Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Guterres ataka kutekelezwa azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro wa Kashmir

    Guterres ataka kutekelezwa azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro wa Kashmir

    Feb 20, 2020 11:53

    Katika siku ya mwisho ya safari yake nchini Pakistan, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekumbusha kadhia ya eneo la Kashmir na kuitaka serikali ya India iheshimu azimio la baraza la Usalama la umoja huo kuhusiana na Kashmir.

  • India yapinga pendekezo la UN la kuwa mpatanishi katika mzozo wa Kashmir

    India yapinga pendekezo la UN la kuwa mpatanishi katika mzozo wa Kashmir

    Feb 17, 2020 11:19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya India amepinga pendekezo la Umoja wa Mataifa la kuwa mpatanishi katika utatuzi wa mgogoro wa eneo la Kashmir lililo chini ya udhibiti wa nchi hiyo.

  • Waziri Kiongozi wa Uttar Pradesh: Waislamu walishwe risasi badala ya biriani

    Waziri Kiongozi wa Uttar Pradesh: Waislamu walishwe risasi badala ya biriani

    Feb 06, 2020 12:25

    Waziri Kiongozi wa jimbo la Uttar Pradesh nchini India kutoka chama cha Waziri Mkuu wa nchi hiyo ametoa matamshi ya kibaguzi na kichochezi dhidi ya Waislamu akitaka wauawe.

  • Iran na India; juhudi kwa ajili ya kutumia sarafu ya taifa na kupanua ushirikiano wa kiuchumi

    Iran na India; juhudi kwa ajili ya kutumia sarafu ya taifa na kupanua ushirikiano wa kiuchumi

    Jan 17, 2020 12:32

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo mjini New Delhi na Narendra Modi, Waziri Mkuu wa India na kujadili suala la kupanua ushrikiano wa kiuchumi baina ya nchi mbili na kuchukua hatua za kuondoa baadhi ya matatizo yaliyopo katika njia hiyo.

  • India yasema ina hamu ya kuimarisha uhusiano wake na Iran

    India yasema ina hamu ya kuimarisha uhusiano wake na Iran

    Jan 17, 2020 07:40

    Waziri Mkuu wa India amesema nchi yake ina hamu kubwa ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyuga tofauti.

  • Baridi na maporomoko ya theluji yaua watu 67 nchini Pakistan

    Baridi na maporomoko ya theluji yaua watu 67 nchini Pakistan

    Jan 14, 2020 12:08

    Kwa akali watu 67 wamepoteza maisha kutokana na baridi kali ya msimu wa kipupwe pamoja na maporoko ya theluji katika eneo la Kashmir linalodhibitiwa na Pakistan ndani ya masaa 24 yaliyopita.

  • Uungaji mkono wa chama cha Kongresi nchini India kwa maandamano ya wananchi ya kupinga sheria mpya ya uraia

    Uungaji mkono wa chama cha Kongresi nchini India kwa maandamano ya wananchi ya kupinga sheria mpya ya uraia

    Jan 13, 2020 00:36

    Katibu Mkuu wa Chama cha Kongresi nchini India sambamba na kutoa salamu za rambirambi kwa familia za wahanga wa maandamano ya kupinga sheria mpya ya uraia, ametangaza kwamba chama hicho kinaunga mkono maandamano hayo ya wananchi.

  • Majimbo Tofauti nchini India yakataa kutekeleza sheria mpya ya uraia

    Majimbo Tofauti nchini India yakataa kutekeleza sheria mpya ya uraia

    Dec 30, 2019 02:42

    Mawaziri viongozi wa majimbo tofauti nchini India wamekataa kutekeleza sheria mpya ya uraia.

  • Ali Shamkhani: Vikwazo na ugaidi mikakati miwili ya Marekani dhidi ya mataifa huru

    Ali Shamkhani: Vikwazo na ugaidi mikakati miwili ya Marekani dhidi ya mataifa huru

    Dec 24, 2019 04:25

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa, vikwazo na ugaidi ni mikakati miwili inayotumiwa na Marekani dhidi ya mataifa huru na yasiyokubali kuburuzwa na kuongeza kwamba, kuweko ushirikiano wa mataifa ya eneo kunaweza kuzuia kupata mafanikio vitisho hivi viwili vilivyo dhidi ya ubinadamu.

  • Rais Rouhani asisitiza kuimarishwa zaidi uhusiano wa Iran na India

    Rais Rouhani asisitiza kuimarishwa zaidi uhusiano wa Iran na India

    Dec 23, 2019 13:14

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa kustawishwa na kuimarishwa zaidi uhusiano wa taifa hili na nchi ya India.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS