Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Kwa nini Waziri Mkuu wa India amewataka wananchi kutumia bidhaa za ndani?

    Kwa nini Waziri Mkuu wa India amewataka wananchi kutumia bidhaa za ndani?

    Sep 24, 2025 11:08

    Waziri Mkuu wa India amewataka wananchi wa nchi hiyo kuacha kutumia bidhaa kutoka nje na badala yake watumie bidhaa za ndani kufuatia kushtadi mivutano katika uhusiano wa nchi hiyo na Marekani.

  • Hasira za nchi za Magharibi kuhusu Mkutano wa Shanghai na mjumuiko wa madola yanayoibukia

    Hasira za nchi za Magharibi kuhusu Mkutano wa Shanghai na mjumuiko wa madola yanayoibukia

    Sep 06, 2025 12:02

    Viongozi wa Marekani na Umoja wa Ulaya wamekasirishwa na mkutano wa kilele wa Shanghai na mkusanyiko wa nchi hasimu za Magharibi

  • Trump dhidi ya Modi: Ni nini matokeo ya kuanza rasmi vita vya ushuru vya Marekani dhidi ya India?

    Trump dhidi ya Modi: Ni nini matokeo ya kuanza rasmi vita vya ushuru vya Marekani dhidi ya India?

    Aug 28, 2025 10:46

    Marekani imeanza kutekeleza ushuru wa asilimia 50 kwa bidhaa zinazoingizwa nchini humo kutoka India.

  • Je, kustawishwa ushirikiano wa Russia na India ni jibu kwa sera ya mashinikizo ya Trump?

    Je, kustawishwa ushirikiano wa Russia na India ni jibu kwa sera ya mashinikizo ya Trump?

    Aug 27, 2025 02:21

    Sambamba na mashinikizo ya utawala wa Trump dhidi ya India ili ipunguze uhusiano wake na Russia, Waziri wa Mambo ya Nje wa India alisafiri hadi Moscow na kukutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Russia Vladimir Putin.

  • Je, siasa za serikali ya Modi zimewatenga Waislamu wa India?

    Je, siasa za serikali ya Modi zimewatenga Waislamu wa India?

    Aug 14, 2025 07:41

    Waislamu wa India, ambao ni zaidi ya watu milioni 200, katika miaka ya hivi karibuni wamekuwa wakikabiliwa na changamoto zinazoongezeka katika uwanja wa haki za uraia, usalama wa kijamii na ushiriki wa kisiasa.

  • Nchi zinazoibukia kiuchumi zimejibu vipi vita vya ushuru vya Trump?

    Nchi zinazoibukia kiuchumi zimejibu vipi vita vya ushuru vya Trump?

    Aug 09, 2025 11:29

    Mataifa matatu yanayoinukia kiuchumi, Brazil, India na Uchina, yamejibu vikali hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump, ya kupandisha ushuru wa forodha kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.

  • Kwa nini India inashirikiana na utawala wa kizayuni wa Israel?

    Kwa nini India inashirikiana na utawala wa kizayuni wa Israel?

    Aug 09, 2025 02:29

    Katika miaka ya hivi karibuni India na utawala wa Kizayuni zimeanzisha uhusiano mkubwa katika sekta nyingi za kiuchumi, kijeshi na kisiasa.

  • Je, India itasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Trump?

    Je, India itasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Trump?

    Aug 08, 2025 02:11

    Siku ya Jumatano, Agosti 6, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini amri ya kuweka ushuru wa ziada wa asilimia 25 dhidi ya bidhaa za India ili kukabiliana na hatua ya nchi hiyo ya kuendelea kununua mafuta ya Russia, na hivyo kuongeza ushuru jumla kwa bidhaa za India hadi asilimia 50.

  •  Sababu za India kupinga sera za kindumakuwili za EU ni zipi?

    Sababu za India kupinga sera za kindumakuwili za EU ni zipi?

    Jul 19, 2025 09:38

    Wizara ya Mambo ya Nje ya India imepinga vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia na kiwanda cha kusafisha mafuta cha India na pia "sera za kindumakuwili" za umoja huo katika uga wa biashara ya nishati.

  • Pezeshkian: Iran inaunga mkono usitishaji vita baina ya India-Pakistan

    Pezeshkian: Iran inaunga mkono usitishaji vita baina ya India-Pakistan

    May 27, 2025 06:39

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono usitishaji vita wa kudumu kati ya India na Pakistan, akitoa mwito wa kufanyika mazungumzo kati ya nchi za kikanda ili kutatua mizozo iliyopo na kuimarisha amani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS