-
India yaipiga marufuku harakati mashuhuri ya Kiislamu nchini humo
Sep 29, 2022 08:39India imeipiga marufuku harakati mashuhuri ya Kiislamu nchini humo ya PFI, ikiwa ni muendelezo wa serikali ya New Delhi ya kufuata sera ya kukanyaga na kupuuza haki za Waislamu walio wachache katika nchi hiyo.
-
Ukosoaji wa Waziri Mkuu wa Pakistan kuhusu kuenezwa chuki dhidi ya Waislamu
Sep 25, 2022 23:35Waziri Mkuu wa Pakistan ametaka kukomeshwa mara moja chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu, hasa nchini India.
-
Mahakama ya India yakataa ombi la Waislamu, ubaguzi unaendelea
Sep 14, 2022 21:59Mahakama ya India imekataa ombi la Waislamu la kutupilia mbali shauuri la wanawake wa Kihindu la kutwaa msikiti wao katika mji wa Banaras.
-
Mazoezi makubwa ya kijeshi ya Russia, China, India; ishara ya kufeli Magharibi kuitenga Russia
Sep 02, 2022 23:56Licha ya shinikizo la Marekani kwa nchi nyingine kwa ajili ya kuitenga Russia kutokana na vita vya Ukraine, Moscow imeandaa mazoezi makubwa ya kijeshi ya nchi kavu, anga na baharini kwa kuzishirikisha nchi nyingine 13.
-
Askari wanne wa India wauawa Kashmir inayokaliwa na India
Aug 12, 2022 07:44Askari wanne wa India wameuawa katika eneo la Kashmir linalokaliwa na kudhibitiwa na nchi hiyo.
-
Pakistan: Kauli ya waziri wa ulinzi wa India kuhusu Kashmir ni ya kichochezi
Jul 26, 2022 06:48Wizara ya mambo ya nje ya Pakistan imesema kauli aliyotoa waziri wa ulinzi wa India, kwamba eneo la Kashmir ni milki ya nchi hiyo ni ya kichochezi.
-
Licha ya hukumu ya mahakama, mwandishi Muislamu mkosoaji wa serikali ya India aendelea kusota rumande
Jul 16, 2022 21:44Mohammed Zubair, mwandishi wa habari Muislamu raia wa India, ambaye ni mkosoaji wa waziri mkuu wa nchi hiyo Narendra Modi, ameendelea kuwekwa kizuizini licha ya kutolewa hukumu na mahakama ya kuamuru aachiliwe huru.
-
Kukataa India ombi la Marekani
Jul 16, 2022 04:04India imekataa ombi la Marekani ambayo iliitaka nchi hiyo iziwekee vikwazo meli za Russia.
-
Rais Raisi: Kuna udharura wa kudumishwa sifa maalumu za kihistoria za India
Jul 10, 2022 22:06Rais Ebrahim Raisi amesema, kuna udharura wa kulindwa na kudumishwa sifa maalumu za kihistoria za India, ambayo ni ardhi inayosifika kwa kuheshimu dini mbalimbali.
-
Mahakama ya Juu ya India yamtaka msemaji wa zamani wa chama tawala kuomba radhi kwa kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw)
Jul 02, 2022 03:26Mahakama ya Juu ya India imemtaka msemaji wa zamani wa chama tawala nchini India cha Bharatiya Janata kinachoongozwa na Waziri Mkuu, Narendra Modi, Nupur Sharma, kujitokeza kwenye televisheni na kuomba radhi kwa taifa zima la India, baada ya matamshi yake ya kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw) ambayo yameisababisha maandamano makubwa na kuchochea hali ya mvutano nchini humo.