Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Shamkhani: Iran inataka makubaliano thabiti na ya kudumu

    Shamkhani: Iran inataka makubaliano thabiti na ya kudumu

    Jun 26, 2022 06:49

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ipo tayari kufikia makubaliano thabiti, ya kudumu na ya kutegemewa baina yake na kundi la 4+1 katika mazungumzo ya kujaribu kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA huko Vienna, Austria.

  • Raisi: Iran haitaondoka kwenye meza ya mazungumzo ya JCPOA

    Raisi: Iran haitaondoka kwenye meza ya mazungumzo ya JCPOA

    Jun 26, 2022 03:47

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Iran haitaondoka kwenye meza ya mazungumzo kwa ajili ya kuondolewa vikwazo.

  • Amir-Abdollahian: Iran inataka iwe na uhusiano na dunia ulio na uwiyano

    Amir-Abdollahian: Iran inataka iwe na uhusiano na dunia ulio na uwiyano

    Jun 25, 2022 08:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Iran inataka iwe na uhusiano na dunia ulio na uwiyano na kudumisha sambamba na kupanua uhusiano wake na bara la Ulaya.

  • Raeisi: Iran ni mshirika endelevu wa BRICS katika nishati

    Raeisi: Iran ni mshirika endelevu wa BRICS katika nishati

    Jun 24, 2022 23:51

    Rais Ebrahim Raeisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran inaweza kuwa mshirika endelevu wa kuunganisha nchi wanachama wa BRICS katika maeneo muhimu ya kupitisha nishati na masoko makubwa duniani kwa kuzingatia nafasi yake ya kipekee ya jiografia ya kisiasa na jiografia ya kiuchumi.

  • Iran: Mataifa ya Asia Magharibi yanapaswa kuamua kuhusu mustakabali wa eneo

    Iran: Mataifa ya Asia Magharibi yanapaswa kuamua kuhusu mustakabali wa eneo

    Jun 24, 2022 07:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mataifa ya Asia Magharibi ndiyo yanayostahiki kuamua kuhusu mustakabali wa eneo hili la kistratijia.

  • Khatibzadeh: Uturuki isiyanyamazie madai ya kufarakanisha ya Wazayuni

    Khatibzadeh: Uturuki isiyanyamazie madai ya kufarakanisha ya Wazayuni

    Jun 24, 2022 03:37

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Iran amesema, inatarajiwa kuwa Uturuki haitanyamazia kimya madai ya kufarakanisha yaliyotolewa na wazayuni.

  • Lavrov: Russia inaunga mkono msimamo wa Iran katika kufufua JCPOA

    Lavrov: Russia inaunga mkono msimamo wa Iran katika kufufua JCPOA

    Jun 23, 2022 08:00

    Waziri wa mambo ya nje wa Russia amesema nchi yake inaunga mkono, bila kuongezwa wala kupunguzwa, yaliyomo katika msimamo wa Iran kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Raisi asisitiza: Ni marufuku kuwepo kivyovyote na kuingilia nchi ajinabi katika bahari ya Kaspi

    Raisi asisitiza: Ni marufuku kuwepo kivyovyote na kuingilia nchi ajinabi katika bahari ya Kaspi

    Jun 23, 2022 03:33

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuhusu umuhimu wa kushirikiana nchi majirani katika eneo la Kaspi na kupigwa marufuku uwepo wowote wa wanajeshi ajinabi katika eneo hilo hasa katika mazingira maalumu ya eneo la Pwani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Afisa wa Iran: Ubaguzi umekita mizizi katika historia ya Uingereza

    Afisa wa Iran: Ubaguzi umekita mizizi katika historia ya Uingereza

    Jun 22, 2022 23:08

    Ubaguzi na udhalilishaji wa binadamu ni mambo yaliyokita mizizi katika historia ya Uingereza. Hayo yamesemwa na Katibu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Iran, Kazem Gharibabadi katika ujumbe wake kwa njia ya Twitter.

  • Ukosoaji mkali wa Tehran dhidi ya ripoti ya UN kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Iran

    Ukosoaji mkali wa Tehran dhidi ya ripoti ya UN kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Iran

    Jun 22, 2022 21:53

    Kamati ya Haki za Binadamu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kujibu ripoti ya hali ya haki za binadamu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliyowasilishwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwenye kikao cha 50 cha Baraza la Haki za Binadamu la umoja huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS