-
Russia yachukua uwenyekiti wa mzunguko wa Baraza la Usalama la UN, yasema Iran haitawekewa vikwazo
Oct 02, 2020 08:01Baada ya Marekani kushindwa kurefusha zaidi vikwazo vya silaha dhidi ya Iran katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, utawala wa Trump umedai ni mwanachama wa mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kwamba eti Iran imekiuka madai hayo na hivyo vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran vinarejea kiotomatiki. Msimamo huo wa Marekani umepingwa kikamilifu na madola yote makubwa duniani hasa Russia.
-
Muelekeo chanya wa Grossi kuhusu maelewano ya Iran na Wakala wa Kimataifa ya Nishati ya Atomiki
Oct 01, 2020 07:21Baada ya kutangazwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA iliyofikia na kundi la 5+1 Juni 2015, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa muda wote ikitoa mashirikiano makubwa kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA ili kuthibitisha kuwa shughuli zake za nyuklia zinaendeshwa kwa malengo ya amani sambamba na kutekeleza ahadi na majukumu yake katika JCPOA.
-
Iran: Kuanzisha uhusiano na Israel kunaupa hisia ya kinga utawala huo
Oct 01, 2020 04:16Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amelaani hatua ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa, mienendo hiyo haitakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuufanya utawala huo wa Kizayuni ujihisi umepata kinga zaidi ya kutowajibishwa.
-
Imarati na Israel; upotoshaji mambo katika kivuli cha kuanzisha migogoro Asia Magharibi
Oct 01, 2020 03:56Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel wamelitumia jukwaa la kila mwaka la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kutoa tuhuma za kukakariwa na zisizo na jipya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran yaadhimisha Siku ya Kufungamana na Watoto wa Palestina
Sep 30, 2020 09:19Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Jumatano ya Septemba 30 (tarehe 9 Mehr kwa mujibu wa kalenda ya Kiirani ya Hijria Shamsia), imeadhimisha Siku ya Kufungamana na Watoto wa Kipalestina.
-
Iran yatuma salamu za rambi rambi baada ya kuaga dunia Amir wa Kuwait
Sep 30, 2020 04:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia Sheikh Swabah al-Ahmad Jabir as-Swabah, Amir wa Kuwait.
-
Uwezo wa jeshi la majini la Iran, udharura wa kijilinda na kukabiliana na adui
Sep 28, 2020 21:58Uwezo wa jeshi la majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika pwani ndefu ya kaskazini na kusini mwa nchi una umuhimu mkubwa katika ngazi ya kikanda na kimataifa.
-
Iran yakadhibisha madai ya kufanya mazungumzo na Marekani nchini Oman
Sep 28, 2020 08:47Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekanusha vikali taarifa zinazodai kuwa Jamhuri ya Kiislamu imefanya mazungumzo na Marekani huko nchini Oman.
-
Iran yaitaka Armenia na Azerbaijan zisitishe mapigano, makumi wauawa
Sep 28, 2020 08:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka nchi za Armenia na Azerbaijan zijizuie na zisitishe mapigano yanayoshuhudiwa katika mpaka wa nchi mbili hizo tokea jana Jumapili.
-
"Shambulizi la Marekani dhidi ya mashujaa wa kukabiliana na ugaidi ni tusi kwa Iraq"
Sep 27, 2020 04:33Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema shambulizi la jeshi la Marekani lililoua shahidi mashujaa wa kupambana na ugaidi katika eneo la Asia Magharibi mapema mwaka huu ni tusi kwa mamlaka ya kujitawala Iraq.