Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Mamia ya wanaharakati wa Kiislamu wakamatwa Bangladesh kwa kupinga safari ya Modi

    Mamia ya wanaharakati wa Kiislamu wakamatwa Bangladesh kwa kupinga safari ya Modi

    Apr 19, 2021 09:00

    Polisi ya Bangladesh imewatia nguvuni mamia ya wanaharakati wa Kiislamu baada ya mandamano yaliyoandamana na umwagaji damu ya kupinga safari ya Waziri Mkuu wa India nchini humo mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu.

  • Kwa mara ya kwanza India yavunja rekodi kwa kusajili kesi 200,000 za maambukizi ya corona kwa siku

    Kwa mara ya kwanza India yavunja rekodi kwa kusajili kesi 200,000 za maambukizi ya corona kwa siku

    Apr 15, 2021 08:28

    India imetangaza kuwa, watu 200,739 wameambukizwa virusi vya corona vinavyosababisha maradhi ya COVID-19 katika kipindi cha saa 24 zilizopita, huku hospitali nyingi za nchi hiyo zinazotibu wagonjwa wa maradhi hayo zikikabiliwa na uhaba mkubwa wa vitanda na mitungi ya oksijini.

  • Mahakama Kuu ya India yatengua sheria ya marufuku ya kubadili dini

    Mahakama Kuu ya India yatengua sheria ya marufuku ya kubadili dini

    Apr 13, 2021 22:05

    Mahakama ya Juu ya India imetengua sheria inayowapiga marufuku raia wa nchi hiyo kubadili dini kutoka kwenye imanii ya Kihindu na kuingia kwenye Uislamu au ukristo. Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo imesema kuwa, sheria hiyo inapingana na katiba ya nchi.

  • India yaendelea kuongoza kwa maambukizi mengi ya corona kwa siku duniani

    India yaendelea kuongoza kwa maambukizi mengi ya corona kwa siku duniani

    Apr 08, 2021 22:10

    India imeendelea kwa muda wa siku kadhaa mtawalia kuwa nchi yenye idadi kubwa zaidi ya watu walioambukizwa virusi vya corona kwa siku duniani.

  • Kwa mara ya kwanza maambukizi ya corona nchini India yapindukia watu laki moja kwa siku

    Kwa mara ya kwanza maambukizi ya corona nchini India yapindukia watu laki moja kwa siku

    Apr 05, 2021 02:20

    India imeripoti ongezeko kubwa la maambukizo ya virusi vya corona na kuwa nchi ya pili duniani baada ya Marekani kusajili kesi mpya zaidi ya laki moja za watu walioambukizwa virusi hivyo katika muda wa siku moja, huku hospitali katika jimbo lililoathiriwa vibaya zaidi la Maharashtra zikizidiwa na idadi ya wagonjwa.

  • Iran yapokea shehena za chanjo za Corona kutoka India na Cuba

    Iran yapokea shehena za chanjo za Corona kutoka India na Cuba

    Mar 11, 2021 23:12

    Shehena ya kwanza ya makumi ya maelfu ya dozi za chanjo ya kubaliana na ugonjwa wa Covid-19 kutoka India iliwasili hapa nchini Iran jana Alkhamisi.

  • Iran yazipongeza Pakistan na India kwa kulinda usimamishaji vita

    Iran yazipongeza Pakistan na India kwa kulinda usimamishaji vita

    Mar 01, 2021 03:19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Tehran inazipongeza Pakistan na India kwa tamko lao la pamoja la kuyalinda makubaliano ya kusimamisha vita na kusema kuwa hiyo ni hatua nzuri ya kuelekea kwenye amani na utulivu wa kudunu katika eneo la kusini mwa Asia.

  • Mapatano ya India na Pakistan juu ya kusitisha vita katika eneo la Kashmir

    Mapatano ya India na Pakistan juu ya kusitisha vita katika eneo la Kashmir

    Feb 27, 2021 23:48

    Kwa mara ya kwanza kabisa baada ya miongo miwili, India na Pakistan zimeafikiana kusitisha vita katika eneo linalogombaniwa la Kashmir.

  • Admeri Khanzadi: India itajiunga na mazoezi mseto ya kijeshi ya Iran na Russia katika Bahari ya Hindi

    Admeri Khanzadi: India itajiunga na mazoezi mseto ya kijeshi ya Iran na Russia katika Bahari ya Hindi

    Feb 16, 2021 22:56

    Kamanda wa Jeshi Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lengo kuu la mazoezi mseto ya usalama wa baharini katika eneo la kaskazini mwa Bahari ya Hindi ni kufikia usalama jumla kieneo. Aidha ameongeza kuwa, Jeshi la Majini la India sasa litajiunga na majeshi ya majini ya Iran na Russia katika mazoezi hayo.

  • Madai ya Pakistan dhidi ya India ya kuliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh

    Madai ya Pakistan dhidi ya India ya kuliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh

    Jan 12, 2021 23:30

    Waziri Mkuu wa Pakistan amedai kuwa, India imekuwa ikivuruga amani na usalama wa Pakistan kutokana na hatua zake za kuliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS