-
Zanganeh: Kikao cha karibuni cha Opec; pigo jingine kwa Marekani
Dec 13, 2018 04:01Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekitaja kikao kilichofanyika hivi karibuni cha Jumuya ya Nchi Zinazozalisha Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC) huko Vienna mji mkuu wa Austria kuwa ni pigo jingine kwa Marekani.
-
Miaka 40 baada ya Mapinduzi ya Kiislamu, Wamarekani bado wako kwenye ndoto
Dec 13, 2018 03:51Sambamba na kutimia miaka 40 tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, uhasama na uadui wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu umefikia kileleni.
-
Trump amkingia tena kifua bin Salman licha ya mauaji ya Khashoggi na jinai za Yemen
Dec 12, 2018 23:00Kwa mara nyingine Rais wa Marekani, Donald Trump ameendelea kumkingia kifua Mohammed bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia licha ya Shirika la Kijasusi la Marekani CIA kuthibitisha kuwa alihusika katika mauaji ya mwandishi Jamal Khashoggi ndani ya ubalozi mdogo wa Saudia mjini Istanbul Uturuki.
-
Kiongozi Muadhamu: Maadui wa Iran wameghariki katika ufisadi wa kimaadili na kisiasa
Dec 12, 2018 12:50Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, maadui mashuhuri wa Iran ya Kiislamu wameghariki katika ufisadi wa kimaadili na kisiasa na kwamba, kama unataka kuijua vyema Marekani watazame viongozi na rais wa nchi hiyo.
-
China yalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Dec 12, 2018 12:39Naibu wa Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kimataifa ya Shanghai China anayehusika na masuala ya Asia Magharibi na Afrika amelaani vikwazo na vitendo vya chuki vinavyoendeshwa na Marekani dhidi ya Iran.
-
Sisitizo la Mogherini la kuzinduliwa hivi karibuni mfumo wa mabadilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya
Dec 11, 2018 21:43Kujiondoa Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) Mei 8 mwaka huu, kulikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wanachama wengine ya JCPOA katika kalibu ya kundi la 4+1.
-
Kuhuisha Umoja wa Kiislamu; Lengo Kuu wa Kongamano la Kimataifa la Wapenzi wa Ahlu Bayt
Dec 11, 2018 21:42Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema: "Lengo la kufanyika Mkutano wa Kimataifa wa Wapenzi wa Ahlul Bayt AS ni kurejesha umoja katika Umma wa Kiislamu.
-
Mogherini: EU kuzindua mfumo wa mabadilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya karibuni
Dec 11, 2018 00:04Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema mfumo maalumu kwa ajili ya mabadilishano ya fedha kati ya Iran na Ulaya kwa kifupi SPV utazinduliwa ndani ya siku chache zijazo.
-
China yaionya Canada kuhusu kumpeleka Marekani mkuu wa Huawei
Dec 09, 2018 03:51Serikali ya China imetoa onyo kali na kuitaka Canada imuachie huru mara moja mkuu wa shirika kubwa la mawasiliano la Huawei na isithubutu kumkabidhi kwa wakuu wa mahakama za Marekani.
-
Rouhani: Madola ya kibeberu ndiyo yaliyounda makundi ya kigaidi duniani
Dec 09, 2018 00:05Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madola ya kibeberu ndiyo yaliyounda na kuyafadhili kwa hali na mali makundi ya kigaidi duniani, na kwamba irada thabiti na jitihada za pamoja zinahitajika ili kulitokomeza jinamizi hilo linalotishia usalama wa dunia.