Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Safari ya Zarif mjini Islamabad; kufunguliwa ukurasa mpya wa uhusiano wa Iran na Pakistan

    Safari ya Zarif mjini Islamabad; kufunguliwa ukurasa mpya wa uhusiano wa Iran na Pakistan

    Aug 31, 2018 08:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameelekea nchini Pakistan kwa safari rasmi ya siku mbili akiwa mwanadiplomasia wa mwanzo wa kigeni kutembelea nchi hiyo na kukutana kwa mazungumzo na maafisa mbalimbali wa serikali mpya chini ya uwaziri mkuu wa Imran Khan.

  • IAEA yathibitisha kwa mara ya 12 kuwa Iran imeheshimu kikamilifu mapatano ya JCPOA

    IAEA yathibitisha kwa mara ya 12 kuwa Iran imeheshimu kikamilifu mapatano ya JCPOA

    Aug 30, 2018 23:23

    Kazem Gharib Abadi, balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao mjini Vienna, Austria amesema kuwa, kwa mara ya 12 mtawalia, Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umethibitisha kuwa Iran imeheshimu kikamilifu mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • India: Hatutoacha kununua mafuta ya Iran licha ya Marekani kututaka tuache

    India: Hatutoacha kununua mafuta ya Iran licha ya Marekani kututaka tuache

    Aug 30, 2018 11:24

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu nchini India amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo itaendelea kununua mafuta ya Iran.

  • Zarif atoa jibu makini kwa vitisho vya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran

    Zarif atoa jibu makini kwa vitisho vya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran

    Aug 30, 2018 03:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, vitisho vya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kitendo kilichovuka mpaka wa utovu wa haya katika ulimwengu wa ufidhuli.

  • Ghazi Askar: Iran na Saudia zinaweza kutatua tofauti zao kwa njia ya mazungumzo

    Ghazi Askar: Iran na Saudia zinaweza kutatua tofauti zao kwa njia ya mazungumzo

    Aug 27, 2018 03:31

    Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara na Msimamizi wa mahujaji wa Iran amesema diplomasia ya Hija inaweza kusaidia kuboresha hali ya kisiasa kati ya Tehran na Riyadh na kubainisha kwamba Iran na Saudi Arabia ni nchi mbili kubwa katika eneo na zinaweza kupunguza kwa kiwango kikubwa hitilafu na tofauti zao kwa njia ya mazungumzo.

  • Kutozingatia mashirika mawili ya kifedha ya Marekani vikwazo vya Washington dhidi ya Iran

    Kutozingatia mashirika mawili ya kifedha ya Marekani vikwazo vya Washington dhidi ya Iran

    Aug 25, 2018 09:10

    Gazeti la The Washington Free Beacon limeandika kuwa, mashirika mawili ya kifedha ya Kimarekani, hayafungamani na amri ya kuhitimisha miamala ya kifedha na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kelele za John Bolton; Iran itasimama kidete na haitatetereka

    Kelele za John Bolton; Iran itasimama kidete na haitatetereka

    Aug 23, 2018 05:48

    John Bolton, Mshauri wa Mais wa Marekani katika Usalama wa Taifa akizungumza mwisho wa safari yake ya siku tatu katika utawala wa Kizayuni wa Israel amekariri madai yake dhidi ya Iran na kusema vitisho na vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vitaongezwa ili kuilazimisha Tehran ibadili msimamo wake.

  • Ndege irukayo kwa mwendo wa kasi kuliko ya sauti ya “Kowsar”; kielelezo cha uwezo wa Iran unaotokana na wataalamu wa ndani + Video

    Ndege irukayo kwa mwendo wa kasi kuliko ya sauti ya “Kowsar”; kielelezo cha uwezo wa Iran unaotokana na wataalamu wa ndani + Video

    Aug 22, 2018 21:10

    Rais Hassan Rouhani amesema: "kujizatiti kulinzi Iran maana yake si kushupalia vita ila ni kutaka kuwa na usalama na amani endelevu, kwa sababu historia imetufunza kuwa kama hatutakuwa imara na wenye nguvu tutasambaratishwa."

  • Facebook na Twitter zafunga akaunti za mamia ya watumiaji wake kutoka Iran na Russia

    Facebook na Twitter zafunga akaunti za mamia ya watumiaji wake kutoka Iran na Russia

    Aug 22, 2018 21:10

    Mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter imefunga akaundi za mamia ya watumiaji wenye asili ya Iran na Russia kwa madai ya kuhofia wasije wakaathiri matokeo ya uchaguzi wa nchini Marekani.

  • Ammar al Hakim: Iraq haiwezi kuangalia kwa macho tu vikwazo dhidi ya Iran

    Ammar al Hakim: Iraq haiwezi kuangalia kwa macho tu vikwazo dhidi ya Iran

    Aug 22, 2018 21:09

    Sayyid Ammar al Hakim, kiongozi wa mrengo wa al Hikma wa Iraq kwa mara nyingine amemuonya rais wa Marekani, Donald Trump kuhusu vikwazo vyake dhidi ya Iran na kusema kuwa, Baghdad haiwezi kuangalia kwa macho tu vikwazo vya kiuchumi vinavyowekwa na Washington dhidi ya taifa la Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS