Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • "Mauaji ya watoto 15,000 wa Gaza yanaashiria mwisho wa Israel"

    May 14, 2024 23:49

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hakuna shaka kuwa mauaji ya watoto zaidi ya 15,000 wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza itakuwa chachu ya kuharakisha mchakato wa kuporomoka na kusambaratika utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran: Israel ni nembo ya ugaidi ulioratibiwa duniani

    Iran: Israel ni nembo ya ugaidi ulioratibiwa duniani

    May 14, 2024 08:27

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeutaja utawala wa Kizayuni wa Israel kama nembo kuu ya ugaidi ulioratibiwa duniani.

  • Balozi wa Yemen nchini Iran: Mkutano wa Tehran utaleta maelewano kati ya Iran na Waarabu

    Balozi wa Yemen nchini Iran: Mkutano wa Tehran utaleta maelewano kati ya Iran na Waarabu

    May 13, 2024 23:20

    Balozi wa Yemen nchini Iran amesema kuwa Mkutano wa Mazungumzo ya Iran na Waarabu uliofanyika mjini Tehran chini ya anwani "Kwa ajili ya Ushirikiano na Maelewano" utaliimarisha taifa la Palestina na kuboresha maelewano kati ya Iran, Waarabu na nchi mbalimbali.

  • Iran: Israel haijawahi kutengwa kiasi hiki katika historia yake bandia

    Iran: Israel haijawahi kutengwa kiasi hiki katika historia yake bandia

    May 11, 2024 23:40

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameashiria hatua ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA ya kupasisha rasimu ya azimio la kutaka kutazamwa upya suala la taifa la Palestina kupewa uanachama kamili katika umoja huo na kusema kuwa, utawala haramu wa Israel haujawahi kutengwa kwa kiwango kikubwa kama cha sasa katika historia yake bandia.

  • Rais wa Iran: Makombora na uwezo wa kijeshi wa Iran haviwezi kujadiliwa

    Rais wa Iran: Makombora na uwezo wa kijeshi wa Iran haviwezi kujadiliwa

    May 10, 2024 06:39

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mkono wa baraka kwa mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa wajukuu wa Mtume wetu Muhammad (saw), Bibi Fatima Masoumah na kaka yake, Imam Ridha (as) na kusema: Kama ilivyosisitizwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, uwezo wa kijeshi na vielelezo vya mamlaka ya mfumo wa Kiislamu hapa nchini haviwezi kujadiliwa au kufanyiwa biashara kwa njia yoyote ile.

  • Iran: Tutaangalia upya sera ya nyuklia iwapo uwepo wetu utatishiwa

    Iran: Tutaangalia upya sera ya nyuklia iwapo uwepo wetu utatishiwa

    May 09, 2024 22:40

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Mahusiano ya Kigeni la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu italazimika kuangalia upya kanuni yake ya nyuklia iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utatishia uwepo na usalama wa taifa hili.

  • Raisi: Iran kamwe haitaruhusu kutengwa wanawake katika jamii

    Raisi: Iran kamwe haitaruhusu kutengwa wanawake katika jamii

    May 08, 2024 23:03

    Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu katu haitakubali sera ambazo zitapelekea kutengwa wanawake katika jamii.

  • Eslami: Mienendo ya kiuhasama ya Israel isiathiri uhusiano wa Iran na IAEA

    Eslami: Mienendo ya kiuhasama ya Israel isiathiri uhusiano wa Iran na IAEA

    May 07, 2024 22:53

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema hatua na mienendo ya kiuadui ya utawala wa Kizayuni wa Israel haipasi kuathiri uhusiano na ushirikiano baina ya Tehran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).

  • Safari ya Grossi nchini Iran na kuwekwa wazi maendeleo ya amani ya nishati ya nyuklia ya Iran

    Safari ya Grossi nchini Iran na kuwekwa wazi maendeleo ya amani ya nishati ya nyuklia ya Iran

    May 07, 2024 04:47

    Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA aliwasili mjini Tehran Jumatatu akiongoza ujumbe alioandamana nao kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa kimataifa wa nyuklia na vilevile kufanya mazungumzo na viongozi wakuu wa nyuklia na kisiasa wa nchini.

  • Iran ni ya nne duniani kwa uzalishaji wa elimu katika uwanja wa mimea ya dawa

    Iran ni ya nne duniani kwa uzalishaji wa elimu katika uwanja wa mimea ya dawa

    May 06, 2024 22:49

    Katibu wa Kamati ya Maendeleo ya Sayansi na Teknolojia ya Mimea ya Dawa na Tiba Asilia katika Ofisi ya Rais wa Iran ametangaza kuwa, watafiti wa Iran wanashika nafasi ya nne duniani katika uzalishaji wa sayansi katika uga wa uzalishaji wa mimea ya dawa na tiba asilia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS