Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

    Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan

    May 12, 2025 01:58

    Mzozo wa India na Pakistan ni moja ya migogoro sugu na ya muda mrefu zaidi katika eneo la Asia Kusini.

  • Pakistan: Tutalipiza kisasi cha mashambulio ya makombora ya India yalioua 31

    Pakistan: Tutalipiza kisasi cha mashambulio ya makombora ya India yalioua 31

    May 08, 2025 07:05

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif amesema nchi hiyo "italipiza kisasi cha damu za mashahidi wetu wasio na hatia" baada ya watu wasiopungua 31 kuripotiwa kuuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulio ya India kwenye mkoa wa Punjab na Kashmir inayodhibitiwa na Pakistan.

  • Baqaei: Iran ina wasiwasi mkubwa kufuatia kuongezeka mzozo kati ya India na Pakistan

    Baqaei: Iran ina wasiwasi mkubwa kufuatia kuongezeka mzozo kati ya India na Pakistan

    May 08, 2025 02:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Tehran ina wasiwasi mkubwa kufuatia kuongezeka mivutano kati ya India na Pakistan na amezitolea wito pande mbili kujizuia kuchukua hatua.

  • Umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa Iran na India katika nyanja mbalimbali

    Umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa Iran na India katika nyanja mbalimbali

    Mar 18, 2025 04:44

    Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika katika akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa X akiashiria historia ndefu ya uhusiano kati ya nchi mbili za Iran na India kwamba: Uhusiano huu umekuwa muhimu sana katika kuandaa mazingira ya kuimarishwa ushirikiano wa pande zote.

  • Mwanafunzi wa Iran ashinda 'Tuzo ya Mtafiti Kijana wa Mwaka' ya BRICS na SCO

    Mwanafunzi wa Iran ashinda 'Tuzo ya Mtafiti Kijana wa Mwaka' ya BRICS na SCO

    Feb 17, 2025 03:11

    Hosna Salimi, mwanafunzi wa Kiirani wa Kitivo cha Taaluma za Dunia (FWS) cha Chuo Kikuu cha Tehran ameshinda Tuzo ya 'Mtafiti Kijana Bora wa Mwaka' katika taasisi ya BRICS na Tuzo ya Viongozi Vijana ya Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) kwa mwaka 2025 kutokana na kazi bora aliyofanya katika sayansi na utafiti.

  • Mahakama Kuu ya India yabatilisha hukumu ya kuzifunga Madrasa 17,000 za Waislamu

    Mahakama Kuu ya India yabatilisha hukumu ya kuzifunga Madrasa 17,000 za Waislamu

    Nov 09, 2024 06:35

    Baada ya uhakiki na uchunguzi uliochukua muda wa miezi kadhaa, Mahakama Kuu ya India hatimaye imetoa uamuzi wa kubakishwa Madrasa 17,000 za Waislamu zilizotaka kufungwa katika jimbo kubwa zaidi la nchi hiyo la Uttar Pradesh.

  • Wanafunzi wa kigeni washambuliwa India kwa kusali Tarawehe kwenye dakhalia ya chuo

    Wanafunzi wa kigeni washambuliwa India kwa kusali Tarawehe kwenye dakhalia ya chuo

    Mar 18, 2024 11:12

    Wanafunzi wasiopungua wanne wa kigeni wamejeruhiwa baada ya kundi la Wahindu wenye chuki za kidini kuvamia dakhalia ya chuo kikuu katika jimbo la Gujarat magharibi mwa India na kushambulia kundi la wanafunzi waliokuwa wanasali Sala ya Tarawehe katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

  • Iran na India zatiliana saini makubaliano ya mwisho ya maendeleo ya bandari ya Chabahar

    Iran na India zatiliana saini makubaliano ya mwisho ya maendeleo ya bandari ya Chabahar

    Jan 16, 2024 07:05

    Waziri wa Barabara na Maendeleo ya Miji wa Iran na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa India wamekubaliana kuendeleza Bandari ya Chabahar, iliyoko katika mkoa wa Sistan na Baluchistan, Kusini Mashariki mwa Iran.

  • Washington Post: Chama tawala India kinatumia vita vya Israel dhidi ya Gaza kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni mashetani

    Washington Post: Chama tawala India kinatumia vita vya Israel dhidi ya Gaza kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni mashetani

    Dec 01, 2023 02:29

    Gazeti la Washington Post la Marekani limetahadharisha kuhusu mienendo ya chama tawala nchini India na jinsi kinavyotumia vibaya vita vya Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na kuwadhihirisha Waislamu kuwa ni 'mashetani'.

  • Kuongezeka mpasuko katika G20

    Kuongezeka mpasuko katika G20

    Sep 12, 2023 02:26

    Wakati Marekani inajaribu kueneza fikra kwamba kundi la G20 ni mojawapo ya mashirika ya kimataifa yenye mpangilio bora zaidi ambako Washington inaweza kutumia ushawishi wake kuongoza shughuli zake, malengo na mipango yake, lakini mkutano wa G20 huko nchini India na upinzani wa China dhidi ya kufanyika mkutano wa 2026 nchini Marekani vinaonyesha kuongezeka kwa tofauti na mpasuko katika G20.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS