameuawa katika mripuko wa bomu mjini Aden, kusini mwa Yemen.
-
Ziara isiyo na tija ya Waziri Mkuu wa Uingereza katika nchi za Saudia na Imarati
Mar 19, 2022 02:35Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson mbaye alikuwa ziarani katika nchi za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), amejaribu sana kuzishawishi nchi hizo mbili ziongeze kiwango chao cha uzalishaji mafuta, lakini amerejea London mikono mitupu.
-
Imarati inawajengea vitongoji askari wa Israel huko Socotra, Yemen
Mar 09, 2022 07:12Umoja wa Falme za Kiarabu umeripotiwa kujenga vitongoji katika kisiwa cha kistratijia cha Yemen cha Socotra ambacho kinakaliwa kwa mabavu na Imarati, kwa ajili wanajeshi wa utawala haramu wa Israel; zaidi ya mwaka mmoja baada ya tawala hizo mbili kuanzisha uhusiano wa kawaida.
-
Sababu za kubadilika siasa za Imarati kutoka za mashambulizi hadi za mapatano
Mar 07, 2022 00:51Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ni katika nchi za Kiarabu ambazo zilibaki salama katika wimbi la mapinduzi ya wananchi wa nchi za Kiarabu la mwaka 2011. Jambo hilo pamoja na uwezo wa kiuchumi na kupenda makuu Mohammed bin Zayed liliifanya Imarati ifuate siasa za mashambulizi na kupenda vita kama vile kushiriki katika uvamizi wa Yemen.
-
Vikosi vya kimataifa na kuendelea kuwepo Imarati nchini Yemen
Mar 01, 2022 22:51Kwa mara nyingine tena Imarati imeimarisha uwepo wake wa kijeshi usio wa moja kwa moja nchini Yemen kupitia mfumo wa vikosi vya kimataifa.
-
UAE inaiba nishati ya Yemen ili ipate fedha za kulipia silaha za Ufaransa
Feb 06, 2022 23:11Umoja wa Falme za Kiarabu umeripotiwa kuiba rasilimali za nishati ya Yemen ili upate fedha za kufadhili makubaliano ya mauzo ya silaha ya mabilioni ya dola uliofunga na Ufaransa.
-
Malengo ya safari ya Rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Imarati
Jan 31, 2022 05:44Isaac Herzog, rais wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, jana Jumapili tarehe 30 Januari aliwasili mjini Abu Dhabi katika safari ya kwanza rasmi ya kuutembelea Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati.