Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rais Raisi: Mahesabu ya adui katika njama ya karibuni yameenda kombo

    Rais Raisi: Mahesabu ya adui katika njama ya karibuni yameenda kombo

    Dec 16, 2022 08:30

    Rais Ebrahim Raisi amesema: kutokana na basira na kuwa macho wananchi wa Iran, mahesabu ya adui katika njama ya karibuni yameenda kombo sawa na ilivyokuwa katika fitna za huko nyuma.

  • Raisi: Adui ameibua ghasia ili kukwamisha ustawi wa uchumi wa Iran

    Raisi: Adui ameibua ghasia ili kukwamisha ustawi wa uchumi wa Iran

    Dec 14, 2022 07:49

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema maadui wanafanya juu chini ili kuwashughulisha na fujo na ghasia wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu, wakiwa na lengo la kukwamisha ustawi wa uchumi wa taifa hili.

  • Rais Raisi: Misimamo ya rais wa China wakati wa safari yake katika eneo imeisikitisha Iran

    Rais Raisi: Misimamo ya rais wa China wakati wa safari yake katika eneo imeisikitisha Iran

    Dec 13, 2022 09:41

    Rais Ebrahim Raisi amesema, baadhi ya misimamo iliyotangazwa katika safari ya karibuni ya rais wa China katika eneo imelisikitisha taifa na serikali ya Iran.

  • Mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Uislamu na Uhindu mjini New Delhi India

    Mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Uislamu na Uhindu mjini New Delhi India

    Dec 13, 2022 08:20

    Duru ya tatu ya mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Uislamu na Uhindu iliyokuwa na anuani ya "Mchango wa Dini wa Kuishi Pamoja Katika Amani na Ustawi" umefanyika mjini New Delhi kwa kuhudhuriwa na makhatibu, shakhsia wenye vipawa na Maulamaa wa Iran na India.

  • Tehran yaiasa China iheshimu visiwa vya Ghuba ya Uajemi, milki ya Iran

    Tehran yaiasa China iheshimu visiwa vya Ghuba ya Uajemi, milki ya Iran

    Dec 12, 2022 07:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameiasa China iheshimu mamlaka kamili ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran juu ya visiwa vyake vitatu vya eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • Jibu la Iran kwa taarifa ya pamoja ya China na Saudia na madai yaliyoibuliwa

    Jibu la Iran kwa taarifa ya pamoja ya China na Saudia na madai yaliyoibuliwa

    Dec 11, 2022 23:11

    Mohammad Jamshidi, Mkuu wa masuala ya kisiasa katika Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter kujibu matamshi ya Rais wa China aliyotoa wakati wa ziara yake nchini Saudi Arabia.

  • Raisi: Damu toharifu za 'mashahidi wa usalama' zinawatia kiwewe maadui

    Raisi: Damu toharifu za 'mashahidi wa usalama' zinawatia kiwewe maadui

    Dec 09, 2022 22:53

    Rais wa Iran amesema damu toharifu za maafisa usalama wa Jamhuri ya Kiislamu waliouawa shahidi zimewakasirisha na kuwatia kiwewe maadui wa taifa hili.

  • Hatua mpya za nchi za Magharibi za kuzuia matangazo ya Press TV; nembo ya vita vya mseto dhidi ya Iran

    Hatua mpya za nchi za Magharibi za kuzuia matangazo ya Press TV; nembo ya vita vya mseto dhidi ya Iran

    Dec 08, 2022 23:07

    Shirika la huduma za satalaiti la Intelsat la Ufaransa limetangaza kukata matangazo ya televisheni ya Press TV ya Iran wiki chache baada ya vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya televisheni hii ambayo hurusha matangazo yake kwa lugha ya Kiingereza duniani kote.

  • Raisi: Wairani hawawezi kuhadaiwa na nara bandia za 'uhuru'

    Raisi: Wairani hawawezi kuhadaiwa na nara bandia za 'uhuru'

    Dec 08, 2022 09:19

    Rais wa Iran amesema Wamagharibi kamwe hawawezi kuwahadaa wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu kwa kutumia nara bandia za 'uhuru'

  • Kukiri Marekani na Israel kuhusu kutotetereshwa Iran na machafuko ya hivi karibuni

    Kukiri Marekani na Israel kuhusu kutotetereshwa Iran na machafuko ya hivi karibuni

    Dec 06, 2022 10:16

    Sambamba na himaya na uungaji mkono wa Marekani kwa wafanya fujo na machafuko nchini Iran, wachambuzi waandamizi wa masuala ya usalama wa Marekani na utawala haramu wa Israel wamekiri kwamba, Iran haijatetereshwa na machafuko hayo ya hivi karibuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS